HUO USWAHIBA WA TFF NA YANGA UNAODUMAZA SOKA YA TANZANIA, YETU MACHO!
![](http://1.bp.blogspot.com/-1B1cPAQRJCg/VY9rSqp7MGI/AAAAAAABj2M/k6rLAKpjc-0/s72-c/BIN%2BZUBEIRY.jpg)
SHIRIKISHO la Soka Tanzania (TFF), linamiliki Uwanja mmoja tu wa michezo, Karume uliopo kwenye ofisi zake eneo la Ilala, Dar e Salaam.Ni Uwanja mdogo na maalum kwa mazoezi tu, ambao pia haukidhi mahitaji ya kuitwa kituo cha mazoezi ya kisasa ya timu, lakini angalau upo.Uwanja wa Karume ni maalum kwa mazoezi ya timu za taifa zote, wanawake na wanaume kuanzia vijana hadi wakubwa.Uwanja huo pia hutumika kwa programu za mafunzo ya uwanjani ya marefa, makocha na kadhalika.Binafsi, nitaukumbuka...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
9 years ago
Raia Mwema23 Dec
Mahaba ya TFF kwa Yanga na hatma ya soka letu
MAFANIKIO ya Soka la Tanzania yanategemea sana nidhamu, juhudi na moyo wa dhati wa kujitoa kwa wa
Mwandishi Wetu
10 years ago
BBCSwahili31 Oct
TFF yataka jezi mpya za soka Tanzania
10 years ago
Mwananchi30 Oct
Phiri, awagawa, viongozi, Simba, soka, tff, misimbazi, Tanzania
11 years ago
Michuzi19 Apr
11 years ago
Mwananchi01 Jan
Umaskini hohehahe aibu mbele ya macho yetu
9 years ago
Mwananchi14 Sep
UCHAMBUZI LIGI KUU BARA: Stand, yetu macho, kusikia tumesikia mengi kwao
10 years ago
Vijimambo24 Feb
Redondo: Simba, Yanga zinaua soka la Tanzania
![](http://www.mwanaspoti.co.tz/image/view/-/2629816/highRes/949907/-/maxw/600/-/giroay/-/redondo+picha.jpg)
Kiungo wa zamani wa Simba, Ramadhani Chombo ‘Redondo’ anadai kuwa, viongozi wa klabu zinazoshiriki Ligi Kuu Bara wanalichimbia kaburi na kulizika soka taratibu.KUNA mambo kwa Tanzania yamesalia kuwa ndoto, mfano kwa timu ya Taifa kushiriki ama kutwaa Kombe la Dunia. Hili haliwezekani kwa miaka ya hivi karibuni kutokana na mfumo wa soka letu.Kiungo wa zamani wa Simba, Ramadhani Chombo ‘Redondo’ anadai kuwa, viongozi wa klabu zinazoshiriki...
11 years ago
Mwananchi21 May
Paschal Chibala: Uswahiba ndiyo ulioharibu mchakato wa Katiba Mpya Tanzania
5 years ago
BBCSwahili15 Feb
Ubaguzi kwenye soka: 'Huwezi kujua kile anachohisi muhusika wakati huo'