Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Chegeni awavaa viongozi mizigo

MJUMBE wa Halmashauri Kuu ya CCM Taifa (NEC), Dk. Raphael Chegeni, amesema viongozi wanaoonekana kuwa ‘mizigo’ waliopewa dhamana ya kuwaongoza wananchi Wilaya ya Busega, Simiyu watekeleze vema wajibu wao. Dk....

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mwananchi

Jaji Lubuva awavaa viongozi wa kisiasa

Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC), Jaji Damian Lubuva amewashukia viongozi wa kisiasa, akiwataka kuacha kutumia nafasi zao kuingilia mchakato wa uandikishaji wa Daftari la Wapiga Kura kwa kutumia vifaa vya kielektroniki vya Biometric Voters Registration (BVR), kwani zinaweza kuleta machafuko makubwa nchini.

 

10 years ago

Habarileo

‘Jiandikisheni mwondoe viongozi wote mizigo’

WATANZANIA wametakiwa kutumia fursa na haki iliyopo mbele yao ya kujiandikisha katika daftari la kudumu la wapiga kura na kushiriki siku ya kura ili waachane na malalamiko ya kupatikana kwa viongozi mizigo.

 

10 years ago

Tanzania Daima

Siku za viongozi mizigo zinazidi kuhesabika

DHANA ya watawala kudhani kuwa wanaweza kuwaongoza wananchi kwa fikra zao binafsi bila kukidhi matakwa ya sheria za nchi ni moja ya vituko vinavyoashiria kufikia ukomo kwa  viongozi waliobweteka. Kwa...

 

10 years ago

Vijimambo

USAFIRSHAJII MIZIGO DAR NA ZANZIBARUSAFIRSHAJII MIZIGO DAR NA ZANZIBAR

TUMA BIASHARA ZAKO KWA NJIA YA BAHARI AMBAYO NI NAFUU KWA UZITO WOWOTE ULE, CONTAINER LETU LINAONDOKA MWISHO MWA FEBRUARY.KWA TAARIFA ZAIDI WASILIANA NASI KWA CONTACT HIZO HAPO JUU

 

11 years ago

Tanzania Daima

Dk. Chegeni aishukia kampuni ya madini

MJUMBE wa Halmashauri Kuu ya CCM Taifa (NEC), Dk. Raphael Chegeni, ameitaka kampuni ya uchimbaji madini katika mgodi wa Ngasamo wilayani Busega, Simiyu kufuata sheria za nchi kwa kuwalipa fidia...

 

10 years ago

Mtanzania

Dk. Chegeni atumwa kumshawishi Lowassa

EdwardLowassaNa Mwandishi Wetu, Mwanza

WAKATI vita ya kuwania nafasi ya kumrithi Rais Jakaya Kikwete ikipamba moto, baadhi ya wananchi na wanachama wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Kanda ya Ziwa, wamemtaka Waziri Mkuu wa zamani, Edward Lowassa, agombee urais katika uchaguzi mkuu mwaka huu.

Wananchi hao katika kutimiza dhamira yao, wamemtuma Mjumbe wa Halmashauri Kuu ya chama hicho Taifa, Dk. Raphael Chegeni, kwenda kumshawishi Lowassa ili awanie nafasi hiyo.

Mjumbe huyo wa NEC ya CCM, Wilaya ya Busega,...

 

10 years ago

Mtanzania

Dk. Chegeni ambwaga Waziri Kamani

KamaniNA JOHN MADUHU, MWANZA

MJUMBE wa Halmashauri Kuu ya Taifa ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dk. Raphael Chageni, amembwaga Waziri wa Mifugo na Maendeleo ya Uvuvi, Dk. Titus Kamani katika kura za maoni za kuomba kuteuliwa kuwania ubunge kwenye Jimbo la Busega mkoani Simiyu.

Hatua ya kushindwa kwa Dk. Kamani, ambaye pia ni Mwenyekiti wa CCM wa Mkoa wa Simiyu, imemfanya aungane na mawaziri na manaibu waziri wa Serikali ya Rais Jakaya Kikwete walioangukia pua katika mbio za kusaka kurejea katika...

 

10 years ago

Raia Mwema

Ngeleja, Chegeni wambeza Lowassa

WAZIRI wa zamani wa Nishati na Madini, William Ngeleja na Mjumbe wa Halmashauri Kuu ya Taifa (NEC

Christopher Gamaina

 

10 years ago

Mwananchi

Chegeni adai kufanyiwa ‘figisufigisu’ Busega

Matokeo ya kura za maoni CCM yameendelea kukumbwa na vituko katika maeneo mbalimbali nchini ikiwamo kutokubali matokeo na kuharibu nyaraka za kura kutokana na malalamiko ya kuwapo mizengwe na upendeleo.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani