Dk. Chegeni aishukia kampuni ya madini
MJUMBE wa Halmashauri Kuu ya CCM Taifa (NEC), Dk. Raphael Chegeni, ameitaka kampuni ya uchimbaji madini katika mgodi wa Ngasamo wilayani Busega, Simiyu kufuata sheria za nchi kwa kuwalipa fidia...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi18 Mar
Kampuni za simu, madini zaongoza kwa unyonyaji
10 years ago
Habarileo02 Sep
Watanzania kushika vyeo vya juu kampuni za madini
SERIKALI imeweka mkakati kuhakikisha nyadhifa za juu katika sekta ya madini, zinashikwa na Watanzania, lengo likiwa kuwezesha nchi kusimamia sekta hiyo kwa asilimia 100.
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-idyhlLK7aPk/Xkg-EW2J0AI/AAAAAAALdhk/nMJcVNa-UIcTVS_vR0dTsXwrBD-Rc2B-QCLcBGAsYHQ/s72-c/PICHA-NA-1-5-1024x683.jpg)
ZIARA YA MWENYEKITI WA TUME YA MADINI KATIKA KAMPUNI YA APEX RESOURCES
![](https://1.bp.blogspot.com/-idyhlLK7aPk/Xkg-EW2J0AI/AAAAAAALdhk/nMJcVNa-UIcTVS_vR0dTsXwrBD-Rc2B-QCLcBGAsYHQ/s640/PICHA-NA-1-5-1024x683.jpg)
Meneja Mkuu wa Kampuni ya Uchimbaji na Uchenjuaji wa Dhahabu ya Apex Resources, Joseph Kimogele (kulia) akielezea shughuli zinazofanywa na kampuni yake kwa Mwenyekiti wa Tume ya Madini, Profesa Idris Kikula (katikati) mara alipofanya ziara ya kukagua shughuli za uchimbaji na uchenjuaji wa madini ya dhahabu kwenye kampuni hiyo katika eneo la Itumbi Wilayani Chunya Mkoani Mbeya tarehe 14 Februari, 2020. Wa pili kushoto ni Afisa Madini Mkazi wa Chunya, Godson...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-SbPtpagBI-c/XncvTPWXcUI/AAAAAAALkt0/OPaci0Uw7fArWjcKh3Q3qpaG68KbwC4rwCLcBGAsYHQ/s72-c/MPANGO%2B2018_0.jpg)
DKT. MPANGO AWATEUA WAJUMBE BODI YA KAMPUNI YA MADINI YA TWIGA
![](https://1.bp.blogspot.com/-SbPtpagBI-c/XncvTPWXcUI/AAAAAAALkt0/OPaci0Uw7fArWjcKh3Q3qpaG68KbwC4rwCLcBGAsYHQ/s640/MPANGO%2B2018_0.jpg)
Wajumbe walioteuliwa ni
1. Bw. Casmir Sumba Kyuki 2. Bw. Michael Jonathan Kambi
Uteuzi wa wajumbe hao watakaotumikia nafasi zao kwa kipindi cha miaka mitatu, unafuatia makubaliano mapya ya namna ya...
9 years ago
StarTV02 Dec
Kampuni ya Sasumua yaanza matayarisho ya uchimbaji Madini Ya Graphite Handeni
Kampuni ya uchimbaji wa madini ya Sasumua Holding imegundua uwepo wa kiasi kikubwa cha madini ya Graphite katika kata ya Kwamsisi wilayani Handeni mkoani Tanga.
Tayari kampuni hiyo imeshaanza kuingiza vifaa vya kisasa vya uchimbaji nchini ili ifikapo mwezi Februari mwakani wawe tayari wameshaanza kazi ya uchimbaji.
Kata ya kwamsisi ipo katika wilaya ya Handeni Mkoani Tanga,ndani kata hii yamedundulika madini ya Graphite ambayo hivi punde yataanza kuchimbwa.
Wananchi wanaoishi katika kata...
9 years ago
MichuziWAZIRI WA NISHATI NA MADINI PROF. SOSPETER MUHONGO AKUTANA NA KAMPUNI YA MTIBWA SUGAR ESTATES LTD
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-hku8hxhzIAE/VH3Mc4NmC-I/AAAAAAAG0z0/EwhF_nqfp3o/s72-c/unnamed%2B(22).jpg)
Waziri Nishati na Madini na uongozi wa kampuni ya DermCapello ofisini kwake jijini dar leo
![](http://1.bp.blogspot.com/-hku8hxhzIAE/VH3Mc4NmC-I/AAAAAAAG0z0/EwhF_nqfp3o/s1600/unnamed%2B(22).jpg)
10 years ago
MichuziKAMPUNI YA PETROGAS YAENDESHA MAFUNZO YA UANDAAJI WA MAPENDEKEZO YA MIRADI KWA WATAALAMU WA WIZARA YA NISHATI NA MADINI
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-B4UI1qgZmUA/U_XSJSuszbI/AAAAAAAGBJY/cBFkwiOEcO4/s72-c/unnamed%2B(75).jpg)
SHIRIKA LA MAGEREZA KUINGIA UBIA WA UCHIMBAJI MADINI YA CHOKAA NA KAMPUNI YA TWIGA CEMENT YA JIJINI DAR
![](http://3.bp.blogspot.com/-B4UI1qgZmUA/U_XSJSuszbI/AAAAAAAGBJY/cBFkwiOEcO4/s1600/unnamed%2B(75).jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-NSYMSRme8Gc/U_XSJXXQpvI/AAAAAAAGBJg/YNmCs5V6R5A/s1600/unnamed%2B(76).jpg)