Waliopoteza vitambulisho watapiga kura — NEC
NA JONAS MUSHI, DAR ES SAALAM
TUME ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) imesema waliopoteza vitambulisho vya kupigia kura wataweza kupiga kura endapo watakuwa na taarifa ya polisi na majina yao kuwamo katika daftari la mpiga kura.
Hayo yalielezwa Dar es Salaam jana na Kamishna wa NEC, Mary Stelalongwe alipotoa ufafanuzi kuhusu watu wanaozunguka mitaani kuandika namba za vitambulisho vya wapiga kura.
Alionya kuwa kufanya hivyo ni kosa ingawa alisema NEC haina taarifa rasmi ya matukio hayo.
Wakati...
Mtanzania
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi21 Sep
NEC kuwasaidia waliopoteza vitambulisho vya kupigia kura
11 years ago
Habarileo18 Aug
NEC: Vitambulisho vya uraia havitatumika kupiga kura
Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) imesisitiza kuwa vitambulisho vya taifa vinavyotolewa na Mamlaka ya Vitambulisho vya Taifa (NIDA), havitatumika kupiga kura katika uchaguzi mkuu, isipokuwa kadi zitakazotolewa na tume hiyo.
10 years ago
BBCSwahili08 Oct
Kwa nini wavuvi Zanzibar watapiga kura
10 years ago
Mwananchi21 Oct
Waliopoteza kadi zao za kupigia kura hawataruhusiwa kupiga kura
10 years ago
Michuzi22 Oct
TAARIFA KUHUSU WALIOPOTEZA KADI ZAO ZA KUPIGIA KURA

OFISI Usambazaji na Ugavi wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC), Eliud Njaila akiwaonyesha waandishi wa habari vizimba vya kupigia kura siku ya uchaguzi. Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC), imesema wapiga kura waliopoteza kadi zao za kupigia kura hawataruhusiwa kupiga kura katika uchaguzi utakaofanyika nchini kote siku ya Jumapili.
Akizungumza katika mkutano wa vyama vya siasa na NEC mjini Dodoma leo, Ofisa Mwandamizi wa tume hiyo William Kitebi, amesema watu hao hawataruhusiwa hata kama majina na...
10 years ago
Mwananchi28 Jul
Adakwa na vitambulisho zaidi ya 40 vya kura
11 years ago
Habarileo20 Jun
Vitambulisho vya kura kutolewa upya
VITAMBULISHO vya kupiga kura nchini, vitatolewa upya kwa wananchi wote, ikiwa ni sehemu ya mchakato wa kuboresha daftari la kudumu la wapigakura. Mchakato huo wa kutoa vitambulisho upya, utakaotekelezwa Septemba mwaka huu, utagharimu Sh bilioni 293 .
11 years ago
CloudsFM20 Jun
VITAMBULISHO VYA KUPIGIA KURA KUTOLEWA UPYA
VITAMBULISHO vya kupiga kura nchini, vitatolewa upya kwa wananchi wote, ikiwa ni sehemu ya mchakato wa kuboresha daftari la kudumu la wapigakura. Mchakato huo wa kutoa vitambulisho upya, utakaotekelezwa Septemba mwaka huu, utagharimu Sh bilioni 293 .
Tofauti na vitambulisho vya awali vya karatasi vilivyotolewa kwa mara ya kwanza mwaka 2004, vipya vitakuwa vya plastiki. Vimebadilishwa kutokana na matumizi ya teknolojia mpya katika uandikishaji.
Teknolojia itakayotumika ni ya Biometric Voter...
10 years ago
Dewji Blog25 Jul
CHADEMA kuwashughulikia wanaokusanya vitambulisho vya kura
Mjumbe wa Kamati kuu ya Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Tundu Lissu, akiongea na wanachama na wananchi kwa ujumla kwenye mkutano wa kuwatambulisha watia nia ya kugombea nafasi za ubunge na udiwani katika jimbo la Singida magharibi,mkutano uliofanyika katika Kijiji cha Puma,tarafa ya Ihanja
Baadhi ya watia nia ya udiwani na ubunge katika jimbo la Singida magharibi wakisakata ngoma za asili baada ya kumpokea mgeni rasmi katika mkutano huo.
Na Jumbe Ismailly,Ikungi
CHAMA...