Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Vitambulisho vya kura kutolewa upya

VITAMBULISHO vya kupiga kura nchini, vitatolewa upya kwa wananchi wote, ikiwa ni sehemu ya mchakato wa kuboresha daftari la kudumu la wapigakura. Mchakato huo wa kutoa vitambulisho upya, utakaotekelezwa Septemba mwaka huu, utagharimu Sh bilioni 293 .

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

CloudsFM

VITAMBULISHO VYA KUPIGIA KURA KUTOLEWA UPYA

VITAMBULISHO vya kupiga kura nchini, vitatolewa upya kwa wananchi wote, ikiwa ni sehemu ya mchakato wa kuboresha daftari la kudumu la wapigakura. Mchakato huo wa kutoa vitambulisho upya, utakaotekelezwa Septemba mwaka huu, utagharimu Sh bilioni 293 .
Tofauti na vitambulisho vya awali vya karatasi vilivyotolewa kwa mara ya kwanza mwaka 2004, vipya vitakuwa vya plastiki. Vimebadilishwa kutokana na matumizi ya teknolojia mpya katika uandikishaji.

Teknolojia itakayotumika ni ya Biometric Voter...

 

5 years ago

Michuzi

NIDA YAHAKIKI UPYA MAOMBI YA VITAMBULISHO VYA TAIFA YENYE CHANGAMOTO ZA URAIA

Mamlaka ya Vitambulisho vya Taifa (NIDA), inaendelea kutekeleza agizo la Serikali la kuhakiki kwa kina maombi yote ya waombaji wa Vitambulisho vya Taifa yenye changamoto na upungufu mbalimbali ukiwemo uraia wa waombaji ili kuondoa mianya ya udanganyifu unaoweza kujipenyeza na hivyo kutoa Vitambulisho vya raia kwa watu wasio raia wa Tanzania.
Kwa mujibu wa Afisa Habari Mkuu wa NIDA Geofrey Tengeneza, NIDA kwa kushirikiana na Idara ya Uhamiaji, Kamati za Ulinzi na Usalama za Wilaya na Mikoa,...

 

10 years ago

Mwananchi

Adakwa na vitambulisho zaidi ya 40 vya kura

Mkazi wa Shikombe wilayani Geita, Buhula Ngassa (47) amekamatwa na vitambulisho 43 vya wapiga kura, hata hivyo amedai vilikuwa vya wateja wake waliofika kwake kusajili simu.

 

10 years ago

Dewji Blog

CHADEMA kuwashughulikia wanaokusanya vitambulisho vya kura

SAM_0054

Mjumbe wa Kamati kuu ya Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Tundu Lissu, akiongea na wanachama na wananchi kwa ujumla kwenye mkutano wa kuwatambulisha watia nia ya kugombea nafasi za ubunge na udiwani katika jimbo la Singida magharibi,mkutano uliofanyika katika Kijiji cha Puma,tarafa ya Ihanja

SAM_0049

SAM_0030

Baadhi ya watia nia ya udiwani na ubunge katika jimbo la Singida magharibi wakisakata ngoma za asili baada ya kumpokea mgeni rasmi katika mkutano huo.

Na Jumbe Ismailly,Ikungi      

CHAMA...

 

9 years ago

Mtanzania

Jeshi lakana kunyang’anya vitambulisho vya kura

1NA AZIZA MASOUD, DAR ES SALAAM
JESHI la Wananchi wa Tanzania (JWTZ) limekanusha kuwanyang’anya vitambulisho vya kupigia kura maofisa na askari wake na kudai kuwa kama kuna kiongozi anayefanya hivyo aache mara moja, kwakuwa ni kinyume cha sheria.
Jeshi limelazimika kutoa kauli hiyo baada ya kuwapo kwa malalamiko kutoka kwa baadhi ya askari wa jeshi hilo pamoja na polisi ya kulazimishwa na viongozi wao kutoa vitambulisho vya kupigia kura na wengine kudai kupewa
vitisho endapo...

 

10 years ago

Habarileo

NEC: Vitambulisho vya uraia havitatumika kupiga kura

Mkurugenzi wa Uchaguzi, Julius MallabaTume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) imesisitiza kuwa vitambulisho vya taifa vinavyotolewa na Mamlaka ya Vitambulisho vya Taifa (NIDA), havitatumika kupiga kura katika uchaguzi mkuu, isipokuwa kadi zitakazotolewa na tume hiyo.

 

9 years ago

Mwananchi

NEC kuwasaidia waliopoteza vitambulisho vya kupigia kura

Wakati zaidi ya robo tatu ya vifaa vinavyohitajika vikiwa vimewasili nchini, Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) imesema inaangalia namna ya kuwasaidia waliopoteza vitambulisho vyao kushiriki kupiga kura.

 

10 years ago

Habarileo

NIDA: Vitambulisho vya uraia havitatumika kupiga kura

Mkurugenzi wa Uchaguzi, Julius MallabaMAMLAKA ya Vitambulisho vya Taifa (NIDA) imesisitiza vitambulisho vya uraia, havitatumika kupiga kura katika uchaguzi mkuu, isipokuwa kadi zitakazotolewa na Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC).

 

11 years ago

Mwananchi

MAONI: Mradi ‘Vitambulisho vya Kura’ unatia shaka

>Maelezo ya Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) kuhusu mradi wake wa matumizi ya teknolojia mpya ya Biometric Voter Registration (BVR) katika maboresho ya Daftari la Kudumu la Wapigakura yameacha maswali mengi kuliko majibu.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani