Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


TFF yataka jezi mpya za soka Tanzania

Shirikisho la kandanda Tanzania linataka kubadili jezi za timu ya taifa kutoka zilizopo sasa

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Mwananchi

DRFA yaukata uongozi mpya wa Tefa, TFF yataka hatua za kinidhamu zichukuliwe

Siku chache baada ya uchaguzi wa Chama cha Soka Temeke (Tefa) kufanyika bado hali haijatulia.

 

10 years ago

Mwananchi

Phiri, awagawa, viongozi, Simba, soka, tff, misimbazi, Tanzania

Kuanza vibaya kwa Simba katika Ligi Kuu Bara msimu huu na hatima ya kocha mkuu wa timu hiyo, Patrick Phiri kumewagawa kimsimamo viongozi wa klabu hiyo.

 

10 years ago

Vijimambo

HUO USWAHIBA WA TFF NA YANGA UNAODUMAZA SOKA YA TANZANIA, YETU MACHO!


SHIRIKISHO la Soka Tanzania (TFF), linamiliki Uwanja mmoja tu wa michezo, Karume uliopo kwenye ofisi zake eneo la Ilala, Dar e Salaam.Ni Uwanja mdogo na maalum kwa mazoezi tu, ambao pia haukidhi mahitaji ya kuitwa kituo cha mazoezi ya kisasa ya timu, lakini angalau upo.Uwanja wa Karume ni maalum kwa mazoezi ya timu za taifa zote, wanawake na wanaume kuanzia vijana hadi wakubwa.Uwanja huo pia hutumika kwa programu za mafunzo ya uwanjani ya marefa, makocha na kadhalika.Binafsi, nitaukumbuka...

 

9 years ago

Mwananchi

Jezi za Kili Stars hazikuvunja kanuni-TFF

Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) limetetea kitendo cha timu ya Taifa ya Tanzania Bara ‘Kilimanjaro Stars’ kutumia jezi ya mazoezi yenye nembo ya mdhamini katika mashindano ya Chalenji yanayoendelea Ethiopia, likidai kuwa halijavunja kanuni.

 

9 years ago

Vijimambo

TFF: RUKSA WACHEZAJI KUTUMIKA KATIKA KAMPENI ZA SIASA, LAKINI WASIVAE JEZI


SHIRIKISHO la Soka Tanzania (TFF) limesema halizuii mchezaji kufanya kampeni za siasa, isipokuwa wasitumie sare za kimichezo hususan zenye nembo za wadhamini.Hatua hiyo inafuatia TFF kubaini kuwepo kwa vitendo vya wanafamilia wa mpira wa miguu Tanzania kujihusisha na masuala ya Siasa wakiwa katika mavazi rasmi ya mpira ambayo yana nembo za klabu na wadhamini wa Ligi.Taarifa ya TFF imesema kwamba Katiba ya TFF ibara ya I (4) inatamka “TFF is neutral in matters of politics and religion....

 

10 years ago

Mwananchi

TFF yataka cha juu

Klabu 12 za Ligi Kuu zimegomea uamuzi wa Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) kutaka kukata asilimia tano kwenye fedha za mgawo wa wadhamini.

 

10 years ago

Dewji Blog

Rais wa TFF Jamal Malinzi apokea jezi kutoka kampuni ya Proin kwaajili ya mashindano ya Women Taifa Cup

unnamed

Mkurugenzi wa Makampuni ya Proin, Bw Johnson Lukaza (kushoto) akimkabidhi Jezi Rais wa Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) Jamal Malinzi kwaajili ya Mashindano ya Mpira wa Miguu kwa Wanawake yajulikanayo kama Taifa Women Cup yanayotarajiwa kutimbua vumbi tarehe 1 January 2015.

Na Josephat Lukaza – Lukaza Blog

Mkurugenzi wa makampuni ya Proin, Bw Johnson Lukaza amkabidhi jezi Rais wa TFF, Mh Jamal Malinzi kwaajili ya michuano ya Mpira wa Miguu kwa Wanawake yajulikanayo kama Taifa...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani