Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Dk. Chegeni aishukia kampuni ya madini

MJUMBE wa Halmashauri Kuu ya CCM Taifa (NEC), Dk. Raphael Chegeni, ameitaka kampuni ya uchimbaji madini katika mgodi wa Ngasamo wilayani Busega, Simiyu kufuata sheria za nchi kwa kuwalipa fidia...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Mwananchi

Kampuni za simu, madini zaongoza kwa unyonyaji

 Kampuni nyingi za simu na za madini nchini zinadaiwa kuwanyonya wafanyakazi wao na kusababisha serikali kuamua kuingilia kati kwa kusimamia moja kwa moja usajili mpya wa mawakala wa ajira.

 

10 years ago

Habarileo

Watanzania kushika vyeo vya juu kampuni za madini

Kaimu Kamishna wa Madini, Ally SamajeSERIKALI imeweka mkakati kuhakikisha nyadhifa za juu katika sekta ya madini, zinashikwa na Watanzania, lengo likiwa kuwezesha nchi kusimamia sekta hiyo kwa asilimia 100.

 

5 years ago

Michuzi

ZIARA YA MWENYEKITI WA TUME YA MADINI KATIKA KAMPUNI YA APEX RESOURCES


Meneja Mkuu wa Kampuni ya Uchimbaji na Uchenjuaji wa Dhahabu ya Apex Resources, Joseph Kimogele (kulia) akielezea shughuli zinazofanywa na kampuni yake kwa Mwenyekiti wa Tume ya Madini, Profesa Idris Kikula (katikati) mara alipofanya ziara  ya kukagua shughuli za uchimbaji na uchenjuaji wa madini ya dhahabu kwenye kampuni hiyo katika eneo la Itumbi Wilayani Chunya Mkoani Mbeya tarehe 14 Februari, 2020. Wa pili kushoto ni Afisa Madini Mkazi wa Chunya, Godson...

 

5 years ago

Michuzi

DKT. MPANGO AWATEUA WAJUMBE BODI YA KAMPUNI YA MADINI YA TWIGA

 Waziri wa Fedha na Mipango,Dkt. Philip Isdor Mpango (Mb), amewateua wajumbe wawili watakaoiwakilisha Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwenye Bodi ya Wakurugenzi ya Kampuni ya Madini ya Twiga (Twiga Minerals Corporation Limited).
Wajumbe walioteuliwa ni
1.      Bw. Casmir Sumba Kyuki                                    2.      Bw. Michael Jonathan Kambi
Uteuzi wa wajumbe hao watakaotumikia nafasi zao kwa kipindi cha miaka mitatu, unafuatia makubaliano mapya ya namna ya...

 

9 years ago

StarTV

Kampuni ya Sasumua yaanza matayarisho ya uchimbaji Madini Ya Graphite Handeni

Kampuni ya uchimbaji wa madini ya Sasumua Holding imegundua uwepo wa kiasi kikubwa cha madini ya Graphite katika kata ya Kwamsisi wilayani Handeni mkoani Tanga.

Tayari kampuni hiyo imeshaanza kuingiza vifaa vya kisasa vya uchimbaji nchini ili ifikapo mwezi Februari mwakani wawe tayari wameshaanza kazi ya uchimbaji.

Kata ya kwamsisi ipo katika wilaya ya Handeni Mkoani Tanga,ndani  kata hii yamedundulika madini ya Graphite ambayo hivi punde yataanza kuchimbwa.

Wananchi wanaoishi katika kata...

 

9 years ago

Michuzi

WAZIRI WA NISHATI NA MADINI PROF. SOSPETER MUHONGO AKUTANA NA KAMPUNI YA MTIBWA SUGAR ESTATES LTD

 Waziri wa Nishati na Madini Prof. Sospeter Muhongo (mbele) akiongoza kikao kilichoshirikisha watendaji wa Wizara ya Nishati na Madini na kampuni ya Mtibwa Sugar Estates Ltd.   Profesa Muhongo aliitaka kampuni hiyo  kuwekeza kwenye uzalishaji wa umeme ili kukidhi mahitaji yake zaidi.

 Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Nishati na Madini -  Madini,  Prof. James Mdoe (kushoto) na Naibu  Katibu Mkuu Wizara ya Nishati na Madini – Nishati, Dkt. Mhandisi Juliana Palangyo (kulia) wakifuatilia kwa makini...

 

10 years ago

Michuzi

Waziri Nishati na Madini na uongozi wa kampuni ya DermCapello ofisini kwake jijini dar leo

Waziri wa Nishati na Madini, Profesa Sospeter Muhongo (katikati) akiwa katika kikao na watendaji wa kampuni ya DermCappello yenye Ubia kati ya Watanzania na Waitalia waliofika katika Ofisi za Wizara ya Nishati na Madini ili kueleza nia yao ya kuzalisha umeme wa jua na kujenga kiwanda cha kutengeneza vifaa vya umeme jua. Kutoka kushoto ni watendaji wa kampuni ya DermCapello, Eng. Steven Chaula, Capello Giuseppe na Giuseppe Capello. Kulia ni Mchumi kutoka Wakala wa Nishati Vijijini...

 

10 years ago

Michuzi

KAMPUNI YA PETROGAS YAENDESHA MAFUNZO YA UANDAAJI WA MAPENDEKEZO YA MIRADI KWA WATAALAMU WA WIZARA YA NISHATI NA MADINI

Mwenyekiti Mtendaji wa Kampuni ya Petrogas inayojihusisha na kutoa mafunzo kwa ajili ya uandaaji wa mapendekezo ya miradi pamoja na usimamizi wake yenye makazi yake jijini Dar es Salaam Bw. Greyson Kiondo akisisitiza jambo kwenye mafunzo yanayohusu uandaaji wa mapendekezo ya miradi na usimamizi wake yaliyoshirikisha wataalamu kutoka Wizara ya Nishati na Madini yanayoendelea mjini Bagamoyo katika hoteli ya Stella Maris. Msimamizi wa mradi unaohusika na kuwajengea uwezo...

 

10 years ago

Michuzi

SHIRIKA LA MAGEREZA KUINGIA UBIA WA UCHIMBAJI MADINI YA CHOKAA NA KAMPUNI YA TWIGA CEMENT YA JIJINI DAR

Kamishna Jenerali wa Jeshi Magereza John Casmir Minja(kushoto) akiwa na Mkurugenzi Mtendaji wa Kampuni ya Twiga Cement, Bw. Alfonso Rodrudges(kulia) kabla ya kusaini Makubaliano ya ubia kati ya Shirika la Magereza na Kmapuni hiyo ya uchimbaji madini ya chokaa katika eneo la Gereza Wazo Hill leo Agosti 21, 2014 Jijini Dar es Salaam. Kamishna Jenerali wa Jeshi la Magereza John Casmir Minja(kushoto) akiwa na Mkurugenzi Mtendaji wa Kampuni ya Twiga Cement, Bw. Alfonso Rodrudges(kulia) wakisaini...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani