Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


NEC yasambaza karatasi za kura kwa uhakiki

Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC), imetoa karatasi za mfano za kupigia kura na kuwataka wadau kuzikagua na kubainisha kasoro zilizopo kabla karatasi halisi hazijawasili.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Michuzi

NEC YAPOKEA KARATASI ZA MFANO WA KURA

Na Lydia Churi-NEC

TUME ya Taifa ya Uchaguzi imewataka wakurugenzi wa Halmashauri zote nchini ambao ni wasimamizi wa Uchaguzi kuhakikisha wanakagua vifaa wanavyopokea vinavyosambazwa hivi sasa kwa ajili ya Uchaguzi ili kuondoa dosari zinazoweza kujitokeza wakati wa Uchaguzi Mkuu. 


Mkurugenzi wa Ununuzi na Ugavi wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) Eliudi Njaila ameyasema hayo leo jijini Dar es salaam wakati wakiwaonyesha waandishi wa habari karatasi za mfano za kupigia kura zilizopokelewa na...

 

10 years ago

Mwananchi

Kilichobaki kuwasili ni karatasi za kura tu - NEC

Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) imesema zaidi ya robo tatu ya vifaa muhimu vinavyohitajika kwa uchaguzi vimewasili isipokuwa karatasi za kupigia kura.

 

5 years ago

Michuzi

NEC yataka wananchi wajitokeze katika uhakiki wa wazi wa kuwezesha kupiga kura.

Na Chalila Kibuda,Michuzi TV

 Wananchi waliojiandikisha katika Daftari la wapiga kura Mwaka 2015 na wale waliojiandikisha katika Uboreshaji wa Daftari Awamu ya kwanza wametakiwa kujitokeza kwa wingi kuhakiki taarifa zao pindi Daftari litakapowekwa wazi katika maeneo yao na watumie njia nyingine za uhakiki Kama ilivyoelekezwa.

Rai imetolewa leo Jijini Dar es salaam na Mwenyekiti wa Tume ya Uchaguzi Jaji wa Rufaa Semistocles Kaijage katika ufunguzi wa mkutano ulioandaliwa na Tume ya Taifa ya...

 

5 years ago

CCM Blog

MWENYEKITI WA NEC, ATANGAZA KUANZA UHAKIKI DAFTARI LA WAPIGA KURA AWAMU YA PILI


HOTUBA YA MWENYEKITI WA TUME YA TAIFA YA UCHAGUZI

MHE.  JAJI WA RUFAA (MST.) SEMISTOCLES KAIJAGE (PICHANI)  KWENYE MKUTANO WA TUME NA  VYAMA VYA SIASA KATIKA

UKUMBI WA MIKUTANO WA MWL. NYERERE, 

TAREHE 8 APRILI, 2020


•             Mheshimiwa Makamu Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi,

•             Waheshimiwa Wajumbe wa Tume,

•             Mkurugenzi wa Uchaguzi,

•             Msajili wa Vyama vya Siasa,

•             Viongozi wa Vyama vya Siasa,

•             Mwakilishi wa Ofisi ya Waziri...

 

10 years ago

Habarileo

Mgombea kortini kwa karatasi bandia za kura

WATU kumi akiwamo mgombea mmoja wa uenyekiti wa kitongoji cha Nyasura D, katika Mamlaka ya Mji Mdogo wa Bunda, wamefikishwa katika Mahakama ya Wilaya ya Bunda, wakituhumiwa kufanya vurugu wakati wa uchaguzi wa Serikali za Mitaa.

 

10 years ago

Habarileo

NEC yasambaza vifaa vya uchaguzi

TUME ya Taifa ya Uchaguzi (NEC), imeanza kusambaza vifaa vyenye thamani ya Sh bil 41.6 kwa ajili ya uchaguzi mkuu wa Oktoba 25.

 

10 years ago

Habarileo

NEC sasa yaanza uhakiki waliopita bila kupingwa

TUME ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) imesema inawasiliana na wasimamizi wa uchaguzi katika ngazi za halmashauri ili kupata idadi kamili ya wagombea waliopita bila upingwa katika ngazi za ubunge na udiwani.

 

9 years ago

Mwananchi

Karatasi za kura zazagaa mitaani

Ikiwa leo ni siku ya kupiga kura katika Uchaguzi Mkuu katika nchi ya Jamhuri ya Afrika ya Kati, inadaiwa kuwa karatasi za kupigia kura zimezagaa mitaani.

 

10 years ago

Mwananchi

Karatasi 480 za kura zadaiwa kutelekezwa

Karatasi 480 za kura kwa ajili ya Rais na mbunge ambazo zimetumika zimedaiwa kutelekezwa karibu na Chuo cha Misitu (FITI) katika Kata ya Njoro Manispaa ya Moshi mkoani Kilimanjaro.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani