Yanga: Zutah bado ni mali yetu
NA JENNIFER ULLEMBO, DAR ES SALAAM
UONGOZI wa klabu ya Yanga umesema beki wa kimataifa wa timu hiyo, Joseph Zutah, bado ni mali yao halali licha ya kuwa jina lake halipo katika orodha ya wachezaji iliyowasilishwa Shirikisho la Soka Tanzania (TFF).
Akizungumza na MTANZANIA jana, Katibu Mkuu wa klabu hiyo, Jonas Tibohora, alisema jina la Zutah halipo kwenye orodha ya wachezaji watakaocheza msimu mpya wa Ligi Kuu lakini wana mipango ya muda mrefu na mchezaji huyo.
Tibohora alisema mpango wao...
Mtanzania
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi30 Aug
Yanga: Okwi ni mali yetu
10 years ago
Mwananchi05 Aug
USAJILI: Yanga yawakata Zutah, Coutinho
9 years ago
Mwananchi26 Nov
Wafanyabiashara: Soko la Mwanjelwa mali yetu
11 years ago
Mwananchi11 Dec
Malalamiko bado mengi katika uuzaji mali za SMZ
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/LxgTrYw8Icmvqfo*BMtMwSo5cJ6YSnP4QQlE9Y94BCBynFVVRBMDZEaSinf61eggNZ2G0XOxOnZrQsBfnGQcXMt74ueVJWYy/MOTO3.jpg)
UPDATES: MOTO BADO UNAENDELEA KUTEKETEZA MALI KATIKA JENGO LA RK
10 years ago
Mwananchi27 Nov
Waziri Prof Muhongo asema fedha za Escrow si mali ya umma, adai bado Serikali inadaiwa
10 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-1B1cPAQRJCg/VY9rSqp7MGI/AAAAAAABj2M/k6rLAKpjc-0/s72-c/BIN%2BZUBEIRY.jpg)
HUO USWAHIBA WA TFF NA YANGA UNAODUMAZA SOKA YA TANZANIA, YETU MACHO!
![](http://1.bp.blogspot.com/-1B1cPAQRJCg/VY9rSqp7MGI/AAAAAAABj2M/k6rLAKpjc-0/s640/BIN%2BZUBEIRY.jpg)
SHIRIKISHO la Soka Tanzania (TFF), linamiliki Uwanja mmoja tu wa michezo, Karume uliopo kwenye ofisi zake eneo la Ilala, Dar e Salaam.Ni Uwanja mdogo na maalum kwa mazoezi tu, ambao pia haukidhi mahitaji ya kuitwa kituo cha mazoezi ya kisasa ya timu, lakini angalau upo.Uwanja wa Karume ni maalum kwa mazoezi ya timu za taifa zote, wanawake na wanaume kuanzia vijana hadi wakubwa.Uwanja huo pia hutumika kwa programu za mafunzo ya uwanjani ya marefa, makocha na kadhalika.Binafsi, nitaukumbuka...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/9whBoo1pTWNEPDSwhZ76xPpeY*R3OOoAbWX9xQve6MMJ9E4xT6QYeCiRbQhKhZ7L1N6gv-CEz4raOLh0ztORbiORqWbsae3F/Kavumbagu.jpg?width=650)
Kavumbagu mali ya Yanga
11 years ago
Tanzania Daima28 Mar
Yanga: Kazi bado ngumu
KOCHA Mkuu wa Yanga, Hans van Pluijm, amekiri Ligi Kuu ni ngumu na kwamba hadi sasa hakuna timu ambayo imejihakikishia kutwaa ubingwa wa ligi hiyo inayofikia tamati Aprili 19. Yanga...