JAJI LUBUVA AKITANGAZA MATOKEO YA URAIS MAPEMA LEO
Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC), Jaji mstaafu, Damian Lubuva (kushoto), akizungumza na waandishi wa habari na waangalizi wa kimataifa wakati akitangaza matokeo ya awali ya urais Dar es Salaam leo. Kulia ni Mkurugenzi wa Uchaguzi, Ramadhan Kailima
Waangalizi wa uchaguzi wa kimataifa wakiwa kwenye mkutano huo wa kutangazwa matokeo ya awali.
Waangalizi wa uchaguzi wa kimataifa wakiwa kwenye mkutano huo wa kutangazwa matokeo ya awali.
Jaji Lubuva akijiandaa kutangaza matokeo hayo ya...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
9 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-Y0U03Jjs0vU/VjCUcq1cnZI/AAAAAAABYLs/oz5_U85uJZw/s72-c/1248.jpg)
JAJI LUBUVA ANENA MAZOTO KUHUSU UPOTOSHWAJI WA MATOKEO YA URAIS
![](http://2.bp.blogspot.com/-Y0U03Jjs0vU/VjCUcq1cnZI/AAAAAAABYLs/oz5_U85uJZw/s640/1248.jpg)
Jaji Libuva kasema matokeo yanayosomwa na tume ya uchaguzi yamechakachuliwa kuhusu wagombea wa Urais si kweli, kinachosomwa...
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/K6CBBOJeKwFrizE3Dq6WzH8TVg0P4YiW-S2iFv34p0dszPPCPki6oWAqZgakZ32Zoh9sReX7vhc4yrWxzaBrgIZYbm3GK9pa/Mwenyekiti.jpg?width=650)
MJUE JAJI DAMIAN ZEFRIN LUBUVA
10 years ago
Mwananchi21 Feb
Jaji Lubuva awavaa viongozi wa kisiasa
10 years ago
Mtanzania26 Mar
Chadema wamtuma Jaji Lubuva kwa JK
Na Esther Mbussi, Dar es Salaam
BARAZA la Wazee wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), limemtaka Mwenyekiti wa Tume ya Uchaguzi (NEC), Jaji Damian Lubuva kumshauri Rais Jakaya Kikwete, kusitisha mchakato wa uandikishaji wapigakura kwa mfumo wa BVR.
Wamemtaka Jaji Lubuva asikubali Chama Cha Mapinduzi (CCM) kumfia mikononi kwa sababu kinaelekea huko na kinatafuta wa kufa naye.
Mwenyekiti wa baraza hilo Mkoa wa Dar es Salaam, Esther Samanya, aliwaambia waandishi wa habari jana kuwa...
9 years ago
Dewji Blog28 Oct
9 years ago
GPL![](http://globalpublishers.co.tz/wp-content/uploads/2015/10/CSUG5mYXAAARAeX.png)
10 years ago
Mwananchi06 Jul
Chondechonde Jaji Lubuva tuepushe na kikombe hiki
10 years ago
Mtanzania25 Feb
Jaji Lubuva ajibu mapigo ya Ukawa BVR
Mauli Muyenjwa na Maneno Selanyika, Dar es Salaam
MWENYEKITI wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC), Jaji Damian Lubuva, amewataka wanasiasa waache kutumia changamoto za mfumo wa kielektroniki wa uandikishaji wapigakura (Biometric Voter Registration-BVR) ili kujipatia umaarufu wa kisiasa.
Kauli hiyo ya Jaji Lubuva imekuja siku chache baada ya Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Freeman Mbowe, kumuonya na kudai kamwe chama chake hakitakubaliana na vitendo vya hujuma ambavyo...
11 years ago
Mwananchi11 Jan
Daftari la wapiga kura, kauli tata za Jaji Lubuva