Yanga: Okwi ni mali yetu
Uongozi wa Yanga umewafungulia mashtaka katika Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) mshambuliaji Emmanuel Okwi na uongozi wa Simba ukitaka ulipwe fidia ya dola 500,000 (Sh814,580,000) kwa mchezaji huyo kukiuka mkataba wa Yanga na kujiunga Simba.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Mtanzania01 Sep
Yanga: Zutah bado ni mali yetu
NA JENNIFER ULLEMBO, DAR ES SALAAM
UONGOZI wa klabu ya Yanga umesema beki wa kimataifa wa timu hiyo, Joseph Zutah, bado ni mali yao halali licha ya kuwa jina lake halipo katika orodha ya wachezaji iliyowasilishwa Shirikisho la Soka Tanzania (TFF).
Akizungumza na MTANZANIA jana, Katibu Mkuu wa klabu hiyo, Jonas Tibohora, alisema jina la Zutah halipo kwenye orodha ya wachezaji watakaocheza msimu mpya wa Ligi Kuu lakini wana mipango ya muda mrefu na mchezaji huyo.
Tibohora alisema mpango wao...
9 years ago
Mwananchi26 Nov
Wafanyabiashara: Soko la Mwanjelwa mali yetu
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/cPakA0chAExMKvaQ6pwiS1tMhMAk7m9pUCpz0YoXh*GvTfXOFp7noS6yjHF1tPwDgFt53L5Lp2NOBZWuFmYrpHg0drJ1H2z-/okwi.jpg?width=650)
Okwi ayeyuka Yanga SC
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/KtF8hZpsH-35ea58qFejI*QhuCRY4Z8HRXpSVdgLXKuN3aLNLOA2aGk-fddAcdqc3y2VOZ3Qo-kZJVps6tJzWQHRVpvfmKY3/okwi.jpg?width=640)
OKWI ATUA YANGA SC
11 years ago
Mwananchi25 Jul
Yanga kumshtaki Okwi
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/KtF8hZpsH-2YiV16Uwlx-OTxx40PAq1FjGAtQhAaVxlQAc*hLTk2L0vuGWF1pYrRvSjQw3L7ceYBur27P-rCG5h8A2*w*Ksq/1Dar1copy.jpg?width=650)
Okwi asaini Yanga SC
10 years ago
Uhuru Newspaper10 Mar
Okwi aituliza Yanga
NA VICTOR MKUMBO BAO pekee lililofungwa dakika ya 51 na Emmanuel Okwi, limeiwezesha Simba kuibuka na ushindi wa bao 1-0, katika mchezo wa Ligi Kuu ulioikutanisha timu hiyo na Yanga. Okwi alipachika bao hilo kwa shuti kali la mbali baada ya kumchungulia Bartez aliyetoka nje ya lango na mpira huo kujaa moja kwa moja wavuni. Ushindi huo unaipa jeuri Simba ya kuendelea kuwatambia mahasimu wao ambao wamekuwa wakiibeza Simba baada ya kufanya vibaya katika baadhi ya michezo yake ya ligi. Katika...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/P2Q6K2rcr9H3AGv01HnK-3R3uaVu9UCRspOmO6rH**5Te5j-AOCXj-rSZ4yj9LEq5m5fTYKxbNh9nNxiVbG4wcVhr0-ovh3f/OKWI.jpg?width=650)
OKWI RUKSA KUITUMIKIA YANGA
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/A8I8pebmYzpknEUVxipRxskGOtvbNm7RLWakNaiknPE-6-CbtGPNtDSNk*8FngOfhKkKQFuq4hH0HORf0r2JTglkZtZHguva/FIFA.gif?width=650)
Fifa: Okwi rukusa Yanga