JAJI LUBUVA ANENA MAZOTO KUHUSU UPOTOSHWAJI WA MATOKEO YA URAIS
![](http://2.bp.blogspot.com/-Y0U03Jjs0vU/VjCUcq1cnZI/AAAAAAABYLs/oz5_U85uJZw/s72-c/1248.jpg)
Leo asubuhi Jaji Lubuva kabla hajaanza kusoma matokeo ngazi ya Urais ametolea ufafanuzi mambo kadhaa hasa suala la tume kutoa matokeo tofauti na matokeo yaliyopo majimboni. Lubuva kasema sio nia ya tume kwa wakati huu kuanza malumbano na vyama vya siasa au na wadau wengine lakini pale panapokuwa na upotoshaji mbaya, upotoshaji wa hali ya juu tume inalazimika kusema.
Jaji Libuva kasema matokeo yanayosomwa na tume ya uchaguzi yamechakachuliwa kuhusu wagombea wa Urais si kweli, kinachosomwa...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
9 years ago
VijimamboJAJI LUBUVA AKITANGAZA MATOKEO YA URAIS MAPEMA LEO
9 years ago
MichuziJAJI MTAAFU LUBUVA AZUNGUMZA KUHUSU UCHAGUZI MKUU 25/10/2015
9 years ago
Dewji Blog28 Oct
Tume yatoa Ufafanuzi kuhusu ucheleweshwaji wa matokeo ya Urais
Makamu Mwenyekiti Tume ya Taifa ya Uchaguzi Bw.Hamid M. Hamid (wapili kushoto) akisoma matokeo ya wagombea nafasi ya Urais jana jijini Dar es Salaam katika Uchaguzi Mkuu wa mwaka huu,anayemfuata kulia ni Mwenyekiti wa Tume Jaji Mstaafu Damian Lubuva.
Baadhi ya waandishi wa Habari wa Ndani na Nje ya nchi wakifuatilia zoezi la kutangazwa kwa matokeo ya wagombea Urais katika Uchaguzi Mkuu wa mwaka huu jana katika Ukumbi wa Mwalimu Nyerere Dar es Salaam.
Msaidizi wa Mkurugenzi wa...
10 years ago
Mwananchi21 Feb
Jaji Lubuva awavaa viongozi wa kisiasa
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/K6CBBOJeKwFrizE3Dq6WzH8TVg0P4YiW-S2iFv34p0dszPPCPki6oWAqZgakZ32Zoh9sReX7vhc4yrWxzaBrgIZYbm3GK9pa/Mwenyekiti.jpg?width=650)
MJUE JAJI DAMIAN ZEFRIN LUBUVA
10 years ago
Mtanzania26 Mar
Chadema wamtuma Jaji Lubuva kwa JK
Na Esther Mbussi, Dar es Salaam
BARAZA la Wazee wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), limemtaka Mwenyekiti wa Tume ya Uchaguzi (NEC), Jaji Damian Lubuva kumshauri Rais Jakaya Kikwete, kusitisha mchakato wa uandikishaji wapigakura kwa mfumo wa BVR.
Wamemtaka Jaji Lubuva asikubali Chama Cha Mapinduzi (CCM) kumfia mikononi kwa sababu kinaelekea huko na kinatafuta wa kufa naye.
Mwenyekiti wa baraza hilo Mkoa wa Dar es Salaam, Esther Samanya, aliwaambia waandishi wa habari jana kuwa...
9 years ago
Dewji Blog24 Nov
Hii ndiyo hatma ya Benitez Real Madrid, Ancelotti anena kuhusu kurudi Madrid na Menzes kuhusu uhamisho wa Ronaldo
Kocha wa Real Madrid, Rafa Benitez.
Na Rabi Hume, Modewjiblog
Hatimaye hatma ya kocha wa Real Madrid, Rafa Benitez imefahamika baada ya kuwepo sintofahamu kama anabaki katika klabu hiyo au anaondoka kufuatia kipigo cha mbwa mwizi cha goli 4 bila kutoka kwa wapinzani wao wakubwa Barcelona.
Usiku wa jumatatu, Rais wa Real Madrid, Florentino Perez amesema kuwa kubarua cha kocha Benitez kipo salama na ataendelea na kazi yake kama kawaida licha ya uvumi kuwa anafukuzwa kazi kutokana na kipigo...
10 years ago
Mwananchi06 Jul
Chondechonde Jaji Lubuva tuepushe na kikombe hiki
10 years ago
Mtanzania25 Feb
Jaji Lubuva ajibu mapigo ya Ukawa BVR
Mauli Muyenjwa na Maneno Selanyika, Dar es Salaam
MWENYEKITI wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC), Jaji Damian Lubuva, amewataka wanasiasa waache kutumia changamoto za mfumo wa kielektroniki wa uandikishaji wapigakura (Biometric Voter Registration-BVR) ili kujipatia umaarufu wa kisiasa.
Kauli hiyo ya Jaji Lubuva imekuja siku chache baada ya Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Freeman Mbowe, kumuonya na kudai kamwe chama chake hakitakubaliana na vitendo vya hujuma ambavyo...