Mrwanda: Sikutaka longolongo na mali kauli za viongozi wa Simba
 Mshambuliaji mpya wa Yanga, Danny Mrwanda amesema kilichomfanya asisajiliwe na Simba ni usajili wa “mali kauliâ€, wakati anachoangalia kwa sasa ni fedha.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-oAFU9LiZXX4/VKP7fFpNEmI/AAAAAAAG6xo/3J083337KQk/s72-c/11111.jpg)
MASTAA SIMBA WATAKA PESA, SI MALI KAULI
MASTAA nane wa klabu ya Msimbazi wamekacha timu hiyo iliyoandoka leo kwenda Zanzibar kwa kile wanachoshinikiza kulipwa fedha zao. Habari za kuaminika zinasema kuwa mastaa nane wa klabu hiyo wameingia mitini wakiwemo waganda watano na wabongo watatu mpaka hapo watakapomaliziwa fedha zao za usajili.
Wabongo waliokacha timu hiyo ni Shaban Kisiga, Jonas Mkude na Ivo Mapunda hata hivyo kocha msaidizi wa timu hiyo Seleman Matola jana alikiri kutokuwepo kwenye kikosi chake ...
9 years ago
MillardAyo22 Dec
Baada ya headlines za bilionea wa 24 Afrika kutaka kuinunua klabu ya Simba, hii ndio kauli rasmi ya Simba …
Baada ya stori nyingi kuingia katika headlines kwa siku za hivi karibuni kuhusu uamuzi wa moja kati ya mabilionea wa Afrika kutaka kuinunua klabu ya Simba, mengi yameandikwa na mengi yameongewa, najua unahitaji kufahamu kuhusu stori za bilionea Mohamed Dewji ambaye maarufu kama MO kuweka bayana dhamira yake ya kutaka kuinunua Simba kupitia kipindi cha […]
The post Baada ya headlines za bilionea wa 24 Afrika kutaka kuinunua klabu ya Simba, hii ndio kauli rasmi ya Simba … appeared first on...
10 years ago
Mwananchi03 Nov
Yusuph Macho: Nilisajiliwa Yanga kwa mali kauli
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-5FoKyCzIUVM/VIg-fhzeJqI/AAAAAAAG2WU/BpvMTEKDJmc/s72-c/unnamed%2B(31).jpg)
Mrwanda: Simba longo longo nyingi
![](http://4.bp.blogspot.com/-5FoKyCzIUVM/VIg-fhzeJqI/AAAAAAAG2WU/BpvMTEKDJmc/s1600/unnamed%2B(31).jpg)
Mrwanda ambaye ameanza mazoezi na Yanga jana jioni na kukabidhiwa jezi namba 24 alisema walishindwana dau na Simba hivyo anaangalia kwenye maslahi.
"Mpira ni kazi yangu, naishi kwa ajili ya kutegemea mpira, sasa wao wameleta longo longo, Yanga wamekuja nikawapa dau wakakubali nikasaini mkataba, sasa hivi maisha yangu ni Yanga na akili zangu naelekeza...
11 years ago
Tanzania Daima09 Apr
Kauli za viongozi zinashangaza
KAULI za baadhi ya wanasiasa nchini, wakiwemo wale tunaowaita wasomi, hunishangaza na kunilazimisha kujiuliza: Hivyo watu hawa wanaelewa maana, tafsiri, athari na hatari ya wanayotamka au jazba za kisiasa ndizo...
10 years ago
Mwananchi14 Mar
Kauli za viongozi zatikisa nchi
11 years ago
Mwananchi22 Apr
Waunga mkono kauli za viongozi wa dini
10 years ago
Habarileo20 Mar
Wanasheria: Viongozi wenye kauli za kuudhi wawajibishwe
KITUO cha Sheria na Haki za Binadamu (LHRC) kimesema ipo haja ya sheria ya maadili ya viongozi wa umma kutekelezwa kama ilivyoainishwa na sekretarieti na endapo wapo viongozi wanaotoa kauli zenye kuudhi wawajibishwe.
10 years ago
Habarileo30 Nov
Shein akumbusha viongozi kuchunga kauli zao
MAKAMU Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi Zanzibar (CCM) Dk Ali Mohamed Shein amesema Serikali ya Umoja wa Kitaifa inaongozwa kwa mujibu wa Katiba na Sheria na si kwa matakwa binafsi ya baadhi ya wanasiasa.