JAJI AUGUSTINO RAMADHANI AHIMIZA AFRIKA KUHESHIMU HAKI ZA BINADAMU,AZITAKA NCHI ZAIDI KUTOA TAMKO LA KUITAMBUA MAHAKAMA HIYO
![](http://3.bp.blogspot.com/-urc-CtGTM7Y/VWL0Mwtpn_I/AAAAAAAHZp0/M3-O-zX1TXY/s72-c/1.jpg)
Rais wa Mahakama ya Afrika ya Haki za Binadamu(AfCPHR)yenye makao yake jijini Arusha,Jaji Mstaafu wa Tanzania,Augustino Ramadhani(katikati)akizungumza katika hafla ya chakula cha jioni kilichondaliwa na taasisi ya Pan African Lawyers Union(PALU)kushoto ni Afisa Mtendaji Mkuu wa PALU,Donald Deya na kulia ni Mkuu wa mawasiliano wa AfCPHR,Sukhdev Chatbar.
Baadhi ya maafisa wa AfCPHR,PALU na waandishi wa habari wakifatilia hafla hiyo. 4.Mwandishi wa habari wa siku nyingi ambaye alikua mwezeshaji...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-ju8_ZAE8OwA/VA7LOIfuWsI/AAAAAAAGiNA/-HsCOn2iSHI/s72-c/Jaji-Augustino-Ramadhan.jpg)
JAJI AUGUSTINO RAMADHAN AWA RAISI WA MAHAKAMA YA AFRIKA YA HAKI ZA BINADAMU
![](http://2.bp.blogspot.com/-ju8_ZAE8OwA/VA7LOIfuWsI/AAAAAAAGiNA/-HsCOn2iSHI/s1600/Jaji-Augustino-Ramadhan.jpg)
Mahakama ya Afrika ya haki za binadamu imemteua Jaji mkuu mstaafu wa Tanzania Agustino Ramadhan kuwa rais wa mahakama hiyo kwa kipindi cha miaka miwili uteuzi huounaanza mara moja baada ya aliyekuwa rais wa mahakama hiyo Sophia Akuffo wa Ghana kumaliza muda wake.
Jaji Ramadhani Mtanzania wa kwanza kushikilia kiti hicho tangia kuanzishwa kwa mahakama hiyo baada ya kupata kura 7 kwa kura nne dhidi ya mpinzania wake katika nafasi hiyo ya rais wa mahakama hiyo huku nafasi...
10 years ago
Habarileo24 Nov
Jaji Ramadhani ataka Afrika kuzingatia haki za binadamu
RAIS wa Mahakama ya Afrika ya Haki za Binadamu (AfCHPR) Jaji Augustino Ramadhani amezitaka nchi za Afrika kuzingatia zaidi masuala ya haki za binadamu kama kweli zinataka kupiga hatua za kiuchumi na kidemokrasia.
9 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-sdzCm2mQasc/VijHV3LT17I/AAAAAAAAE50/JAikOfuvPG8/s72-c/1.jpg)
MAHAKAMA YA HAKI ZA BINADAMU YAADHIMISHA SIKU YA HAKI ZA BINADAMU AFRIKA JIJINI ARUSHA
![](http://1.bp.blogspot.com/-sdzCm2mQasc/VijHV3LT17I/AAAAAAAAE50/JAikOfuvPG8/s640/1.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-1jiUFRYnO2s/VijHclt6wII/AAAAAAAAE58/VpaB20eNO_8/s640/2.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-HwLSGqa5iPA/VijHzxQEmKI/AAAAAAAAE6E/QO2UWhpIRX8/s640/3.jpg)
10 years ago
Dewji Blog23 Mar
Jaji Agustino Ramadhani ahutubia mkutano wa Haki za Binadamu
Raisi wa Mahakama ya Afrika ya Haki za binadamu Jaji Agustino Ramadhani, akihutubia mkutano wa Haki za binadamu uliofanyika jana jijini Arusha wenye lengo la kuimarisha haki za binadamu na kushirikisha taasisi binafsi na za serikali katika kuisaidia Mahakama hiyo .Picha na Mahmoud Ahmad – Arusha).
