Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


MJUE JAJI DAMIAN ZEFRIN LUBUVA

Na Brighton Masalu CHETI chake cha kuzaliwa, kimeandikwa Damian Zefrin Lubuva. Huyu ni Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi ambaye alizaliwa Septemba 21, 1940 katika Kijiji cha Haubi Wilaya ya Kondoa Mkoa wa Dodoma. ELIMU Alipata elimu ya msingi katika Shule ya Kuta kuanzia mwaka 1949 hadi 1952 na katika Shule ya Kati ya St. Gabriel Catholic Kondoa kuanzia mwaka 1953 hadi 1956. Baadaye alikwenda Shule ya Sekondari ya St....

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Mzalendo Zanzibar

Mwenyekiti wa Tume Ya Uchaguzi Jaji Mstaafu Damian Lubuva Amshangaa MBOWE Kwa Kuhamasisha Vijana Kubaki Vituoni Kulinda Kura

Mwenyekiti wa Tume Damian Lubuva Saturday, October 3, 2015 MWENYEKITI wa Tume ya Taifa Uchaguzi nchini Jaji Mstaafu Damian Lubuva, ameeleza kushangazwa na kauli zinazotolewa na baadhi ya vyama vya siasa wakiwahamasisha wafuasi wao hasa kundi […]

The post Mwenyekiti wa Tume Ya Uchaguzi Jaji Mstaafu Damian Lubuva Amshangaa MBOWE Kwa Kuhamasisha Vijana Kubaki Vituoni Kulinda Kura appeared first on Mzalendo.net.

 

9 years ago

IPPmedia

NEC Chairman Judge (rtd) Damian Lubuva


IPPmedia
NEC Chairman Judge (rtd) Damian Lubuva
IPPmedia
The National Electoral Commission (NEC) has promised Tanzanians fair, transparent and free elections, downplaying concerns by some quarters that the results of the October poll might be tinkered with. Responding to questions raised by journalists ...

 

10 years ago

IPPmedia

NEC chairman (retired) Judge Damian Lubuva


IPPmedia
NEC chairman (retired) Judge Damian Lubuva
IPPmedia
All eligible voters in Dar es Salaam will be registered using the Biometric Voter Register (BVR) despite irregularities. The National Electoral Commission (NEC) has declared yesterday. The assurance came amid a number of challenges facing the ...
BVR registration slowed down with faulty machinesDaily News

all 9

 

10 years ago

IPPmedia

The Chairman of the National Electoral Commission (NEC) Judge Damian Lubuva


The Chairman of the National Electoral Commission (NEC) Judge Damian Lubuva
IPPmedia
Registration centres in Dar es Salaam will be opened at 7am instead of 8am the National Electoral Commission (NEC) announced yesterday. NEC said the time has been changed from today to accommodate eligible voters who are yet to be registered.

 

10 years ago

Mtanzania

Chadema wamtuma Jaji Lubuva kwa JK

MWANANCHINa Esther Mbussi, Dar es Salaam
BARAZA la Wazee wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), limemtaka Mwenyekiti wa Tume ya Uchaguzi (NEC), Jaji Damian Lubuva kumshauri Rais Jakaya Kikwete, kusitisha mchakato wa uandikishaji wapigakura kwa mfumo wa BVR.
Wamemtaka Jaji Lubuva asikubali Chama Cha Mapinduzi (CCM) kumfia mikononi kwa sababu kinaelekea huko na kinatafuta wa kufa naye.
Mwenyekiti wa baraza hilo Mkoa wa Dar es Salaam, Esther Samanya, aliwaambia waandishi wa habari jana kuwa...

 

10 years ago

Mwananchi

Jaji Lubuva awavaa viongozi wa kisiasa

Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC), Jaji Damian Lubuva amewashukia viongozi wa kisiasa, akiwataka kuacha kutumia nafasi zao kuingilia mchakato wa uandikishaji wa Daftari la Wapiga Kura kwa kutumia vifaa vya kielektroniki vya Biometric Voters Registration (BVR), kwani zinaweza kuleta machafuko makubwa nchini.

 

10 years ago

Mtanzania

Jaji Lubuva ajibu mapigo ya Ukawa BVR

Jaji LubuvaMauli Muyenjwa na Maneno Selanyika, Dar es Salaam
MWENYEKITI wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC), Jaji Damian Lubuva, amewataka wanasiasa waache kutumia changamoto za mfumo wa kielektroniki wa uandikishaji wapigakura (Biometric Voter Registration-BVR) ili kujipatia umaarufu wa kisiasa.
Kauli hiyo ya Jaji Lubuva imekuja siku chache baada ya Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Freeman Mbowe, kumuonya na kudai kamwe chama chake hakitakubaliana na vitendo vya hujuma ambavyo...

 

10 years ago

Mwananchi

Chondechonde Jaji Lubuva tuepushe na kikombe hiki

Taifa liko katika mchakato wa uchaguzi Mkuu madiwani, wabunge na Rais unaotarajiwa kufanyika Oktoba 25, mwaka huu.

 

9 years ago

Vijimambo

JAJI LUBUVA AKITANGAZA MATOKEO YA URAIS MAPEMA LEO

Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC), Jaji mstaafu, Damian Lubuva (kushoto), akizungumza na waandishi wa habari na waangalizi wa kimataifa wakati akitangaza matokeo ya awali ya urais Dar es Salaam leo. Kulia ni Mkurugenzi wa Uchaguzi, Ramadhan KailimaWaangalizi wa uchaguzi wa kimataifa wakiwa kwenye mkutano huo wa kutangazwa matokeo ya awali.Waangalizi wa uchaguzi wa kimataifa wakiwa kwenye mkutano huo wa kutangazwa matokeo ya awali.Jaji Lubuva akijiandaa kutangaza matokeo hayo ya...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani