Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


‘Jiandikisheni mwondoe viongozi wote mizigo’

WATANZANIA wametakiwa kutumia fursa na haki iliyopo mbele yao ya kujiandikisha katika daftari la kudumu la wapiga kura na kushiriki siku ya kura ili waachane na malalamiko ya kupatikana kwa viongozi mizigo.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Tanzania Daima

Chegeni awavaa viongozi mizigo

MJUMBE wa Halmashauri Kuu ya CCM Taifa (NEC), Dk. Raphael Chegeni, amesema viongozi wanaoonekana kuwa ‘mizigo’ waliopewa dhamana ya kuwaongoza wananchi Wilaya ya Busega, Simiyu watekeleze vema wajibu wao. Dk....

 

11 years ago

Tanzania Daima

Siku za viongozi mizigo zinazidi kuhesabika

DHANA ya watawala kudhani kuwa wanaweza kuwaongoza wananchi kwa fikra zao binafsi bila kukidhi matakwa ya sheria za nchi ni moja ya vituko vinavyoashiria kufikia ukomo kwa  viongozi waliobweteka. Kwa...

 

11 years ago

Mwananchi

Viongozi wote Bavicha wapoteza sifa kugombea

>Viongozi wote wa juu wa sasa wa Baraza la Vijana la Chadema (Bavicha) hawatagombea nafasi yoyote katika baraza hilo kutokana na umri wao kuzidi miaka 30.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Mandela ni kioo cha viongozi wote duniani

MARAIS na viongozi wote duniani, ni muhimu wakajipima na kujitazama mwenendo na sura ya utawala walionao kwa kujiangalia kwa kupitia baba wa taifa la Afrika Kusini na nembo ya Afrika,...

 

11 years ago

Habarileo

Viongozi wote wa juu Chadema Kigoma wajiengua

WALIOKUWA viongozi wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Mkoa Kigoma wamejiuzulu nyadhifa zao zote ndani ya chama hicho kwa kile wanachoeleza kukiukwa kwa misingi ya Demokrasia ndani ya chama hicho ambayo ndiyo msingi wa kuanzishwa kwake.

 

5 years ago

CCM Blog

RAIS MAGUFULI AWASHUKURU VIONGOZI WA DINI NA WATANZANIA WOTE

Rais Dkt.Magufuli amewashukuru Viongozi wa Dini na Watanzania wote kwa kuitikia wito wa kumuomba mwenyezi Mungu aepushe Corona.
Ametoa shukrani hizo katika Misa takatifu kwenye Kanisa Katoliki Parokia ya Bikira Maria Imaculata Chamwino Dodoma


Akiwa Kanisani hapo, Rais Magufuli ameendesha harambee ya kuchangia upanuzi wa Kanisa hilo na kufanikiwa kuchangisha zaidi ya Tsh. Mil 17 ikiwemo Tsh. Mil 10 aliyochangia yeye mwenyewe na mifuko 76 ya saruji, ametaka upanuzi wa kanisa uanze kesho.

 

9 years ago

Michuzi

Viongozi wateule wa Ofisi ya Rais-Utumishi wakutana na Watumishi wote

Katibu Mkuu wa Ofisi ya Rais- Utumishi Bw. HAB Mkwizu akizungumza na na watumishi wa Ofisi ya Rais-Utumishi katika hafla iliyowakutanisha watumishi wa Ofisi ya Rais-Utumishi. Naibu Katibu Mkuu Bw. Tixon Nzunda (aliyesimama) akizungumza na watumishi wa Ofisi ya Rais-Utumishi katika hafla fupi, iliyowakutanisha watumishi wote, wa kwanza kutoka kushoto ni Katibu Mkuu Bw. HAB Mkwizu.Mkurugenzi wa Idara ya Utawala katika Utumishi wa Umma, Ofisi ya Rais-Utumishi Bw. Nyakimura M. Muhoji...

 

11 years ago

Michuzi

Hoja ya haja: Viongozi wa Siasa tupatieni katiba ya watu wote sio ya vyama

Mheshimiwa michuzi tunashukulu sana kwa kazi yako ya kutujulisha yanayoendelea TANZANIA leo naomba unipe nafasi niweke ya moyoni mwangu na maoni yangu kuhusu huu mstakabali wa kupata katiba ya Jamuhuri ya muungano wa Tanzania mengi yamekuwa yakisemwa sana kuhusu hii katiba au ni muundo ghani wa muungano tunaoutaka,watu wengi na wana siasa wamesahu kwamba muungano huu na katiba hii ya zamani ndio umetufanya tuwe na undungu  na pia tuwe na amani mpaka hapa tulipo watu wengine...

 

10 years ago

Mwananchi

Silaa: Jiandikisheni Daftari la Wapigakura

Wakazi wa Mkoa wa Lindi wametakiwa kujitokeza kujiandikisha kwenye Daftari la Kudumu la Wapigakura ili waweze kushiriki kwenye Uchaguzi Mkuu Oktoba mwaka huu.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani