Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Yusuph Macho: Nilisajiliwa Yanga kwa mali kauli

Kwa mchezaji wa kiwango cha Yusuph Rwenda Macho katika enzi ambazo alikuwa akitamba, ungetarajia kuwa alikuwa ghali na klabu iliyomsajili ililipa fedha nyingi.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Vijimambo

Madaktari wa Macho kutoka Shirika la Specsavers Watowa Huduma ya Macho kwa Wananchi Skuli ya Kiembesamaki Zanzibar

Daktari wa Shirika la Spacsaver Ingrid Stenersen akimfanyia uchunguzi mmoja ya wananchi wa Jimbo la Kiembesamaki waliofika Skuli ya Sekondari ya eneo hilo kupatiwa huduma ya macho.Daktari wa macho kutoka Shirika la Spacsaver Petter Daniesin akimfanyia vipimo mtoto Sabrina Abdalla Salum katika zoezi linalofanyika Skuli ya Sekondari ya Kiembesamaki.Wananchi wa Jimbo la Kiembesamaki wakiwa katika mistari wakisubiri huduma ya kupima macho inayotolewa kwa ushirikiano na madaktari kutoka...

 

10 years ago

Michuzi

MASTAA SIMBA WATAKA PESA, SI MALI KAULI

Na Ripota Wetu,Dar 
MASTAA nane wa klabu ya Msimbazi wamekacha timu hiyo iliyoandoka leo kwenda Zanzibar kwa kile wanachoshinikiza kulipwa fedha zao. Habari za kuaminika zinasema kuwa mastaa nane wa klabu hiyo wameingia mitini wakiwemo waganda watano na wabongo watatu mpaka hapo watakapomaliziwa fedha zao za usajili.
Wabongo waliokacha timu hiyo ni Shaban Kisiga, Jonas Mkude na Ivo Mapunda hata hivyo kocha msaidizi wa timu hiyo Seleman Matola jana alikiri kutokuwepo kwenye kikosi chake ...

 

10 years ago

Mwananchi

Mrwanda: Sikutaka longolongo na mali kauli za viongozi wa Simba

 Mshambuliaji mpya wa Yanga, Danny Mrwanda amesema kilichomfanya asisajiliwe na Simba ni usajili wa “mali kauli”, wakati anachoangalia kwa sasa ni fedha.

 

10 years ago

Vijimambo

HUO USWAHIBA WA TFF NA YANGA UNAODUMAZA SOKA YA TANZANIA, YETU MACHO!


SHIRIKISHO la Soka Tanzania (TFF), linamiliki Uwanja mmoja tu wa michezo, Karume uliopo kwenye ofisi zake eneo la Ilala, Dar e Salaam.Ni Uwanja mdogo na maalum kwa mazoezi tu, ambao pia haukidhi mahitaji ya kuitwa kituo cha mazoezi ya kisasa ya timu, lakini angalau upo.Uwanja wa Karume ni maalum kwa mazoezi ya timu za taifa zote, wanawake na wanaume kuanzia vijana hadi wakubwa.Uwanja huo pia hutumika kwa programu za mafunzo ya uwanjani ya marefa, makocha na kadhalika.Binafsi, nitaukumbuka...

 

10 years ago

GPL

Kavumbagu mali ya Yanga

Straika wa Azam FC, Didier Kavumbagu. Wilbert Molandi na Sweetbert Lukonge
 MAMBO yameiva kwani hadi sasa Yanga ina asilimia 80 za kumsajili straika wa Azam FC, Didier Kavumbagu na kudhihirisha kwamba fedha wakati mwingine inaweza kuwa si lolote katika uamuzi.Kavumbagu amebakiza mwezi mmoja tu kumaliza mkataba wake na Azam aliyojiunga nayo mwaka jana akitokea Yanga, hivyo sasa anarejea nyumbani. Mabosi wa Yanga wameshafanya...

 

10 years ago

Mwananchi

Yanga: Okwi ni mali yetu

Uongozi wa Yanga umewafungulia mashtaka katika Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) mshambuliaji Emmanuel Okwi na uongozi wa Simba ukitaka ulipwe fidia ya dola 500,000 (Sh814,580,000) kwa mchezaji huyo kukiuka mkataba wa Yanga na kujiunga Simba.

 

9 years ago

Mtanzania

Yanga: Zutah bado ni mali yetu

zuttaNA JENNIFER ULLEMBO, DAR ES SALAAM

UONGOZI wa klabu ya Yanga umesema beki wa kimataifa wa timu hiyo, Joseph Zutah, bado ni mali yao halali licha ya kuwa jina lake halipo katika orodha ya wachezaji iliyowasilishwa Shirikisho la Soka Tanzania (TFF).

Akizungumza na MTANZANIA jana, Katibu Mkuu wa klabu hiyo, Jonas Tibohora, alisema jina la Zutah halipo kwenye orodha ya wachezaji watakaocheza msimu mpya wa Ligi Kuu lakini wana mipango ya muda mrefu na mchezaji huyo.

Tibohora alisema mpango wao...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani