Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


JAJI LUBUVA ANENA MAZOTO KUHUSU UPOTOSHWAJI WA MATOKEO YA URAIS

Leo asubuhi Jaji Lubuva kabla hajaanza kusoma matokeo ngazi ya Urais ametolea ufafanuzi mambo kadhaa hasa suala la tume kutoa matokeo tofauti na matokeo yaliyopo majimboni. Lubuva kasema sio nia ya tume kwa wakati huu kuanza malumbano na vyama vya siasa au na wadau wengine lakini pale panapokuwa na upotoshaji mbaya, upotoshaji wa hali ya juu tume inalazimika kusema. 
Jaji Libuva kasema matokeo yanayosomwa na tume ya uchaguzi yamechakachuliwa kuhusu wagombea wa Urais si kweli, kinachosomwa...

Vijimambo

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Vijimambo

JAJI LUBUVA AKITANGAZA MATOKEO YA URAIS MAPEMA LEO

Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC), Jaji mstaafu, Damian Lubuva (kushoto), akizungumza na waandishi wa habari na waangalizi wa kimataifa wakati akitangaza matokeo ya awali ya urais Dar es Salaam leo. Kulia ni Mkurugenzi wa Uchaguzi, Ramadhan KailimaWaangalizi wa uchaguzi wa kimataifa wakiwa kwenye mkutano huo wa kutangazwa matokeo ya awali.Waangalizi wa uchaguzi wa kimataifa wakiwa kwenye mkutano huo wa kutangazwa matokeo ya awali.Jaji Lubuva akijiandaa kutangaza matokeo hayo ya...

 

9 years ago

Michuzi

JAJI MTAAFU LUBUVA AZUNGUMZA KUHUSU UCHAGUZI MKUU 25/10/2015

Baadhi ya waandishi wa habari  wakimsikiliza   Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi(NEC) Jaji Mstaafu Damian  Lubuva kuhusu  alipokuwa akizungumzia masuala mbalimbali ya Uchaguzi Mkuu, ikiwemo kusisitiza mwisho wa kampeni za uchaguzi huo kuwa ni leo saa 12: 00 jioni.  Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi(NEC) Jaji Mstaafu Damian  Lubuva  akizungumza na waandishi wa habari leo jijini Dares Salaam kuhusu masuala mbalimbali  ya Uchaguzi Mkuu, ikiwemo kusisitiza mwisho wa kampeni  za...

 

9 years ago

Dewji Blog

Tume yatoa Ufafanuzi kuhusu ucheleweshwaji wa matokeo ya Urais

PIX 1

Makamu Mwenyekiti Tume ya Taifa ya Uchaguzi  Bw.Hamid M. Hamid (wapili kushoto) akisoma matokeo ya wagombea nafasi ya Urais jana jijini Dar es Salaam katika Uchaguzi Mkuu wa mwaka huu,anayemfuata kulia ni Mwenyekiti  wa Tume Jaji  Mstaafu Damian Lubuva.

PIX 2

Baadhi ya waandishi wa Habari wa Ndani na  Nje ya nchi wakifuatilia zoezi la kutangazwa kwa matokeo ya wagombea Urais  katika Uchaguzi Mkuu wa mwaka huu jana katika Ukumbi wa Mwalimu Nyerere Dar es Salaam.

PIX 3

Msaidizi wa Mkurugenzi wa...

 

10 years ago

Mwananchi

Jaji Lubuva awavaa viongozi wa kisiasa

Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC), Jaji Damian Lubuva amewashukia viongozi wa kisiasa, akiwataka kuacha kutumia nafasi zao kuingilia mchakato wa uandikishaji wa Daftari la Wapiga Kura kwa kutumia vifaa vya kielektroniki vya Biometric Voters Registration (BVR), kwani zinaweza kuleta machafuko makubwa nchini.

 

9 years ago

GPL

MJUE JAJI DAMIAN ZEFRIN LUBUVA

Na Brighton Masalu CHETI chake cha kuzaliwa, kimeandikwa Damian Zefrin Lubuva. Huyu ni Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi ambaye alizaliwa Septemba 21, 1940 katika Kijiji cha Haubi Wilaya ya Kondoa Mkoa wa Dodoma. ELIMU Alipata elimu ya msingi katika Shule ya Kuta kuanzia mwaka 1949 hadi 1952 na katika Shule ya Kati ya St. Gabriel Catholic Kondoa kuanzia mwaka 1953 hadi 1956. Baadaye alikwenda Shule ya Sekondari ya St....

 

10 years ago

Mtanzania

Chadema wamtuma Jaji Lubuva kwa JK

MWANANCHINa Esther Mbussi, Dar es Salaam
BARAZA la Wazee wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), limemtaka Mwenyekiti wa Tume ya Uchaguzi (NEC), Jaji Damian Lubuva kumshauri Rais Jakaya Kikwete, kusitisha mchakato wa uandikishaji wapigakura kwa mfumo wa BVR.
Wamemtaka Jaji Lubuva asikubali Chama Cha Mapinduzi (CCM) kumfia mikononi kwa sababu kinaelekea huko na kinatafuta wa kufa naye.
Mwenyekiti wa baraza hilo Mkoa wa Dar es Salaam, Esther Samanya, aliwaambia waandishi wa habari jana kuwa...

 

9 years ago

Dewji Blog

Hii ndiyo hatma ya Benitez Real Madrid, Ancelotti anena kuhusu kurudi Madrid na Menzes kuhusu uhamisho wa Ronaldo

rafa-benitez-579850

Kocha wa Real Madrid, Rafa Benitez.

Na Rabi Hume, Modewjiblog

Hatimaye hatma ya kocha wa Real Madrid, Rafa Benitez imefahamika baada ya kuwepo sintofahamu kama anabaki katika klabu hiyo au anaondoka kufuatia kipigo cha mbwa mwizi cha goli 4 bila kutoka kwa wapinzani wao wakubwa Barcelona.

Usiku wa jumatatu, Rais wa Real Madrid, Florentino Perez amesema kuwa kubarua cha kocha Benitez kipo salama na ataendelea na kazi yake kama kawaida licha ya uvumi kuwa anafukuzwa kazi kutokana na kipigo...

 

10 years ago

Mwananchi

Chondechonde Jaji Lubuva tuepushe na kikombe hiki

Taifa liko katika mchakato wa uchaguzi Mkuu madiwani, wabunge na Rais unaotarajiwa kufanyika Oktoba 25, mwaka huu.

 

10 years ago

Mtanzania

Jaji Lubuva ajibu mapigo ya Ukawa BVR

Jaji LubuvaMauli Muyenjwa na Maneno Selanyika, Dar es Salaam
MWENYEKITI wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC), Jaji Damian Lubuva, amewataka wanasiasa waache kutumia changamoto za mfumo wa kielektroniki wa uandikishaji wapigakura (Biometric Voter Registration-BVR) ili kujipatia umaarufu wa kisiasa.
Kauli hiyo ya Jaji Lubuva imekuja siku chache baada ya Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Freeman Mbowe, kumuonya na kudai kamwe chama chake hakitakubaliana na vitendo vya hujuma ambavyo...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani