Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Phiri, awagawa, viongozi, Simba, soka, tff, misimbazi, Tanzania

Kuanza vibaya kwa Simba katika Ligi Kuu Bara msimu huu na hatima ya kocha mkuu wa timu hiyo, Patrick Phiri kumewagawa kimsimamo viongozi wa klabu hiyo.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mwananchi

Butoyi awagawa viongozi Simba

Ujio wa beki mpya wa Simba, Mrundi Butoyi Hussein umewagawa viongozi wa Simba katika makundi mawili yanayopingana juu ya usajili wake, ingawa kocha Patrick Phiri amesema aachiwe kazi hiyo aifanye mwenyewe.

 

10 years ago

Mtanzania

Phiri awapa tahadhari viongozi Simba

Kikosi cha Simba

Kikosi cha Simba

NA JENNIFER ULLEMBO, DAR ES SALAAM

KOCHA Mkuu wa timu ya Simba, Mzambia Patrick Phiri, ameutahadharisha mapema uongozi wa klabu hiyo kutomuingilia katika mipango yake ya kujenga kikosi bora.

Akizungumza na MTANZANIA Jumapili, Phiri alisema kikosi chake kimeweka kambi Zanzibar kujiandaa na Ligi Kuu Tanzania Bara. Alisema viongozi wanapaswa kumuacha atekeleze majukumu yake mwenyewe na si kuingiliwa.

Alisema anatambua kama viongozi wanachokihitaji ni ushindi, lakini ni vizuri...

 

10 years ago

Tanzania Daima

Okwi awagawa wachezaji Simba

BAADHI ya wachezaji wa Simba wameutaka uongozi kuwachukulia hatua wachezaji wenzao kwa utovu wa nidhamu akiwemo nyota wa kimataifa, Mganda Emmanuel Okwi, badala ya kuwaonea baadhi yao. Kauli ya nyota...

 

10 years ago

BBCSwahili

TFF yataka jezi mpya za soka Tanzania

Shirikisho la kandanda Tanzania linataka kubadili jezi za timu ya taifa kutoka zilizopo sasa

 

10 years ago

Vijimambo

HUO USWAHIBA WA TFF NA YANGA UNAODUMAZA SOKA YA TANZANIA, YETU MACHO!


SHIRIKISHO la Soka Tanzania (TFF), linamiliki Uwanja mmoja tu wa michezo, Karume uliopo kwenye ofisi zake eneo la Ilala, Dar e Salaam.Ni Uwanja mdogo na maalum kwa mazoezi tu, ambao pia haukidhi mahitaji ya kuitwa kituo cha mazoezi ya kisasa ya timu, lakini angalau upo.Uwanja wa Karume ni maalum kwa mazoezi ya timu za taifa zote, wanawake na wanaume kuanzia vijana hadi wakubwa.Uwanja huo pia hutumika kwa programu za mafunzo ya uwanjani ya marefa, makocha na kadhalika.Binafsi, nitaukumbuka...

 

10 years ago

Vijimambo

Redondo: Simba, Yanga zinaua soka la Tanzania

Kiungo wa zamani wa Simba , Ramadhani chombo 'Redondo' 
Kiungo wa zamani wa Simba, Ramadhani Chombo ‘Redondo’ anadai kuwa, viongozi wa klabu zinazoshiriki Ligi Kuu Bara wanalichimbia kaburi na kulizika soka taratibu.KUNA mambo kwa Tanzania yamesalia kuwa ndoto, mfano kwa timu ya Taifa kushiriki ama kutwaa Kombe la Dunia. Hili haliwezekani kwa miaka ya hivi karibuni kutokana na mfumo wa soka letu.Kiungo wa zamani wa Simba, Ramadhani Chombo ‘Redondo’ anadai kuwa, viongozi wa klabu zinazoshiriki...

 

10 years ago

TheCitizen

Simba’s Phiri given ultimatum

Pressure is mounting on Zambian technician Patrick Phiri in Dar es Salaam’s Simba Sports Club as the side’s leadership gave him the ultimatum of winning the next two matches in the on going Tanzania Mainland Premier League, failure of which his contract could be terminated.

 

10 years ago

Tanzania Daima

Phiri ajivunia kiwango Simba

KOCHA Mkuu wa Simba, Mzambia, Patrick Phiri, amesema kutokana na ubora wa kikosi alichonacho anauhakika kuwa kikosi hicho kitatwaa ubingwa wa ligi kuu Tanzania Bara msimu wa 2014/2015. Kauli hiyo...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani