Uganda, Kenya, Rwanda nazo zawasilisha bajeti
>Nchi za Jumuiya za Afrika Mashariki zimewasilisha bajeti zao kwa mwaka wa fedha 2014/15 kwa pamoja huku zikiweka vipaumbele vinavyoashiria kusukuma mbele shughuli za maendeleo na kupambana na umaskini.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-Qfu1mx5_l0w/UxmqCz-Ks4I/AAAAAAAFRuU/KNmAZy0v0pM/s72-c/flag.jpg)
Kenya, Rwanda and Uganda Joint Visa Launching at ITB
![](http://4.bp.blogspot.com/-Qfu1mx5_l0w/UxmqCz-Ks4I/AAAAAAAFRuU/KNmAZy0v0pM/s1600/flag.jpg)
The tourist cross-border visa between Kenya, Rwanda and Uganda costs USD...
11 years ago
Tanzania Daima05 Jan
Kenya, Uganda, Rwanda wakamilisha vitambulisho vya uraia
WANANCHI wa mataifa ya Rwanda, Uganda na Kenya wamepokea kwa shangwe kuanza kwa mpango wa kutumika kwa vitambulisho vya uraia kama cheti cha kuwaruhusu kuvuka mipaka na kuingia miongoni mwa...
9 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-B9opMdB8l34/Vma3zWTyieI/AAAAAAAIK50/pbikfmxD1cE/s72-c/DSC_0269.jpg)
RWANDA Vs UGANDA IN MEN’s VOLLEYBALL FINALS, AS COMPATRIOTS MEET KENYA IN NETBALL
Parliament of Rwanda is through to the finals of the Volleyball tournament where they shall meet with Parliament of Kenya.
Today, Parliament of Rwanda beat EALA by 2 sets to 0 in the first semi-finals of the match played at the Amahoro Petite Stade. Rwanda took the first set 25-20 and followed the feat winning 25-16 in the second set.
EALA finished on top of Group A while Kenya took first place in Group B.
In the second semi-final match of the day, Parliament of Kenya beat Parliament of...
Today, Parliament of Rwanda beat EALA by 2 sets to 0 in the first semi-finals of the match played at the Amahoro Petite Stade. Rwanda took the first set 25-20 and followed the feat winning 25-16 in the second set.
EALA finished on top of Group A while Kenya took first place in Group B.
In the second semi-final match of the day, Parliament of Kenya beat Parliament of...
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-PzFqtTlxjlk/UyiHFfWu9II/AAAAAAAAMZk/LwwVmRpplGI/s72-c/Masoud+Kipanya.jpg)
Maisha Plus Update: Washiriki kutoka Rwanda, Burundi, Kenya na Uganda wako Moro
![](http://2.bp.blogspot.com/-PzFqtTlxjlk/UyiHFfWu9II/AAAAAAAAMZk/LwwVmRpplGI/s1600/Masoud+Kipanya.jpg)
WASHIRIKI wa shindano la Maisha Plus ambayo kwa mwaka 2014 inatambulika kwa jina la Maisha Plus Rekebisha, kutoka nchini Kenya, Rwanda,Uganda na Burundi tayari wameshawasili nchini na jana wameelekea wako mkoani Morogoro kushiriki shughuli za kijamii.
Mratibu wa onyesho hilo, Ally Masoud Kipanya amesema hili ni kundi la tatu kushiriki shughuli za kijamii, ambapo kundi la kwanza lilikuwa Iringa, kisha la pili likaenda Zanzibar na hili la tatu linaenda Morogoro kushiriki shughuli za...
10 years ago
Vijimambo06 Mar
Wizara za Kenya, Zambia, Uganda na Rwanda zafanya mkutano wa kuimarisha sekta ya nishati na miundo msingi katika kanda
NAIROBI, Kenya, March 6, 2015/ -- Ujumbe wa mawaziri na viongozi wakuu kutoka nchi za Afrika Mashariki wameahidi kuunga mkono harakati za kutafutia umwafaka tatizo la upungufu wa nishati.
Mhe. Joseph Njoroge, Katibu Mkuu, Wizara ya Nishati, Kenya, Mhe. Christopher Yaluma, Waziri wa Nishati na Madini, Zambia, Mhe. Waziri James Musoni, Waziri wa Miundo msingi, Rwanda na Bi. Maria Kiwanuka, Mshauri Mkuu wa Mhe. Rais na afisa katika ofisi ya Wizara ya Fedha nchini Uganda watasaidiwa na viongozi...
5 years ago
Michuzi![](https://img.youtube.com/vi/RHrwGmoxFnQ/default.jpg)
Wateja wa Tigo Pesa sasa wanaweza kutuma na kupokea pesa kutoka M-PESA ya Kenya, MTN nchini Uganda, Airtel na MTN nchini Rwanda
Tigo Tanzania, kampuni inayoongoza kwa ubunifu wa Kidigitali nchini, leo imezindua huduma inayowawezesha watumiaji wote wa Tigo Pesa nchini Tanzania kuweza kutuma na kupokea pesa kupitia simu zao za mkononi kutoka M-PESA ya Kenya, MTN nchini Uganda, Airtel na MTN za nchini Rwanda.
Huduma hii ni wazi sasa kwamba inawaunganisha wateja wa Tigo Pesa na mitandao mingine mikubwa ya mawasiliano katika ukanda wa Afrika Mashariki inayotoa huduma za kifedha kupitia simu za mkononi hatua ambayo itakuza...
Huduma hii ni wazi sasa kwamba inawaunganisha wateja wa Tigo Pesa na mitandao mingine mikubwa ya mawasiliano katika ukanda wa Afrika Mashariki inayotoa huduma za kifedha kupitia simu za mkononi hatua ambayo itakuza...
11 years ago
BBCSwahili12 Jun
Uganda kutangaza bajeti
Mambo hayaelekei kuwa matamu Uganda wakati ikielekea kutangaza bajeti yake, baada ya wafadhili kukatiza misaada kwa karibu robo
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania