Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mrwanda: Sikutaka longolongo na mali kauli za viongozi wa Simba

 Mshambuliaji mpya wa Yanga, Danny Mrwanda amesema kilichomfanya asisajiliwe na Simba ni usajili wa “mali kauli”, wakati anachoangalia kwa sasa ni fedha.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Michuzi

MASTAA SIMBA WATAKA PESA, SI MALI KAULI

Na Ripota Wetu,Dar 
MASTAA nane wa klabu ya Msimbazi wamekacha timu hiyo iliyoandoka leo kwenda Zanzibar kwa kile wanachoshinikiza kulipwa fedha zao. Habari za kuaminika zinasema kuwa mastaa nane wa klabu hiyo wameingia mitini wakiwemo waganda watano na wabongo watatu mpaka hapo watakapomaliziwa fedha zao za usajili.
Wabongo waliokacha timu hiyo ni Shaban Kisiga, Jonas Mkude na Ivo Mapunda hata hivyo kocha msaidizi wa timu hiyo Seleman Matola jana alikiri kutokuwepo kwenye kikosi chake ...

 

9 years ago

MillardAyo

Baada ya headlines za bilionea wa 24 Afrika kutaka kuinunua klabu ya Simba, hii ndio kauli rasmi ya Simba …

Baada ya stori nyingi kuingia katika headlines kwa siku za hivi karibuni kuhusu uamuzi wa moja kati ya mabilionea wa Afrika kutaka kuinunua klabu ya Simba, mengi yameandikwa na mengi yameongewa, najua unahitaji kufahamu kuhusu stori za bilionea Mohamed Dewji ambaye maarufu kama MO kuweka bayana dhamira yake ya kutaka kuinunua Simba kupitia kipindi cha […]

The post Baada ya headlines za bilionea wa 24 Afrika kutaka kuinunua klabu ya Simba, hii ndio kauli rasmi ya Simba … appeared first on...

 

10 years ago

Mwananchi

Yusuph Macho: Nilisajiliwa Yanga kwa mali kauli

Kwa mchezaji wa kiwango cha Yusuph Rwenda Macho katika enzi ambazo alikuwa akitamba, ungetarajia kuwa alikuwa ghali na klabu iliyomsajili ililipa fedha nyingi.

 

10 years ago

Michuzi

Mrwanda: Simba longo longo nyingi

Mshambuliaji Mpya wa timu ya Yanga, Danny Mrwanda amevunja ukimya kwa kusema hakutaka kusajiliwa Simba kwa mali kauli anachoangalia na 'njuru'.
Mrwanda ambaye ameanza mazoezi na Yanga jana jioni na kukabidhiwa jezi namba 24 alisema walishindwana dau na Simba  hivyo anaangalia kwenye maslahi.
"Mpira ni kazi yangu, naishi kwa ajili ya kutegemea mpira, sasa wao wameleta longo longo, Yanga wamekuja nikawapa dau wakakubali nikasaini mkataba, sasa hivi maisha yangu ni Yanga na akili zangu naelekeza...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Kauli za viongozi zinashangaza

KAULI za baadhi ya wanasiasa nchini, wakiwemo wale tunaowaita wasomi, hunishangaza na kunilazimisha kujiuliza: Hivyo watu hawa wanaelewa maana, tafsiri, athari na hatari ya wanayotamka au jazba za kisiasa ndizo...

 

10 years ago

Mwananchi

Kauli za viongozi zatikisa nchi

>Kauli kama “kutumia Sh10 milioni kununulia mboga” na ile maarufu ya “vijisenti”, zimetikisa nchi katika siku za karibuni na kuibua hisia tofauti, lakini waliotoa kauli hizo ni sehemu tu ya orodha ndefu ya viongozi wa umma waliowahi kutoa maneno yaliyoibua maoni tofauti.

 

11 years ago

Mwananchi

Waunga mkono kauli za viongozi wa dini

Wanazuoni na wananchi mbalimbali wameunga mkono ushauri wa viongozi wa dini wa kuwataka wajumbe wa Bunge la Katiba kuacha kuwatusi waliokuwa wajumbe wa Tume ya Mabadiliko ya Katiba.

 

10 years ago

Habarileo

Wanasheria: Viongozi wenye kauli za kuudhi wawajibishwe

 Mkurugenzi wa Ujengaji Uwezo na Uwajibikaji wa LHRC, Imelda UrioKITUO cha Sheria na Haki za Binadamu (LHRC) kimesema ipo haja ya sheria ya maadili ya viongozi wa umma kutekelezwa kama ilivyoainishwa na sekretarieti na endapo wapo viongozi wanaotoa kauli zenye kuudhi wawajibishwe.

 

10 years ago

Habarileo

Shein akumbusha viongozi kuchunga kauli zao

Rais wa Zanzibar, Dk Ali Mohamed Shein.MAKAMU Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi Zanzibar (CCM) Dk Ali Mohamed Shein amesema Serikali ya Umoja wa Kitaifa inaongozwa kwa mujibu wa Katiba na Sheria na si kwa matakwa binafsi ya baadhi ya wanasiasa.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani