Karatasi za kura zazagaa mitaani
Ikiwa leo ni siku ya kupiga kura katika Uchaguzi Mkuu katika nchi ya Jamhuri ya Afrika ya Kati, inadaiwa kuwa karatasi za kupigia kura zimezagaa mitaani.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Habarileo16 Feb
Dawa zilizopigwa ‘stop’ zazagaa mitaani
LICHA ya Mamlaka ya Chakula, Dawa na Vipodozi (TFDA) kufuta usajili na kupiga marufuku uuzaji wa dawa duni, zenye madhara na zisizofaa kwa matumizi ya binadamu, dawa hizo zimegundulika kuuzwa holela na baadhi ya wamiliki wa maduka ya dawa katika kata ya Kisesa wilayani Magu mkoani Mwanza.
10 years ago
Mwananchi13 Dec
Karatasi za kupigia kura zanaswa D’Salaam
9 years ago
Mwananchi22 Sep
Kilichobaki kuwasili ni karatasi za kura tu - NEC
9 years ago
Michuzi04 Oct
NEC YAPOKEA KARATASI ZA MFANO WA KURA
Mkurugenzi wa Ununuzi na Ugavi wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) Eliudi Njaila ameyasema hayo leo jijini Dar es salaam wakati wakiwaonyesha waandishi wa habari karatasi za mfano za kupigia kura zilizopokelewa na...
9 years ago
Mwananchi01 Nov
Karatasi 480 za kura zadaiwa kutelekezwa
9 years ago
Mwananchi05 Oct
NEC yasambaza karatasi za kura kwa uhakiki
10 years ago
Habarileo17 Dec
Mgombea kortini kwa karatasi bandia za kura
WATU kumi akiwamo mgombea mmoja wa uenyekiti wa kitongoji cha Nyasura D, katika Mamlaka ya Mji Mdogo wa Bunda, wamefikishwa katika Mahakama ya Wilaya ya Bunda, wakituhumiwa kufanya vurugu wakati wa uchaguzi wa Serikali za Mitaa.
9 years ago
Habarileo25 Aug
Wasioona wataka karatasi maalumu za kupigia kura
CHAMA cha Wasioona Tanzania (TLB), kimeomba Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC), kuandaa karatasi maalumu za kupigia kura kwa wasioona ili kuondoa uwezekano wa mtu aliyeteuliwa kupiga kura kwa niaba ya asiyeona kumrubuni.
9 years ago
Vijimambo02 Oct
Polisi wakanusha karatasi za kura kukamatwa Masasi.
![](http://www.ippmedia.com/media/picture/large/H-01Oct2015.png)
Jeshi la Polisi Mkoa wa Mtwara limekanusha taarifa zinazodaiwa kuandikwa katika mtandao mmoja wa kijamii, zikidai kukamatwa kwa baadhi ya watu katika kituo cha polisi wilaya ya Masasi mkoani hapa wakiwa na masanduku na fomu za kupigia kura zipatazo 2000 zikiwa tayari zimetumika.
Akizungumza na waandishi wa habari mjini hapa jana, Kamanda wa Polisi Mkoa wa Mtwara, Henry Mwaibambe, alisema taarifa hizo zilidai kuwa, fomu hizo zilimpa alama ya...