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-e0d8fddpW1Y/Xq1RDZcZbYI/AAAAAAALo1Q/RXet2-3e9YYExqZbVWuaf2_P6BeA0N7FQCLcBGAsYHQ/s72-c/WhatsApp%2BImage%2B2020-05-02%2Bat%2B13.52.15.jpeg)
10 years ago
Tanzania Daima11 Sep
MC Mkongwe ampongeza Jaji Augustino Ramadhani
MSHEREHESHAJI maarufu nchini, MC Mackie G. Mdachi ‘MC Mkongwe’ amempongeza Mwanafani mwenzao Jaji Mkuu Mstaafu, Augustino Ramadhani kwa kuchaguliwa kuwa Rais wa Mahakama ya Afrika ya Haki za Binadamu. Akizungumza...
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-bq9Z31SZDrU/VNPI0TLrYiI/AAAAAAAHCFY/c3_S1nyii8Y/s72-c/unnamed%2B(21).jpg)
RAIS WA UJERUMANI AVUTIWA NA MAHAKAMA YA AFRIKA YA HAKI ZA BINADAMU
![](http://3.bp.blogspot.com/-bq9Z31SZDrU/VNPI0TLrYiI/AAAAAAAHCFY/c3_S1nyii8Y/s1600/unnamed%2B(21).jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-Y4lO13NhOjc/VNPI_aI47SI/AAAAAAAHCFg/cZ-SVUm_baM/s1600/unnamed%2B(22).jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-otSyiaKNuIk/VNPJAz7MIaI/AAAAAAAHCFo/TRCC_kTmpf0/s1600/unnamed%2B(23).jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-_kKyJCj3gRY/XqseOICV5iI/AAAAAAALotw/sZ3aI1oZ9v078g3K8ANrgST9ASRd-h1EQCLcBGAsYHQ/s72-c/IMG-20200430-WA0049.jpg)
JAJI AUGUSTINO RAMADHANI KUAGWA KITAIFA KESHO
![](https://1.bp.blogspot.com/-_kKyJCj3gRY/XqseOICV5iI/AAAAAAALotw/sZ3aI1oZ9v078g3K8ANrgST9ASRd-h1EQCLcBGAsYHQ/s640/IMG-20200430-WA0049.jpg)
Mwili wa aliyekuwa Jaji Mkuu Mstaafu wa Tanzania, Mhe. Augustino Ramadhani unatarajiwa kuagwa rasmi kitaifa kesho Ijumaa Mei Mosi, mwaka huu katika viwanja vya Karimjee, na mazishi yatafanyika Mei 2 Kimara jijini Dar es salaam.
Kiongozi huyo ataagwa Kitaifa kwa mujibu wa Sheria ya Mazishi ya Viongozi wa Kitaifa ya mwaka 2006.Taarifa iliyotolewa leo na Msajili wa Mahakama ya Rufani Tanzania, Mhe. Kelvin Mhina ilieleza kwamba taratibu zote za mazishi na maandalizi zinafanywa na kusimamiwa na...
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-aArZtRFofys/VVuY9AjH1qI/AAAAAAAHYWA/I6TQ1bMpnHY/s72-c/unnamed%2B(13).jpg)
MAHAKAMA YA HAKI ZA BINADAMU YA AFRIKA YAWANOA WAANDISHI WA HABARI ARUSHA
![](http://2.bp.blogspot.com/-aArZtRFofys/VVuY9AjH1qI/AAAAAAAHYWA/I6TQ1bMpnHY/s640/unnamed%2B(13).jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-IOe56IaryeM/VVuY9UusPpI/AAAAAAAHYWI/b1SCorGtr5g/s640/unnamed%2B(14).jpg)