Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


NEC yatoa ufafanuzi utaratibu wa kupiga kura

Damian-LubuvaJONAS MUSHI NA ALLEN MSAPI (GHITBS), DAR ES SALAAM

TUME ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) imetoa ufafanuzi zaidi juu ya masuala mbalimbali yanayowakanganya wananchi na kuibua taharuki kuhusu upigaji kura katika uchaguzi mkuu Jumapili ijayo.

Juzi, Mwenyekiti wa NEC, Jaji mstaafu Damian Lubuva, alitoa taarifa kwa vyombo vya habari kufafanua masuala yaliyokuwa yakihojiwa na wananchi kuhusu upigaji kura, taarifa ambayo nayo iliibua maswali mengine.

Moja ya suala lililoleta utata ni taarifa kuwa mtu...

Mtanzania

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Habarileo

NEC kuelekeza utaratibu wa kura kutoka nje

Waziri Mkuu, Mizengo PindaTUME ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) imekabidhiwa jukumu la kuangalia utaratibu utakaotumika kuwezesha Watanzania walio nje ya nchi kushiriki kupiga kura katika Uchaguzi Mkuu unaofanyika Oktoba mwaka huu.

 

9 years ago

GPL

NEC; ALIYETIMIZA MASHARTI ASIZUIWE KUPIGA KURA

Mungu ni mwema, ndivyo ninavyoanza kusema katika makala haya, tumshukuru kwa amani tuliyonayo nchini hasa wakati huu tunapoelekea kwenye uchaguzi mkuu. Nchi nzima ipo katika mchakato wa kuwapata viongozi kwa njia ya kura kwa nafasi mbalimbali za kisiasa kupitia vyama vyao vya siasa, wakati hayo yakiendelea kumekuwepo na taarifa za mchakato huo kufanyika katika hali ya amani na utulivu katika maeneo mengi nchini, isipokuwa...

 

10 years ago

Habarileo

NEC yaachiwa uamuzi siku ya kupiga kura

Mwenyekiti wa NEC, Jaji Mstaafu Damian Lubuva.TUME ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) imeachiwa jukumu la kuamua siku ya kufanyika Uchaguzi Mkuu baada ya wabunge kutaka uchaguzi usiwe unafanyika katika siku za kuabudu ambazo ni Ijumaa, Jumamosi na Jumapili.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Jukata yaishauri NEC siku ya kupiga kura

JUKWAA la Katiba Tanzania (Jukata) limeishauri Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) kuteua siku ya kazi kuwa siku ya kupiga kura badala ya siku za mwisho wa wiki. Pia limeishauri...

 

10 years ago

Habarileo

NEC: Vitambulisho vya uraia havitatumika kupiga kura

Mkurugenzi wa Uchaguzi, Julius MallabaTume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) imesisitiza kuwa vitambulisho vya taifa vinavyotolewa na Mamlaka ya Vitambulisho vya Taifa (NIDA), havitatumika kupiga kura katika uchaguzi mkuu, isipokuwa kadi zitakazotolewa na tume hiyo.

 

5 years ago

Michuzi

NEC yataka wananchi wajitokeze katika uhakiki wa wazi wa kuwezesha kupiga kura.

Na Chalila Kibuda,Michuzi TV

 Wananchi waliojiandikisha katika Daftari la wapiga kura Mwaka 2015 na wale waliojiandikisha katika Uboreshaji wa Daftari Awamu ya kwanza wametakiwa kujitokeza kwa wingi kuhakiki taarifa zao pindi Daftari litakapowekwa wazi katika maeneo yao na watumie njia nyingine za uhakiki Kama ilivyoelekezwa.

Rai imetolewa leo Jijini Dar es salaam na Mwenyekiti wa Tume ya Uchaguzi Jaji wa Rufaa Semistocles Kaijage katika ufunguzi wa mkutano ulioandaliwa na Tume ya Taifa ya...

 

11 years ago

Michuzi

TUME YA TAIFA YA UCHAGUZI YATOA UFAFANUZI KUHUSU DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA UCHAGUZI WA UBUNGE JIMBO LA KALENGA

Pichani Kati ni Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi,Mh.Jaji Mstaafu Damian Lubuva akizungumza mbele ya Waandishi wa habari mapema leo mchana,kwenye moja ya ukumbi wa mikutano ya Hill Top Hotel,mjini Iringa kuhusiana na ufafanuzi wa Daftari la Kududumu la Wapiga Kura litakalotumika katika Uchaguzi wa Ubunge jimbo la Kalenga,unaotarajiwa kufanyika machi 16 mwaka huu.Jaji Lubuva amebainisha kuwa Tume haijafanya Uboreshaji kwa maana ya kuandikisha Wapiga kura wapya ambao hawakuwa...

 

5 years ago

Michuzi

NEC yatoa mafunzo ya uboreshaji wa daftari la kudumu la Wapiga kura kwa mikoa 12

TUME ya Taifa ya uchaguzi nchini (NEC), imetoa mafunzo ya kuwajengea uwezo  maofisa waandikishaji wasaidizi ngazi ya Wilaya na kata,maofisa Tehama wa Wilaya,waandishi wa vituo vya kupigia kura  na BVR Operator.

Shughuli  ya utoaji wa mafunzo imefanyika kwa mikoa 12 nchini,na  itakwenda  sambamba na zoezi la uwekaji wazi wa daftari la kudumu la wapiga kura awamu ya kwanza na  uboreshaji wa  daftari la kudumu la wapiga kura awumu ya pili.

Akizungumza na waandishi wa habari jijini Arusha, wakati...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani