Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Kenya, Uganda, Rwanda wakamilisha vitambulisho vya uraia

WANANCHI wa mataifa ya Rwanda, Uganda na Kenya wamepokea kwa shangwe kuanza kwa mpango wa kutumika kwa vitambulisho vya uraia kama cheti cha kuwaruhusu kuvuka mipaka na kuingia miongoni mwa...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mwananchi

Vitambulisho vya uraia kuondoa usajili feki

Imeelezwa kuwa vitambulisho vya uraia vitakuwa suluhisho la usajili feki wa laini za simu katika maeneo mbalimbali nchini.

 

10 years ago

Habarileo

NEC: Vitambulisho vya uraia havitatumika kupiga kura

Mkurugenzi wa Uchaguzi, Julius MallabaTume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) imesisitiza kuwa vitambulisho vya taifa vinavyotolewa na Mamlaka ya Vitambulisho vya Taifa (NIDA), havitatumika kupiga kura katika uchaguzi mkuu, isipokuwa kadi zitakazotolewa na tume hiyo.

 

10 years ago

Habarileo

NIDA: Vitambulisho vya uraia havitatumika kupiga kura

Mkurugenzi wa Uchaguzi, Julius MallabaMAMLAKA ya Vitambulisho vya Taifa (NIDA) imesisitiza vitambulisho vya uraia, havitatumika kupiga kura katika uchaguzi mkuu, isipokuwa kadi zitakazotolewa na Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC).

 

5 years ago

Michuzi

NIDA YAHAKIKI UPYA MAOMBI YA VITAMBULISHO VYA TAIFA YENYE CHANGAMOTO ZA URAIA

Mamlaka ya Vitambulisho vya Taifa (NIDA), inaendelea kutekeleza agizo la Serikali la kuhakiki kwa kina maombi yote ya waombaji wa Vitambulisho vya Taifa yenye changamoto na upungufu mbalimbali ukiwemo uraia wa waombaji ili kuondoa mianya ya udanganyifu unaoweza kujipenyeza na hivyo kutoa Vitambulisho vya raia kwa watu wasio raia wa Tanzania.
Kwa mujibu wa Afisa Habari Mkuu wa NIDA Geofrey Tengeneza, NIDA kwa kushirikiana na Idara ya Uhamiaji, Kamati za Ulinzi na Usalama za Wilaya na Mikoa,...

 

11 years ago

Mwananchi

Uganda, Kenya, Rwanda nazo zawasilisha bajeti

>Nchi za Jumuiya za Afrika Mashariki zimewasilisha bajeti zao kwa mwaka wa fedha 2014/15 kwa pamoja huku zikiweka vipaumbele vinavyoashiria kusukuma mbele shughuli za maendeleo na kupambana na umaskini.

 

11 years ago

Michuzi

Kenya, Rwanda and Uganda Joint Visa Launching at ITB

Kenya, Rwanda and Uganda made an announcement on the introduction of the East African single joint visa, which took effect on 1st January 2014. The Kenya, Rwanda and Uganda Ministers and High Commissioners and Tourism Board Heads officially graced the launch of the new cross-border visa today at Kenya, Rwanda and Uganda common pavilion at this year’s Internationale Tourismus-Börse  (ITB) held annually in Berlin.
The tourist cross-border visa between Kenya, Rwanda and Uganda costs USD...

 

9 years ago

Michuzi

RWANDA Vs UGANDA IN MEN’s VOLLEYBALL FINALS, AS COMPATRIOTS MEET KENYA IN NETBALL

Parliament of Rwanda is through to the finals of the Volleyball tournament where they shall meet with Parliament of Kenya.
Today, Parliament of Rwanda beat EALA by 2 sets to 0 in the first semi-finals of the match played at the Amahoro Petite Stade.   Rwanda took the first set 25-20 and followed the feat winning 25-16 in the second set.
EALA finished on top of Group A while Kenya took first place in Group B.
In the second semi-final match of the day, Parliament of Kenya beat Parliament of...

 

11 years ago

Michuzi

Maisha Plus Update: Washiriki kutoka Rwanda, Burundi, Kenya na Uganda wako Moro

 

WASHIRIKI wa shindano la Maisha Plus ambayo kwa mwaka 2014 inatambulika kwa jina la Maisha Plus Rekebisha, kutoka nchini Kenya, Rwanda,Uganda na Burundi tayari wameshawasili nchini na jana wameelekea wako mkoani Morogoro kushiriki shughuli za kijamii.
Mratibu wa onyesho hilo, Ally Masoud Kipanya amesema hili ni kundi la tatu kushiriki shughuli za kijamii, ambapo kundi la kwanza lilikuwa Iringa, kisha la pili likaenda Zanzibar na hili la tatu linaenda Morogoro kushiriki shughuli za...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani