Kwa nini wavuvi Zanzibar watapiga kura
Wavuvi wa Zanzibar wanaelezea sababu zao za kupiga kura katika uchaguzi ujao.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
9 years ago
Mtanzania01 Oct
Waliopoteza vitambulisho watapiga kura — NEC
NA JONAS MUSHI, DAR ES SAALAM
TUME ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) imesema waliopoteza vitambulisho vya kupigia kura wataweza kupiga kura endapo watakuwa na taarifa ya polisi na majina yao kuwamo katika daftari la mpiga kura.
Hayo yalielezwa Dar es Salaam jana na Kamishna wa NEC, Mary Stelalongwe alipotoa ufafanuzi kuhusu watu wanaozunguka mitaani kuandika namba za vitambulisho vya wapiga kura.
Alionya kuwa kufanya hivyo ni kosa ingawa alisema NEC haina taarifa rasmi ya matukio hayo.
Wakati...
9 years ago
Mzalendo Zanzibar11 Sep
Ni kwa nini ccm wameshikilia kura za uraisi tu zisitangazwe kwenye vituo vya kupigia kura?
Hakuna shaka kua ccm wanataka kufanya wizi wa kubadilisha madokeo ya kura za Uraisi ,vipi madokeo ya kila kituo yanajulikana baada ya umalizikaji wa kupiga kura katika kituo husika halafu leo uambiwe usitangaze nani kashinda katika […]
The post Ni kwa nini ccm wameshikilia kura za uraisi tu zisitangazwe kwenye vituo vya kupigia kura? appeared first on Mzalendo.net.
10 years ago
Mwananchi01 Mar
MCHAKATO KATIBA MPYA: Kwa nini muda wa BVR hautoshi kwa Kura ya Maoni
9 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-Adkhy8eTRtk/ViUjhvjY8EI/AAAAAAADBJs/7UO4LrL5xkE/s72-c/3.jpg)
PAMOJA NA KUWAOMBA KURA,MAGUFULI AWAASA WAVUVI KUTOFANYA UVUVI HARAMU.
![](http://2.bp.blogspot.com/-Adkhy8eTRtk/ViUjhvjY8EI/AAAAAAADBJs/7UO4LrL5xkE/s640/3.jpg)
Dk Magufuli akiwahutubia wananchi hao ambao wengi wao ni wavuvi....
11 years ago
Habarileo10 Mar
KWA NINI SERIKALI 2 HAZIEPUKIKI?:Uchumi Zanzibar unategemea Bara
WAKATI Bunge Maalum la Katiba likisuasua katika kuunda kanuni za kuongoza wajumbe wake, taarifa zinaonesha katika muundo uliopo wa serikali mbili, mbali na kuimarisha umoja na mshikamano wa Taifa, pia Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar (SMZ), imekuwa ikinufaika nao kiuchumi.
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-j7r4pQaklBw/U6RR91XvhJI/AAAAAAAFsAU/RDW0GLHM1dU/s72-c/unnamed+(21).jpg)
Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar yawasaidia Wavuvi wa Kijiji cha Kivunge
Ikasisitiza tena na kuonya kwamba hilo litakuwa ni tukio la mwisho kubebwa na Serikali la kulipa fidia kwa migogoro yoyote itakayosababishwa na wana jamii katika maeneo mbali mbali kutokana na...
9 years ago
VijimamboViongozi wa Vyama vya Siasa Zanzibar Wakiwa katika Ukumbi wa Salama Bwawani Zanzibar Wakisubiri Matokeo ya Kura ya Urais wa Zanzibar
9 years ago
Habarileo07 Dec
47 wadaiwa kuachika kwa kupiga kura Zanzibar
CHAMA cha Waandishi wa Habari Wanawake (TAMWA) - Zanzibar, kimeelezea kusikitishwa na tabia ya wanaume kuwazuia wanawake kupiga kura katika Uchaguzi Mkuu uliofanyika Oktoba 25, huku wengine wakilazimika kuchukua hatua ya kuwapa talaka wake zao waliong’ang’ania kufanya hivyo.
9 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-sJcgz5iBppk/ViUSWaZSbmI/AAAAAAABnc0/Dqnrr1dkvwk/s72-c/DSC01058.jpg)
DK. SHEIN AOMBA KURA KWA WANANCHI WA DIMANI MJINI MAGHARIBI, ZANZIBAR
![](http://2.bp.blogspot.com/-sJcgz5iBppk/ViUSWaZSbmI/AAAAAAABnc0/Dqnrr1dkvwk/s640/DSC01058.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-3ee1lUcnCd0/ViUSafFWg7I/AAAAAAABnc8/5ohzYmdkcCw/s640/DSC01016.jpg)