Jaji Lubuva awavaa viongozi wa kisiasa
Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC), Jaji Damian Lubuva amewashukia viongozi wa kisiasa, akiwataka kuacha kutumia nafasi zao kuingilia mchakato wa uandikishaji wa Daftari la Wapiga Kura kwa kutumia vifaa vya kielektroniki vya Biometric Voters Registration (BVR), kwani zinaweza kuleta machafuko makubwa nchini.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mtanzania26 Mar
Chadema wamtuma Jaji Lubuva kwa JK
Na Esther Mbussi, Dar es Salaam
BARAZA la Wazee wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), limemtaka Mwenyekiti wa Tume ya Uchaguzi (NEC), Jaji Damian Lubuva kumshauri Rais Jakaya Kikwete, kusitisha mchakato wa uandikishaji wapigakura kwa mfumo wa BVR.
Wamemtaka Jaji Lubuva asikubali Chama Cha Mapinduzi (CCM) kumfia mikononi kwa sababu kinaelekea huko na kinatafuta wa kufa naye.
Mwenyekiti wa baraza hilo Mkoa wa Dar es Salaam, Esther Samanya, aliwaambia waandishi wa habari jana kuwa...
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/K6CBBOJeKwFrizE3Dq6WzH8TVg0P4YiW-S2iFv34p0dszPPCPki6oWAqZgakZ32Zoh9sReX7vhc4yrWxzaBrgIZYbm3GK9pa/Mwenyekiti.jpg?width=650)
MJUE JAJI DAMIAN ZEFRIN LUBUVA
10 years ago
Mwananchi06 Jul
Chondechonde Jaji Lubuva tuepushe na kikombe hiki
10 years ago
Mtanzania25 Feb
Jaji Lubuva ajibu mapigo ya Ukawa BVR
Mauli Muyenjwa na Maneno Selanyika, Dar es Salaam
MWENYEKITI wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC), Jaji Damian Lubuva, amewataka wanasiasa waache kutumia changamoto za mfumo wa kielektroniki wa uandikishaji wapigakura (Biometric Voter Registration-BVR) ili kujipatia umaarufu wa kisiasa.
Kauli hiyo ya Jaji Lubuva imekuja siku chache baada ya Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Freeman Mbowe, kumuonya na kudai kamwe chama chake hakitakubaliana na vitendo vya hujuma ambavyo...
11 years ago
Tanzania Daima18 Dec
Chegeni awavaa viongozi mizigo
MJUMBE wa Halmashauri Kuu ya CCM Taifa (NEC), Dk. Raphael Chegeni, amesema viongozi wanaoonekana kuwa ‘mizigo’ waliopewa dhamana ya kuwaongoza wananchi Wilaya ya Busega, Simiyu watekeleze vema wajibu wao. Dk....
11 years ago
Mwananchi11 Jan
Daftari la wapiga kura, kauli tata za Jaji Lubuva
9 years ago
VijimamboJAJI LUBUVA AKITANGAZA MATOKEO YA URAIS MAPEMA LEO
9 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-Y0U03Jjs0vU/VjCUcq1cnZI/AAAAAAABYLs/oz5_U85uJZw/s72-c/1248.jpg)
JAJI LUBUVA ANENA MAZOTO KUHUSU UPOTOSHWAJI WA MATOKEO YA URAIS
![](http://2.bp.blogspot.com/-Y0U03Jjs0vU/VjCUcq1cnZI/AAAAAAABYLs/oz5_U85uJZw/s640/1248.jpg)
Jaji Libuva kasema matokeo yanayosomwa na tume ya uchaguzi yamechakachuliwa kuhusu wagombea wa Urais si kweli, kinachosomwa...
9 years ago
MichuziJAJI MTAAFU LUBUVA AZUNGUMZA KUHUSU UCHAGUZI MKUU 25/10/2015