Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Dk. Gama alilia haki ya dini kwa watoto wa kike

Mbunge wa zamani na mjumbe wa Bunge la Katiba Dk. Zainabu Gama amependekeza Katiba ijayo iweke kipengele cha uhiyari wa dini kwa watoto wa kike.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Mwananchi

Jaji Maina ‘alilia’ amani na haki

Vyombo vinavyohusika na utoaji wa haki nchini vimeshauriwa kushughulikia matatizo ya wananchi kwa kuzingatia sheria, kanuni na taratibu za maadili ili kuliepusha taifa na uvunjifu wa amani unaoweza kutokea kwa raia kunyimwa haki.

 

11 years ago

Mwananchi

Lipumba alilia haki za binadamu kwenye katiba mpya

Mwenyekiti wa Chama Cha Wananchi (CUF), Profesa Ibrahim Lipumba, ambaye pia ni Mbunge wa Bunge la Katiba amesema Tanzania imejijengea desturi ya kutesa binadamu hata kwa haki zinazolindwa na sheria.

 

5 years ago

CCM Blog

MAJALIWA:TUTAENDELEA KUCHUKUA HATUA KWA WATAKAOKATISHA MASOMO KWA WATOTO WA KIKE

Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa na Spika wa Bunge, Job Ndugai (wa tatu kulia) wakiweka jiwe la Msingi la Shule ya Sekondari ya Wachana  ya Bunge  iliyojengwa na wabunge na kukabidhiwa kwa Serikali Juni 14, 2020. Kulia ni Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais TAMISEMI, Selemani Jafo na wa pili kulia ni Naibu Spika wa Bunge Dkt. Tulia Ackson Mwansasu. Kushoto ni Waziri wa Elimu, Sayansi na Tekinolojia, Profesa Joyce Ndalichako na wapili kushoto ni Mbunge wa Urambo na Mwenyekiti wa Umoja wa Wabunge...

 

9 years ago

Michuzi

ZANZIBAR YATOA MAFUNZO YA HAKI ZA BINADAMU NA KUWATAMBULISHA WASAIDIZI WA SHERIA KWA VIONGOZI WA DINI

 Mufti Mkuu wa Zanzibar Sheikhe Saleh Omar Kabii wakwanza kushoto akitoa maelezo juu ya haki za binaadamu  kwa mujibu wa Uislam wakati alipokuwa akifunguwa Mafunzo ya Haki za Binaadamu na kuwatambulisha wasaidizi wa Sheria kwa Viongozi wa Dini, katikati ni Mkurugenzi Mtendaji Harusi Miraji na mwisho Jina Mwinyi Waziri Afisa Mipango wa Kituo cha Huduma na Sheria. Baadhi ya washiriki wakisikiliza kwa makini maelezo kwa Mufti Mkuu wa Zanzibar Shekhe Saleh Omar Kabii hayupo pichani katika...

 

9 years ago

GPL

UTORO MASHULENI KWA WATOTO WA KIKE WAPUNGUA MKOANI MTWARA

Baadhi ya wadau wa elimu wa Mkoa wa Mtwara wakiwa kwenye warsha maalumu ya mrejesho wa mradi wa”Hakuna wasichoweza” unaowapa elimu ya hedhi na vifaa vya kustiri wasichana ili wasikose kuhudhuria masomo yao mashuleni, Mradi huo unadhaminiwa na Vodacom Foundation na kuendeshwa na T-Mark Tanzania. Meneja Mradi wa”Hakuna Wasichoweza” wa asasi ya T-Mark Tanzania Doris Chalambo,akitoa tathmni ya mrejesho wa mradi huo kwa wadau...

 

11 years ago

Mwananchi

Madhehebu ya dini yasadie malezi bora kwa watoto

Taifa lenye maadili ni lile lililojikita katika misingi imara ya uadilifu ambayo inajengwa kuanzia ngazi ya familia, kijiji/mtaa, wilaya, mkoa na taifa.

 

5 years ago

BBCSwahili

Kwanini familia zimekuwa 'zikiwauwa kwa heshima' watoto wao wa kike Pakistani?

Wanaume pia hulengwa , na ndugu za wanawake ambao wanadaiwa kushiriki nao katika uhusiano wa kimapenzi.

 

10 years ago

Dewji Blog

Tamko la pamoja kwa siku ya kimataifa ya kukomesha ukeketaji dhidi ya wa watoto wa kike

10945033_856755441041229_6165141623154796543_o

UNFPA, UNICEF, Shirikisho la Kimataifa la Wakunga na Shirikisho la Kimataifa la Magonjwa ya Wanawake na Uzazi.

Wito kwa wafanyakazi wa afya duniani kote ili kuhamasisha kukomesha ukeketaji

Kwa mwaka 2015, ujumbe wa kimataifa wa siku ya kupinga ukeketaji umewalenga wahudumu wa afya; “Uhamasishaji na ushirikishwaji wa wafanyakazi wa Afya ili kuharakisha kutokomeza ukeketaji”. Na hii ni kwa sababu asilimia 34 ya ukeketaji duniani hufanywa na wahudumu wa afya.

Pamoja na ujumbe huu mahsusi kwa...

 

10 years ago

Vijimambo

HAKUNA WASICHOWEZA NI MRADI UNAOLETA MATUMAINI MAPYA KWA WATOTO WA KIKE-MASHULENI‏

Baadhi ya wanafunzi wa shule ya msingi ya Mwenge iliyopo mkoani Lindi wakifurahia baada ya kugawia pedi za kujikinga wanapokuwa kwenye hedhi .Mpango kwa kuwagawia wasichana pedi na kuwapatia elimu ya Afya na uzazi uko chini ya mradi wa Hakuna Wasichoweza unaoendeshwa na taasisi ya T-Marc na kudhaminiwa na USAID na Vodacom Foundation na unawalenga wanafunzi waliopo mashuleni na wasio mashuleni zoezi hili limeanza kufanyika katika mikoa ya Lindi na Mtwara.Wanafunzi wa shule ya msingi ya...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani