NEC yaachiwa uamuzi siku ya kupiga kura
TUME ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) imeachiwa jukumu la kuamua siku ya kufanyika Uchaguzi Mkuu baada ya wabunge kutaka uchaguzi usiwe unafanyika katika siku za kuabudu ambazo ni Ijumaa, Jumamosi na Jumapili.
habarileo
Habari Zinazoendana
11 years ago
Tanzania Daima31 May
Jukata yaishauri NEC siku ya kupiga kura
JUKWAA la Katiba Tanzania (Jukata) limeishauri Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) kuteua siku ya kazi kuwa siku ya kupiga kura badala ya siku za mwisho wa wiki. Pia limeishauri...
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/aMLkUWs6eSOLnXni7i2WH-r1nK46l2QNXgfdoQ-rqe4U0*zOSbVCS91GW0xpAoPBDsl3Mmm73eFrNTWfxciUVXN9nbLUTMIB/LUBUVA.jpg)
NEC; ALIYETIMIZA MASHARTI ASIZUIWE KUPIGA KURA
9 years ago
Mtanzania21 Oct
NEC yatoa ufafanuzi utaratibu wa kupiga kura
JONAS MUSHI NA ALLEN MSAPI (GHITBS), DAR ES SALAAM
TUME ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) imetoa ufafanuzi zaidi juu ya masuala mbalimbali yanayowakanganya wananchi na kuibua taharuki kuhusu upigaji kura katika uchaguzi mkuu Jumapili ijayo.
Juzi, Mwenyekiti wa NEC, Jaji mstaafu Damian Lubuva, alitoa taarifa kwa vyombo vya habari kufafanua masuala yaliyokuwa yakihojiwa na wananchi kuhusu upigaji kura, taarifa ambayo nayo iliibua maswali mengine.
Moja ya suala lililoleta utata ni taarifa kuwa mtu...
10 years ago
Habarileo18 Aug
NEC: Vitambulisho vya uraia havitatumika kupiga kura
Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) imesisitiza kuwa vitambulisho vya taifa vinavyotolewa na Mamlaka ya Vitambulisho vya Taifa (NIDA), havitatumika kupiga kura katika uchaguzi mkuu, isipokuwa kadi zitakazotolewa na tume hiyo.
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-ko14jQw3Zls/Xo68PqwYDeI/AAAAAAALmnI/Buhn4o0aV9QC_r349zTEh2OXzhnA6QljQCLcBGAsYHQ/s72-c/f2c70339-aa23-4cbc-9db9-7f8aabf8daca.jpg)
NEC yataka wananchi wajitokeze katika uhakiki wa wazi wa kuwezesha kupiga kura.
Wananchi waliojiandikisha katika Daftari la wapiga kura Mwaka 2015 na wale waliojiandikisha katika Uboreshaji wa Daftari Awamu ya kwanza wametakiwa kujitokeza kwa wingi kuhakiki taarifa zao pindi Daftari litakapowekwa wazi katika maeneo yao na watumie njia nyingine za uhakiki Kama ilivyoelekezwa.
Rai imetolewa leo Jijini Dar es salaam na Mwenyekiti wa Tume ya Uchaguzi Jaji wa Rufaa Semistocles Kaijage katika ufunguzi wa mkutano ulioandaliwa na Tume ya Taifa ya...
9 years ago
Mwananchi23 Oct
Huyu ndiye anayeruhusiwa kupiga kura siku ya uchaguzi
9 years ago
MichuziJESHI LA POLISI KUIMARISHA ULINZI SIKU YA KUPIGA KURA
Akizungumza na waandishi wa habari Makao Makuu ya Jeshi la Polisi leo Mkuu wa Jeshi hilo IGP Ernest Mangu amesema kuwa ulinzi utaimarishwa maeneo yote kwa kushirikiana na vyombo vingine vya ulinzi na usalama ili kuhakikisha kuwa taifa linapita...
9 years ago
Mwananchi22 Oct
IGP apiga marufuku mikusanyiko ya watu siku ya kupiga kura
10 years ago
Vijimambo11 Dec
HABARI NJEMA, WATANZANIA TUSICHOKE KUPIGA KURA ZIMEBAKI SIKU CHACHE #Happiness4MissWorld
![10614252_800789863300579_6044778737800766960_n](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/12/10614252_800789863300579_6044778737800766960_n.jpg)
![10846445_10152970401239974_5092824672817370692_n](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/12/10846445_10152970401239974_5092824672817370692_n.png)