MJUE JAJI DAMIAN ZEFRIN LUBUVA
Na Brighton Masalu CHETI chake cha kuzaliwa, kimeandikwa Damian Zefrin Lubuva. Huyu ni Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi ambaye alizaliwa Septemba 21, 1940 katika Kijiji cha Haubi Wilaya ya Kondoa Mkoa wa Dodoma. ELIMU Alipata elimu ya msingi katika Shule ya Kuta kuanzia mwaka 1949 hadi 1952 na katika Shule ya Kati ya St. Gabriel Catholic Kondoa kuanzia mwaka 1953 hadi 1956. Baadaye alikwenda Shule ya Sekondari ya St....
GPL
Habari Zinazoendana
9 years ago
Mzalendo Zanzibar03 Oct
Mwenyekiti wa Tume Ya Uchaguzi Jaji Mstaafu Damian Lubuva Amshangaa MBOWE Kwa Kuhamasisha Vijana Kubaki Vituoni Kulinda Kura
Mwenyekiti wa Tume Damian Lubuva Saturday, October 3, 2015 MWENYEKITI wa Tume ya Taifa Uchaguzi nchini Jaji Mstaafu Damian Lubuva, ameeleza kushangazwa na kauli zinazotolewa na baadhi ya vyama vya siasa wakiwahamasisha wafuasi wao hasa kundi […]
The post Mwenyekiti wa Tume Ya Uchaguzi Jaji Mstaafu Damian Lubuva Amshangaa MBOWE Kwa Kuhamasisha Vijana Kubaki Vituoni Kulinda Kura appeared first on Mzalendo.net.
9 years ago
IPPmedia30 Sep
NEC Chairman Judge (rtd) Damian Lubuva
IPPmedia
NEC Chairman Judge (rtd) Damian Lubuva
IPPmedia
The National Electoral Commission (NEC) has promised Tanzanians fair, transparent and free elections, downplaying concerns by some quarters that the results of the October poll might be tinkered with. Responding to questions raised by journalists ...
10 years ago
IPPmedia27 Jul
NEC chairman (retired) Judge Damian Lubuva
IPPmedia
NEC chairman (retired) Judge Damian Lubuva
IPPmedia
All eligible voters in Dar es Salaam will be registered using the Biometric Voter Register (BVR) despite irregularities. The National Electoral Commission (NEC) has declared yesterday. The assurance came amid a number of challenges facing the ...
BVR registration slowed down with faulty machinesDaily News
all 9
10 years ago
IPPmedia29 Jul
The Chairman of the National Electoral Commission (NEC) Judge Damian Lubuva
The Chairman of the National Electoral Commission (NEC) Judge Damian Lubuva
IPPmedia
Registration centres in Dar es Salaam will be opened at 7am instead of 8am the National Electoral Commission (NEC) announced yesterday. NEC said the time has been changed from today to accommodate eligible voters who are yet to be registered.
10 years ago
Mtanzania26 Mar
Chadema wamtuma Jaji Lubuva kwa JK
Na Esther Mbussi, Dar es Salaam
BARAZA la Wazee wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), limemtaka Mwenyekiti wa Tume ya Uchaguzi (NEC), Jaji Damian Lubuva kumshauri Rais Jakaya Kikwete, kusitisha mchakato wa uandikishaji wapigakura kwa mfumo wa BVR.
Wamemtaka Jaji Lubuva asikubali Chama Cha Mapinduzi (CCM) kumfia mikononi kwa sababu kinaelekea huko na kinatafuta wa kufa naye.
Mwenyekiti wa baraza hilo Mkoa wa Dar es Salaam, Esther Samanya, aliwaambia waandishi wa habari jana kuwa...
10 years ago
Mwananchi21 Feb
Jaji Lubuva awavaa viongozi wa kisiasa
10 years ago
Mtanzania25 Feb
Jaji Lubuva ajibu mapigo ya Ukawa BVR
Mauli Muyenjwa na Maneno Selanyika, Dar es Salaam
MWENYEKITI wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC), Jaji Damian Lubuva, amewataka wanasiasa waache kutumia changamoto za mfumo wa kielektroniki wa uandikishaji wapigakura (Biometric Voter Registration-BVR) ili kujipatia umaarufu wa kisiasa.
Kauli hiyo ya Jaji Lubuva imekuja siku chache baada ya Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Freeman Mbowe, kumuonya na kudai kamwe chama chake hakitakubaliana na vitendo vya hujuma ambavyo...
10 years ago
Mwananchi06 Jul
Chondechonde Jaji Lubuva tuepushe na kikombe hiki
9 years ago
VijimamboJAJI LUBUVA AKITANGAZA MATOKEO YA URAIS MAPEMA LEO