JAJI MTAAFU LUBUVA AZUNGUMZA KUHUSU UCHAGUZI MKUU 25/10/2015
Baadhi ya waandishi wa habari wakimsikiliza Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi(NEC) Jaji Mstaafu Damian Lubuva kuhusu alipokuwa akizungumzia masuala mbalimbali ya Uchaguzi Mkuu, ikiwemo kusisitiza mwisho wa kampeni za uchaguzi huo kuwa ni leo saa 12: 00 jioni.
Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi(NEC) Jaji Mstaafu Damian Lubuva akizungumza na waandishi wa habari leo jijini Dares Salaam kuhusu masuala mbalimbali ya Uchaguzi Mkuu, ikiwemo kusisitiza mwisho wa kampeni za...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo
JAJI LUBUVA ANENA MAZOTO KUHUSU UPOTOSHWAJI WA MATOKEO YA URAIS

Jaji Libuva kasema matokeo yanayosomwa na tume ya uchaguzi yamechakachuliwa kuhusu wagombea wa Urais si kweli, kinachosomwa...
10 years ago
Mwananchi03 May
UCHAGUZI CCM 2015: Agustino Ramadhani Jaji Mkuu mstaafu
10 years ago
Dewji Blog29 Aug
Tamko la THBUB kuhusu Uchaguzi Mkuu 2015
Mwenyekiti wa Tume ya Haki za Binadamu na Utawala Bora (THBUB), Mhe. Bahame Tom Nyanduga.
Tamko la THBUB kuhusu Uchaguzi Mkuu 2015.pdf
10 years ago
Vijimambo13 Aug
10 years ago
Dewji Blog14 Aug
Tamko la FEMACT kuhusu Uchaguzi Mkuu 2015
Mkurugenzi Mtendaji wa mtandao wa TGNP, Mratibu wa FEMACT, Lilian Liundi.
Tamko la femact kuhusu uchaguzi mkuu 2015
10 years ago
Vijimambo30 Apr
10 years ago
Michuzi
TAARIFA YA MKUU WA MKOA WA DODOMA MHE. CHIKU GALLAWA KUHUSU UCHAGUZI MKUU WA OKTOBA 25, 2015 MKOANI DODOMA
Mkoa wa DodomaAnwani ya Simu REGCOMSimu Nambari: 2324343/2324384E-Mail No. ras@dodoma.go.tzFax No. +255 026 2320046

Ofisi ya Mkuu wa Mkoa, S.L.P. 914, DODOMA.
Ndugu wananchi wa Mkoa wa Dodoma, tarehe 25 Oktoba, 2015 ni siku ya Uchaguzi Mkuu hapa nchini; ambapo, Watanzania wale wenye sifa za kupiga kura na waliojiandikisha, watapata...
10 years ago
Mzalendo Zanzibar03 Oct
Mwenyekiti wa Tume Ya Uchaguzi Jaji Mstaafu Damian Lubuva Amshangaa MBOWE Kwa Kuhamasisha Vijana Kubaki Vituoni Kulinda Kura
Mwenyekiti wa Tume Damian Lubuva Saturday, October 3, 2015 MWENYEKITI wa Tume ya Taifa Uchaguzi nchini Jaji Mstaafu Damian Lubuva, ameeleza kushangazwa na kauli zinazotolewa na baadhi ya vyama vya siasa wakiwahamasisha wafuasi wao hasa kundi […]
The post Mwenyekiti wa Tume Ya Uchaguzi Jaji Mstaafu Damian Lubuva Amshangaa MBOWE Kwa Kuhamasisha Vijana Kubaki Vituoni Kulinda Kura appeared first on Mzalendo.net.
10 years ago
CHADEMA Blog
Taarifa Rasmi Kutoka UKAWA Kuhusu Uchaguzi Mkuu Unaoendelea Leo- 25/10/2015