Adakwa na vitambulisho zaidi ya 40 vya kura
Mkazi wa Shikombe wilayani Geita, Buhula Ngassa (47) amekamatwa na vitambulisho 43 vya wapiga kura, hata hivyo amedai vilikuwa vya wateja wake waliofika kwake kusajili simu.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Habarileo20 Jun
Vitambulisho vya kura kutolewa upya
VITAMBULISHO vya kupiga kura nchini, vitatolewa upya kwa wananchi wote, ikiwa ni sehemu ya mchakato wa kuboresha daftari la kudumu la wapigakura. Mchakato huo wa kutoa vitambulisho upya, utakaotekelezwa Septemba mwaka huu, utagharimu Sh bilioni 293 .
11 years ago
CloudsFM20 Jun
VITAMBULISHO VYA KUPIGIA KURA KUTOLEWA UPYA
VITAMBULISHO vya kupiga kura nchini, vitatolewa upya kwa wananchi wote, ikiwa ni sehemu ya mchakato wa kuboresha daftari la kudumu la wapigakura. Mchakato huo wa kutoa vitambulisho upya, utakaotekelezwa Septemba mwaka huu, utagharimu Sh bilioni 293 .
Tofauti na vitambulisho vya awali vya karatasi vilivyotolewa kwa mara ya kwanza mwaka 2004, vipya vitakuwa vya plastiki. Vimebadilishwa kutokana na matumizi ya teknolojia mpya katika uandikishaji.
Teknolojia itakayotumika ni ya Biometric Voter...
10 years ago
Dewji Blog25 Jul
CHADEMA kuwashughulikia wanaokusanya vitambulisho vya kura
Mjumbe wa Kamati kuu ya Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Tundu Lissu, akiongea na wanachama na wananchi kwa ujumla kwenye mkutano wa kuwatambulisha watia nia ya kugombea nafasi za ubunge na udiwani katika jimbo la Singida magharibi,mkutano uliofanyika katika Kijiji cha Puma,tarafa ya Ihanja
Baadhi ya watia nia ya udiwani na ubunge katika jimbo la Singida magharibi wakisakata ngoma za asili baada ya kumpokea mgeni rasmi katika mkutano huo.
Na Jumbe Ismailly,Ikungi
CHAMA...
9 years ago
Mwananchi21 Sep
NEC kuwasaidia waliopoteza vitambulisho vya kupigia kura
10 years ago
Habarileo18 Aug
NEC: Vitambulisho vya uraia havitatumika kupiga kura
Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) imesisitiza kuwa vitambulisho vya taifa vinavyotolewa na Mamlaka ya Vitambulisho vya Taifa (NIDA), havitatumika kupiga kura katika uchaguzi mkuu, isipokuwa kadi zitakazotolewa na tume hiyo.
9 years ago
Mtanzania15 Aug
Jeshi lakana kunyang’anya vitambulisho vya kura
NA AZIZA MASOUD, DAR ES SALAAM
JESHI la Wananchi wa Tanzania (JWTZ) limekanusha kuwanyang’anya vitambulisho vya kupigia kura maofisa na askari wake na kudai kuwa kama kuna kiongozi anayefanya hivyo aache mara moja, kwakuwa ni kinyume cha sheria.
Jeshi limelazimika kutoa kauli hiyo baada ya kuwapo kwa malalamiko kutoka kwa baadhi ya askari wa jeshi hilo pamoja na polisi ya kulazimishwa na viongozi wao kutoa vitambulisho vya kupigia kura na wengine kudai kupewa
vitisho endapo...
11 years ago
Mwananchi25 Jun
MAONI: Mradi ‘Vitambulisho vya Kura’ unatia shaka
10 years ago
Habarileo18 Aug
NIDA: Vitambulisho vya uraia havitatumika kupiga kura
MAMLAKA ya Vitambulisho vya Taifa (NIDA) imesisitiza vitambulisho vya uraia, havitatumika kupiga kura katika uchaguzi mkuu, isipokuwa kadi zitakazotolewa na Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC).
10 years ago
MichuziRAIA WAKIGENI 2040 WAKAMATWA WAKIWA NA VITAMBULISHO VYA KUPIGIA KURA