NEC; ALIYETIMIZA MASHARTI ASIZUIWE KUPIGA KURA
![](http://api.ning.com:80/files/aMLkUWs6eSOLnXni7i2WH-r1nK46l2QNXgfdoQ-rqe4U0*zOSbVCS91GW0xpAoPBDsl3Mmm73eFrNTWfxciUVXN9nbLUTMIB/LUBUVA.jpg)
Mungu ni mwema, ndivyo ninavyoanza kusema katika makala haya, tumshukuru kwa amani tuliyonayo nchini hasa wakati huu tunapoelekea kwenye uchaguzi mkuu. Nchi nzima ipo katika mchakato wa kuwapata viongozi kwa njia ya kura kwa nafasi mbalimbali za kisiasa kupitia vyama vyao vya siasa, wakati hayo yakiendelea kumekuwepo na taarifa za mchakato huo kufanyika katika hali ya amani na utulivu katika maeneo mengi nchini, isipokuwa...
GPL
Habari Zinazoendana
9 years ago
Mtanzania21 Oct
NEC yatoa ufafanuzi utaratibu wa kupiga kura
JONAS MUSHI NA ALLEN MSAPI (GHITBS), DAR ES SALAAM
TUME ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) imetoa ufafanuzi zaidi juu ya masuala mbalimbali yanayowakanganya wananchi na kuibua taharuki kuhusu upigaji kura katika uchaguzi mkuu Jumapili ijayo.
Juzi, Mwenyekiti wa NEC, Jaji mstaafu Damian Lubuva, alitoa taarifa kwa vyombo vya habari kufafanua masuala yaliyokuwa yakihojiwa na wananchi kuhusu upigaji kura, taarifa ambayo nayo iliibua maswali mengine.
Moja ya suala lililoleta utata ni taarifa kuwa mtu...
11 years ago
Tanzania Daima31 May
Jukata yaishauri NEC siku ya kupiga kura
JUKWAA la Katiba Tanzania (Jukata) limeishauri Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) kuteua siku ya kazi kuwa siku ya kupiga kura badala ya siku za mwisho wa wiki. Pia limeishauri...
10 years ago
Habarileo28 May
NEC yaachiwa uamuzi siku ya kupiga kura
TUME ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) imeachiwa jukumu la kuamua siku ya kufanyika Uchaguzi Mkuu baada ya wabunge kutaka uchaguzi usiwe unafanyika katika siku za kuabudu ambazo ni Ijumaa, Jumamosi na Jumapili.
10 years ago
Habarileo18 Aug
NEC: Vitambulisho vya uraia havitatumika kupiga kura
Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) imesisitiza kuwa vitambulisho vya taifa vinavyotolewa na Mamlaka ya Vitambulisho vya Taifa (NIDA), havitatumika kupiga kura katika uchaguzi mkuu, isipokuwa kadi zitakazotolewa na tume hiyo.
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-ko14jQw3Zls/Xo68PqwYDeI/AAAAAAALmnI/Buhn4o0aV9QC_r349zTEh2OXzhnA6QljQCLcBGAsYHQ/s72-c/f2c70339-aa23-4cbc-9db9-7f8aabf8daca.jpg)
NEC yataka wananchi wajitokeze katika uhakiki wa wazi wa kuwezesha kupiga kura.
Wananchi waliojiandikisha katika Daftari la wapiga kura Mwaka 2015 na wale waliojiandikisha katika Uboreshaji wa Daftari Awamu ya kwanza wametakiwa kujitokeza kwa wingi kuhakiki taarifa zao pindi Daftari litakapowekwa wazi katika maeneo yao na watumie njia nyingine za uhakiki Kama ilivyoelekezwa.
Rai imetolewa leo Jijini Dar es salaam na Mwenyekiti wa Tume ya Uchaguzi Jaji wa Rufaa Semistocles Kaijage katika ufunguzi wa mkutano ulioandaliwa na Tume ya Taifa ya...
9 years ago
Mwananchi21 Oct
Waliopoteza kadi zao za kupigia kura hawataruhusiwa kupiga kura
10 years ago
Mwananchi18 Feb
Wanaharakati wakosoa masharti ya NEC, ZEC
10 years ago
Habarileo14 Aug
NEC yataja masharti Daftari la Wapigakura
TUME ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) imesema zoezi la uboreshaji wa Daftari la Kudumu la Wapiga kura linalotarajiwa kuanza hivi karibuni linamhusu kila raia mwenye sifa ya kupiga kura.
9 years ago
VijimamboWASIOONA WATISHIA KUTOMPIGIA KURA MWANASIASA AMBAYE HAJAWAWEKEA MAZINGIRA RAFIKI YA WAO KUPIGA KURA WAKATI WA UCHAGUZI MKUU
Na Dotto...