USAJILI WA MAOMBI YA VITAMBULISHO VYA TAIFA WAANZA MKOA WA MOROGORO
![](http://1.bp.blogspot.com/-udD93lTQZiU/VCCImdtdiXI/AAAAAAAGlJo/TMcAs58xEA8/s72-c/unnamed%2B(2).jpg)
Mamlaka ya Vitambulisho vya Taifa(NIDA) Imeanza rasmi zoezi la Usajili na Utambuzi wa Watu Mkoa wa Morogoro pamoja na uchukuaji alama za vidole, picha na saini ya kielektroniki kwa wananchi wa Wilaya ya Kilombero ambao zoezi la Ujazaji fomu za maombi ya vitambulisho lilishafanyika. Kuanza kwa usajili na Utambuzi wa Watu mkoa wa Morogoro kumefuatia kukamilika kwa zoezi kama hili mikoa ya Pwani, Lindi na Mtwara ambapo sambamba na usajili unaoendelea sasa mkoani Morogoro zoezi la...
Michuzi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-nLWmySw7MOY/U0Kvwac0HnI/AAAAAAAFZMI/jTYMKav7nWs/s72-c/unnamed.jpg)
Usajili Vitambulisho vya Taifa waanza Pemba
![](http://1.bp.blogspot.com/-nLWmySw7MOY/U0Kvwac0HnI/AAAAAAAFZMI/jTYMKav7nWs/s1600/unnamed.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-TfsamXCldlo/VB3rvX03nUI/AAAAAAAGkzk/fyhnwOMITIk/s72-c/images.jpg)
Usajili Vitambulisho vya Taifa wazinduliwa Morogoro
![](http://2.bp.blogspot.com/-TfsamXCldlo/VB3rvX03nUI/AAAAAAAGkzk/fyhnwOMITIk/s1600/images.jpg)
Usajili na Utambuzi wa watu katika mkoa wa Morogoro umezinduliwa rasmi Septemba 20, 2014 na Mkuu wa Mkoa wa huo, Joel Bendera katika ukumbi wa mikutano wa Manispaa ya Morogoro.
Akizindua zoezi hilo aliwasisitiza wakuu wa wilaya, wakurugenzi wa mamlaka za Serikali za Mitaa, makatibu tawala wilaya na viongozi wote kufikia ngazi ya kijiji na mtaa kuhakikisha kwamba wanashiriki kikamilifu katika kufanikisha usajili wa watu katika mkoa wake.
Alisema viongozi...
11 years ago
Michuzi07 Jul
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-7LhCmtEg1a8/VDmb9SpKFrI/AAAAAAAGpU4/gow4WepxIGI/s72-c/unnamed%2B(27).jpg)
Usajili Vitambulisho vya Taifa wabishahodi Ruvuma
5 years ago
MichuziNIDA YAHAKIKI UPYA MAOMBI YA VITAMBULISHO VYA TAIFA YENYE CHANGAMOTO ZA URAIA
Kwa mujibu wa Afisa Habari Mkuu wa NIDA Geofrey Tengeneza, NIDA kwa kushirikiana na Idara ya Uhamiaji, Kamati za Ulinzi na Usalama za Wilaya na Mikoa,...
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-wEcDC09QP-I/U_AAGUVDInI/AAAAAAAGAEY/a6ZHuljnJ4g/s72-c/unnamed%2B(47).jpg)
Mamlaka ya Vitambulisho vya Taifa (NIDA) yazindua rasmi zoezi la Usajili na Utambuzi wa Watu mkoani Mtwara
![](http://4.bp.blogspot.com/-wEcDC09QP-I/U_AAGUVDInI/AAAAAAAGAEY/a6ZHuljnJ4g/s1600/unnamed%2B(47).jpg)
10 years ago
Mwananchi05 Feb
Vitambulisho vya uraia kuondoa usajili feki
10 years ago
Mwananchi13 May
Vitambulisho vya Taifa vyalalamikiwa
5 years ago
BBCSwahili22 May
Virusi vya corona: Watanzania waanza maombi ya siku 3 kumshukuru Mungu kwa kuwaepusha na janga