Serikali yapiga ‘stop’ uchimbaji madini
Wizara ya Maliasili na Utalii, imepiga marufuku uchimbaji wa madini ndani ya Hifadhi ya Taifa ya Ziwa Manyara.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi15 Sep
BENKI YA DUNIA NA SERIKALI IKISHIRIKIANA NA WAWEKEZAJI WAKUBWA WA MADINI WAZINDUA MRADI WA UCHIMBAJI MADINI KWA WACHIMBAJI WADOGO WADOGO MKOANI GEITA.
9 years ago
MichuziSERIKALI KUKOMESHA UCHIMBAJI NA UUZAJI HARAMU WA MADINI
Washiriki wa warsha wakifuatilia uwasilishaji mada kuhusu utekelezaji wa mpango wa kupambana na uchimbaji haramu wa rasilimali kwa nchi za Ukanda wa Maziwa Makuu (ICGLR) ujulikanao...
10 years ago
Mwananchi21 Nov
Serikali yapiga mnada madini
9 years ago
StarTV18 Nov
Serikali ya India kuanza kuwafundisha Watanzania Uchimbaji Bora Wa Madini
Serikali imeingia makubaliano na kituo cha sayansi na mazingira cha India CSE kutumia wataalamu wa kituo hicho kuja nchini kusaidia uchimbaji wa madini ya makaa ya mawe ili ufanyike kwa ufanisi kwa kuzingatia uhifadhi wa mazingira na usalama.
Hatua hii ya Serikali inakuja kutokana na kuanza kwa uchimbaji mkubwa wa makaa ya mawe nchini ukiwemo unaoendelea Ngaka mkoani Ruvuma.
Imebainishwa kuwa ni muhimu kuwepo kwa mikakati mizuri ya kuhifadhi mazingira wakati wa uchimbaji na wakati wa...
9 years ago
Dewji Blog05 Jan
Serikali yataka kampuni ya madini ya Shanta na wanakijiji cha Ikungi kumaliza tofauti zao waendelee na kazi za uchimbaji
Naibu Waziri wa Nishati na Madini, Dk.Medard Kalemani (mwenye koti kulia) akibadilishana mawazo na aliyewahi kuwa Mbunge wa jimbo la Manyoni magharibi na mchimbaji madini ya Gypsum kijijini Itigi, Ismael Ivata (kushoto).Viongozi hao walikuwa kwenye shimo linalochimbwa gypsum.
Afisa Mwanadamizi wa kampuni ya uchimbaji madini ya Shanta kijiji cha Sambaru wilaya ya Ikungi, Octavian Ndazi, akitoa taarifa yake kwa Naibu Waziri wa Nishati na Madini, Dk.Medard Kalemani (hayupo kwenye picha). Hata...
9 years ago
Habarileo04 Jan
Wizara yapiga marufuku uchimbaji mchanga
SERIKALI imefuta vibali vyote vya uchimbaji mchanga katika wilaya ya Chamwino mkoani Dodoma ili kunusuru vyanzo vya maji na mazingira.
10 years ago
Mwananchi08 Oct
Leseni uchimbaji madini zafutwa
10 years ago
Habarileo04 Nov
Leseni sita za uchimbaji madini zatolewa
SERIKALI imesema kuwa leseni zote za madini zikiwemo za utafiti, uchimbaji na zile za kuhodhi maeneo, zitakaguliwa baada ya miezi sita baada ya kutolewa kwa wamiliki ili kuhakikisha kuwa maeneo yaliyoombewa leseni, yanaendelezwa.
11 years ago
Mwananchi30 Jul
MADINI: Anguko la bei latikisa uchimbaji wa urani