Jaji Agustino Ramadhani ahutubia mkutano wa Haki za Binadamu
Raisi wa Mahakama ya Afrika ya Haki za binadamu Jaji Agustino Ramadhani, akihutubia mkutano wa Haki za binadamu uliofanyika jana jijini Arusha wenye lengo la kuimarisha haki za binadamu na kushirikisha taasisi binafsi na za serikali katika kuisaidia Mahakama hiyo .Picha na Mahmoud Ahmad – Arusha).
Dewji Blog
Habari Zinazoendana
10 years ago
Habarileo24 Nov
Jaji Ramadhani ataka Afrika kuzingatia haki za binadamu
RAIS wa Mahakama ya Afrika ya Haki za Binadamu (AfCHPR) Jaji Augustino Ramadhani amezitaka nchi za Afrika kuzingatia zaidi masuala ya haki za binadamu kama kweli zinataka kupiga hatua za kiuchumi na kidemokrasia.
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-urc-CtGTM7Y/VWL0Mwtpn_I/AAAAAAAHZp0/M3-O-zX1TXY/s72-c/1.jpg)
JAJI AUGUSTINO RAMADHANI AHIMIZA AFRIKA KUHESHIMU HAKI ZA BINADAMU,AZITAKA NCHI ZAIDI KUTOA TAMKO LA KUITAMBUA MAHAKAMA HIYO
![](http://3.bp.blogspot.com/-urc-CtGTM7Y/VWL0Mwtpn_I/AAAAAAAHZp0/M3-O-zX1TXY/s640/1.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-6aop770R9-g/VWL0P1aEJmI/AAAAAAAHZqA/tq6Z2vp2IPM/s640/3.jpg)
10 years ago
Mwananchi03 May
UCHAGUZI CCM 2015: Agustino Ramadhani Jaji Mkuu mstaafu
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-9EF_atkQ6TA/XqwL342g0UI/AAAAAAALoxI/B63wNYhmsr0WN6YZoYYPlCwYW3SXw26MACLcBGAsYHQ/s72-c/EFdJ0H-UEAA9KVy.jpg)
ULALE PEMA BALOZI MAHIGA, UPUMZIKE KWA AMANI JAJI AGUSTINO RAMADHANI
![](https://1.bp.blogspot.com/-9EF_atkQ6TA/XqwL342g0UI/AAAAAAALoxI/B63wNYhmsr0WN6YZoYYPlCwYW3SXw26MACLcBGAsYHQ/s640/EFdJ0H-UEAA9KVy.jpg)
NIMEZIMA Televisheni. Sitaki kuangalia tena, nimejikuta nachukia kwanini niliwasha data asubuhi na kukutana na taarifa zilizouumiza moyo wangu.
Kama Taifa tumeumaliza mwezi Aprili vibaya sana. Tumeuanza mwezi Mei kwa uchungu na vilio. Ni nini hiki tunapitia? Ndio zile nyakati za Dhiki kuu zilizoandikiwa na akina Ellen G White?. Maumivu hakika.
Tazama. Leo asubuhi Rais Dk John Magufuli ametangaza kifo cha Mwamba wa Diplomasia, Kachero wa Kimataifa na Balozi wetu wa...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-k9VaLQL_XnA/XtlI-tokMPI/AAAAAAALspA/PA1UYlDOs_kK07YGKk92raUmgI81WSr4wCLcBGAsYHQ/s72-c/1-6.jpg)
Wizara ya Katiba na Sheria na Tume ya Haki za Binadamu zina Wajibu wa kulinda haki za wananchi-Jaji Mstaafu Mwaimu
![](https://1.bp.blogspot.com/-k9VaLQL_XnA/XtlI-tokMPI/AAAAAAALspA/PA1UYlDOs_kK07YGKk92raUmgI81WSr4wCLcBGAsYHQ/s640/1-6.jpg)
Waziri wa Katiba na Sheria wa Zanzibari, Mhe.Khamis Juma Mwalim, akifafanua jambo kwa wajumbe na wageni wa Tume ya Haki za Binadamu na Utawala bora (hawapo pichani) wakiongozwa na Mwenyekiti wa tume hiyo, Jaji Mstaafu Mathew Mwaimu (kushoto) wakati wa kikao kifupi kilichofanyika ofisini kwake baada ya kutembelewa na ugeni huo loe Juni 4, 2020 Mjini...
11 years ago
GPL![](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/02/DSC_0259.jpg?width=640)
MKOSAJI MKUU WA HAKI ZA BINADAMU NI SERIKALI - JAJI MSTAAFU MIHAYO
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-ju8_ZAE8OwA/VA7LOIfuWsI/AAAAAAAGiNA/-HsCOn2iSHI/s72-c/Jaji-Augustino-Ramadhan.jpg)
JAJI AUGUSTINO RAMADHAN AWA RAISI WA MAHAKAMA YA AFRIKA YA HAKI ZA BINADAMU
![](http://2.bp.blogspot.com/-ju8_ZAE8OwA/VA7LOIfuWsI/AAAAAAAGiNA/-HsCOn2iSHI/s1600/Jaji-Augustino-Ramadhan.jpg)
Mahakama ya Afrika ya haki za binadamu imemteua Jaji mkuu mstaafu wa Tanzania Agustino Ramadhan kuwa rais wa mahakama hiyo kwa kipindi cha miaka miwili uteuzi huounaanza mara moja baada ya aliyekuwa rais wa mahakama hiyo Sophia Akuffo wa Ghana kumaliza muda wake.
Jaji Ramadhani Mtanzania wa kwanza kushikilia kiti hicho tangia kuanzishwa kwa mahakama hiyo baada ya kupata kura 7 kwa kura nne dhidi ya mpinzania wake katika nafasi hiyo ya rais wa mahakama hiyo huku nafasi...
9 years ago
Dewji Blog30 Nov
Tume ya Haki za Binadamu na DIGNITY wafanya semina juu elimu kuhusu haki za binadamu!!
Mwenyekiti wa Tume ya Haki za Binadamu na Utawala Bora, Mhe. Bahame Tom Nyanduga akielezea mambo mbalimbali katika semina hiyo. kulia kwake ni afisa kutoka DIGNITY, Bi. Brenda Van Den Bergh. (Picha zote na Mpiga picha wa Tume ya Haki za Binadamu na Utawala Bora).
Na Rabi Hume,Modewjiblog
Tume ya haki za binadamu na utawala bora ikishirikiana na Taasisi ya haki za binadamu kutoka Denmark (DIGNITY) wamefanya semina inayohusu haki za binadamu kwa kutoa elimu kwa asasi mbalimbali kuhusu...