NEC yataka wananchi wajitokeze katika uhakiki wa wazi wa kuwezesha kupiga kura.
![](https://1.bp.blogspot.com/-ko14jQw3Zls/Xo68PqwYDeI/AAAAAAALmnI/Buhn4o0aV9QC_r349zTEh2OXzhnA6QljQCLcBGAsYHQ/s72-c/f2c70339-aa23-4cbc-9db9-7f8aabf8daca.jpg)
Na Chalila Kibuda,Michuzi TV
Wananchi waliojiandikisha katika Daftari la wapiga kura Mwaka 2015 na wale waliojiandikisha katika Uboreshaji wa Daftari Awamu ya kwanza wametakiwa kujitokeza kwa wingi kuhakiki taarifa zao pindi Daftari litakapowekwa wazi katika maeneo yao na watumie njia nyingine za uhakiki Kama ilivyoelekezwa.
Rai imetolewa leo Jijini Dar es salaam na Mwenyekiti wa Tume ya Uchaguzi Jaji wa Rufaa Semistocles Kaijage katika ufunguzi wa mkutano ulioandaliwa na Tume ya Taifa ya...
Michuzi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-acutzY_zQNk/U0BVg7cjE1I/AAAAAAAFY0E/ByY4ZD9TjNs/s72-c/01.jpg)
Tume ya Taifa ya Uchaguzi yasisitiza wapiga kura ndani ya Jimbo la Chalinze wajitokeze kwa wingi na kwenda kupiga kura
![](http://1.bp.blogspot.com/-acutzY_zQNk/U0BVg7cjE1I/AAAAAAAFY0E/ByY4ZD9TjNs/s1600/01.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-7HCd_PviCZk/U0BVixbE10I/AAAAAAAFY0M/QjkmDYMw94U/s1600/02.jpg)
9 years ago
Mwananchi05 Oct
NEC yasambaza karatasi za kura kwa uhakiki
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/hf-ryTpxXBO9nPGcclp6Aty1L513u20v2GBaTKDGqonDt27Gfa*aB5yekO7bA*WrF5POuAeIyadLiSZ3hDu0AmVlCmI-iR*U/KIEMBE.jpg?width=650)
WANANCHI WENGI WAJITOKEZA KUPIGA KURA KATIKA UCHAGUZI JIMBO LA KIEMBESAMAKI
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-6RBbNbDFeMw/Xo7LxMClfdI/AAAAAAABL_g/UEw-oL9azFkSUfcvouPCuENDIgPC6f0JwCLcBGAsYHQ/s72-c/f2c70339-aa23-4cbc-9db9-7f8aabf8daca.jpg)
MWENYEKITI WA NEC, ATANGAZA KUANZA UHAKIKI DAFTARI LA WAPIGA KURA AWAMU YA PILI
![](https://1.bp.blogspot.com/-6RBbNbDFeMw/Xo7LxMClfdI/AAAAAAABL_g/UEw-oL9azFkSUfcvouPCuENDIgPC6f0JwCLcBGAsYHQ/s640/f2c70339-aa23-4cbc-9db9-7f8aabf8daca.jpg)
HOTUBA YA MWENYEKITI WA TUME YA TAIFA YA UCHAGUZIMHE. JAJI WA RUFAA (MST.) SEMISTOCLES KAIJAGE (PICHANI) KWENYE MKUTANO WA TUME NA VYAMA VYA SIASA KATIKA UKUMBI WA MIKUTANO WA MWL. NYERERE, TAREHE 8 APRILI, 2020
• Mheshimiwa Makamu Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi,• Waheshimiwa Wajumbe wa Tume,• Mkurugenzi wa Uchaguzi,• Msajili wa Vyama vya Siasa,• Viongozi wa Vyama vya Siasa,• Mwakilishi wa Ofisi ya Waziri...
11 years ago
Tanzania Daima04 Apr
Mjumbe alazimishwa kupiga kura ya wazi
WAKATI Chama Cha Mapinduzi (CCM) kikiendelea kumwandama kwa kejeli Mwenyekiti wa Tume ya Mabadiliko ya Katiba, Jaji Joseph Warioba, mmoja wa makamishna wa tume hiyo naye ameonja ‘joto ya jiwe’...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-xdbn83j6dbo/Xk0_92Yi3ZI/AAAAAAALeWk/V3SlRS7rKMkwBYxPE14TEJT_SdTVzOq-QCLcBGAsYHQ/s72-c/IMG-20200218-WA0012.jpg)
Wananchi wametakiwa kujitokeza kwa wingi katika kipindi cha kupiga kura ili kupata kiongozi bora
Hayo yameelezwa na Mwenyekiti Wa umoja Wa jumuiya ya wazazi nchi Edmund Mundolwa wakati akiongea na wananchi, makadi wa CCM Wa halmashauri ya Meru alipofanya ziara ya kutembelea na kuona kuzindua rasmi mradi Wa Nyuki uliopo katika Kijiji cha Sakila chini...
10 years ago
GPL![](http://globalpublishers.co.tz/wp-content/uploads/2015/04/lubuva1.jpg)
UHAKIKI WA TAARIFA KATIKA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA
11 years ago
Tanzania Daima31 May
Jukata yaishauri NEC siku ya kupiga kura
JUKWAA la Katiba Tanzania (Jukata) limeishauri Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) kuteua siku ya kazi kuwa siku ya kupiga kura badala ya siku za mwisho wa wiki. Pia limeishauri...
9 years ago
Mtanzania21 Oct
NEC yatoa ufafanuzi utaratibu wa kupiga kura
JONAS MUSHI NA ALLEN MSAPI (GHITBS), DAR ES SALAAM
TUME ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) imetoa ufafanuzi zaidi juu ya masuala mbalimbali yanayowakanganya wananchi na kuibua taharuki kuhusu upigaji kura katika uchaguzi mkuu Jumapili ijayo.
Juzi, Mwenyekiti wa NEC, Jaji mstaafu Damian Lubuva, alitoa taarifa kwa vyombo vya habari kufafanua masuala yaliyokuwa yakihojiwa na wananchi kuhusu upigaji kura, taarifa ambayo nayo iliibua maswali mengine.
Moja ya suala lililoleta utata ni taarifa kuwa mtu...