Karatasi 480 za kura zadaiwa kutelekezwa
Karatasi 480 za kura kwa ajili ya Rais na mbunge ambazo zimetumika zimedaiwa kutelekezwa karibu na Chuo cha Misitu (FITI) katika Kata ya Njoro Manispaa ya Moshi mkoani Kilimanjaro.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Mwananchi30 Dec
Karatasi za kura zazagaa mitaani
9 years ago
Michuzi04 Oct
NEC YAPOKEA KARATASI ZA MFANO WA KURA
Mkurugenzi wa Ununuzi na Ugavi wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) Eliudi Njaila ameyasema hayo leo jijini Dar es salaam wakati wakiwaonyesha waandishi wa habari karatasi za mfano za kupigia kura zilizopokelewa na...
10 years ago
Mwananchi13 Dec
Karatasi za kupigia kura zanaswa D’Salaam
9 years ago
Mwananchi22 Sep
Kilichobaki kuwasili ni karatasi za kura tu - NEC
10 years ago
Habarileo17 Dec
Mgombea kortini kwa karatasi bandia za kura
WATU kumi akiwamo mgombea mmoja wa uenyekiti wa kitongoji cha Nyasura D, katika Mamlaka ya Mji Mdogo wa Bunda, wamefikishwa katika Mahakama ya Wilaya ya Bunda, wakituhumiwa kufanya vurugu wakati wa uchaguzi wa Serikali za Mitaa.
9 years ago
Habarileo25 Aug
Wasioona wataka karatasi maalumu za kupigia kura
CHAMA cha Wasioona Tanzania (TLB), kimeomba Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC), kuandaa karatasi maalumu za kupigia kura kwa wasioona ili kuondoa uwezekano wa mtu aliyeteuliwa kupiga kura kwa niaba ya asiyeona kumrubuni.
9 years ago
Mwananchi05 Oct
NEC yasambaza karatasi za kura kwa uhakiki
9 years ago
Vijimambo02 Oct
Polisi wakanusha karatasi za kura kukamatwa Masasi.
![](http://www.ippmedia.com/media/picture/large/H-01Oct2015.png)
Jeshi la Polisi Mkoa wa Mtwara limekanusha taarifa zinazodaiwa kuandikwa katika mtandao mmoja wa kijamii, zikidai kukamatwa kwa baadhi ya watu katika kituo cha polisi wilaya ya Masasi mkoani hapa wakiwa na masanduku na fomu za kupigia kura zipatazo 2000 zikiwa tayari zimetumika.
Akizungumza na waandishi wa habari mjini hapa jana, Kamanda wa Polisi Mkoa wa Mtwara, Henry Mwaibambe, alisema taarifa hizo zilidai kuwa, fomu hizo zilimpa alama ya...
11 years ago
Tanzania Daima22 Apr
Waathirika wa mafuriko wadai kutelekezwa
BAADHI ya wakazi wa Kijiji cha Bulembo ambao walikumbwa na maafa ya nyumba zao kuanguka na nyingine kuezuliwa na mazao yao kuharibiwa na mvua, wamedai kutelekezwa na serikali. Wakizungumza kwa...