Chegeni awavaa viongozi mizigo
MJUMBE wa Halmashauri Kuu ya CCM Taifa (NEC), Dk. Raphael Chegeni, amesema viongozi wanaoonekana kuwa ‘mizigo’ waliopewa dhamana ya kuwaongoza wananchi Wilaya ya Busega, Simiyu watekeleze vema wajibu wao. Dk....
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi21 Feb
Jaji Lubuva awavaa viongozi wa kisiasa
10 years ago
Habarileo12 Jan
‘Jiandikisheni mwondoe viongozi wote mizigo’
WATANZANIA wametakiwa kutumia fursa na haki iliyopo mbele yao ya kujiandikisha katika daftari la kudumu la wapiga kura na kushiriki siku ya kura ili waachane na malalamiko ya kupatikana kwa viongozi mizigo.
10 years ago
Tanzania Daima19 Oct
Siku za viongozi mizigo zinazidi kuhesabika
DHANA ya watawala kudhani kuwa wanaweza kuwaongoza wananchi kwa fikra zao binafsi bila kukidhi matakwa ya sheria za nchi ni moja ya vituko vinavyoashiria kufikia ukomo kwa viongozi waliobweteka. Kwa...
10 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-HFELt3bAk6E/VMl3MRx0G0I/AAAAAAAACnA/El8ROLoVekA/s72-c/Blue%2BFlyier.png)
USAFIRSHAJII MIZIGO DAR NA ZANZIBARUSAFIRSHAJII MIZIGO DAR NA ZANZIBAR
![](http://3.bp.blogspot.com/-HFELt3bAk6E/VMl3MRx0G0I/AAAAAAAACnA/El8ROLoVekA/s1600/Blue%2BFlyier.png)
11 years ago
Tanzania Daima03 Feb
Dk. Chegeni aishukia kampuni ya madini
MJUMBE wa Halmashauri Kuu ya CCM Taifa (NEC), Dk. Raphael Chegeni, ameitaka kampuni ya uchimbaji madini katika mgodi wa Ngasamo wilayani Busega, Simiyu kufuata sheria za nchi kwa kuwalipa fidia...
10 years ago
Mtanzania16 Feb
Dk. Chegeni atumwa kumshawishi Lowassa
Na Mwandishi Wetu, Mwanza
WAKATI vita ya kuwania nafasi ya kumrithi Rais Jakaya Kikwete ikipamba moto, baadhi ya wananchi na wanachama wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Kanda ya Ziwa, wamemtaka Waziri Mkuu wa zamani, Edward Lowassa, agombee urais katika uchaguzi mkuu mwaka huu.
Wananchi hao katika kutimiza dhamira yao, wamemtuma Mjumbe wa Halmashauri Kuu ya chama hicho Taifa, Dk. Raphael Chegeni, kwenda kumshawishi Lowassa ili awanie nafasi hiyo.
Mjumbe huyo wa NEC ya CCM, Wilaya ya Busega,...
10 years ago
Mtanzania07 Aug
Dk. Chegeni ambwaga Waziri Kamani
NA JOHN MADUHU, MWANZA
MJUMBE wa Halmashauri Kuu ya Taifa ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dk. Raphael Chageni, amembwaga Waziri wa Mifugo na Maendeleo ya Uvuvi, Dk. Titus Kamani katika kura za maoni za kuomba kuteuliwa kuwania ubunge kwenye Jimbo la Busega mkoani Simiyu.
Hatua ya kushindwa kwa Dk. Kamani, ambaye pia ni Mwenyekiti wa CCM wa Mkoa wa Simiyu, imemfanya aungane na mawaziri na manaibu waziri wa Serikali ya Rais Jakaya Kikwete walioangukia pua katika mbio za kusaka kurejea katika...
10 years ago
Raia Mwema12 Aug
Ngeleja, Chegeni wambeza Lowassa
WAZIRI wa zamani wa Nishati na Madini, William Ngeleja na Mjumbe wa Halmashauri Kuu ya Taifa (NEC
Christopher Gamaina
10 years ago
Mwananchi04 Aug
Chegeni adai kufanyiwa ‘figisufigisu’ Busega