Kampuni ya Sasumua yaanza matayarisho ya uchimbaji Madini Ya Graphite Handeni
Kampuni ya uchimbaji wa madini ya Sasumua Holding imegundua uwepo wa kiasi kikubwa cha madini ya Graphite katika kata ya Kwamsisi wilayani Handeni mkoani Tanga.
Tayari kampuni hiyo imeshaanza kuingiza vifaa vya kisasa vya uchimbaji nchini ili ifikapo mwezi Februari mwakani wawe tayari wameshaanza kazi ya uchimbaji.
Kata ya kwamsisi ipo katika wilaya ya Handeni Mkoani Tanga,ndani kata hii yamedundulika madini ya Graphite ambayo hivi punde yataanza kuchimbwa.
Wananchi wanaoishi katika kata...
StarTV
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-B4UI1qgZmUA/U_XSJSuszbI/AAAAAAAGBJY/cBFkwiOEcO4/s72-c/unnamed%2B(75).jpg)
SHIRIKA LA MAGEREZA KUINGIA UBIA WA UCHIMBAJI MADINI YA CHOKAA NA KAMPUNI YA TWIGA CEMENT YA JIJINI DAR
![](http://3.bp.blogspot.com/-B4UI1qgZmUA/U_XSJSuszbI/AAAAAAAGBJY/cBFkwiOEcO4/s1600/unnamed%2B(75).jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-NSYMSRme8Gc/U_XSJXXQpvI/AAAAAAAGBJg/YNmCs5V6R5A/s1600/unnamed%2B(76).jpg)
9 years ago
Dewji Blog05 Jan
Serikali yataka kampuni ya madini ya Shanta na wanakijiji cha Ikungi kumaliza tofauti zao waendelee na kazi za uchimbaji
Naibu Waziri wa Nishati na Madini, Dk.Medard Kalemani (mwenye koti kulia) akibadilishana mawazo na aliyewahi kuwa Mbunge wa jimbo la Manyoni magharibi na mchimbaji madini ya Gypsum kijijini Itigi, Ismael Ivata (kushoto).Viongozi hao walikuwa kwenye shimo linalochimbwa gypsum.
Afisa Mwanadamizi wa kampuni ya uchimbaji madini ya Shanta kijiji cha Sambaru wilaya ya Ikungi, Octavian Ndazi, akitoa taarifa yake kwa Naibu Waziri wa Nishati na Madini, Dk.Medard Kalemani (hayupo kwenye picha). Hata...
11 years ago
MichuziZANZIBAR YAANZA MATAYARISHO YA UZINDUZI WA JUMUIYA YA MARADHI YASIYOAMBUKIZA
5 years ago
periodical36019 Mar
Global Large Flake Graphite Market Business Opportunities 2026 - Top Companies are Jixi Changyuan Mining Industry, Qiangli Graphite
10 years ago
Michuzi15 Sep
BENKI YA DUNIA NA SERIKALI IKISHIRIKIANA NA WAWEKEZAJI WAKUBWA WA MADINI WAZINDUA MRADI WA UCHIMBAJI MADINI KWA WACHIMBAJI WADOGO WADOGO MKOANI GEITA.
10 years ago
Mwananchi08 Oct
Leseni uchimbaji madini zafutwa
10 years ago
Habarileo04 Nov
Leseni sita za uchimbaji madini zatolewa
SERIKALI imesema kuwa leseni zote za madini zikiwemo za utafiti, uchimbaji na zile za kuhodhi maeneo, zitakaguliwa baada ya miezi sita baada ya kutolewa kwa wamiliki ili kuhakikisha kuwa maeneo yaliyoombewa leseni, yanaendelezwa.
10 years ago
Mwananchi27 Nov
Serikali yapiga ‘stop’ uchimbaji madini
9 years ago
MichuziSERIKALI KUKOMESHA UCHIMBAJI NA UUZAJI HARAMU WA MADINI
Washiriki wa warsha wakifuatilia uwasilishaji mada kuhusu utekelezaji wa mpango wa kupambana na uchimbaji haramu wa rasilimali kwa nchi za Ukanda wa Maziwa Makuu (ICGLR) ujulikanao...