Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Dk. Chegeni atumwa kumshawishi Lowassa

EdwardLowassaNa Mwandishi Wetu, Mwanza

WAKATI vita ya kuwania nafasi ya kumrithi Rais Jakaya Kikwete ikipamba moto, baadhi ya wananchi na wanachama wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Kanda ya Ziwa, wamemtaka Waziri Mkuu wa zamani, Edward Lowassa, agombee urais katika uchaguzi mkuu mwaka huu.

Wananchi hao katika kutimiza dhamira yao, wamemtuma Mjumbe wa Halmashauri Kuu ya chama hicho Taifa, Dk. Raphael Chegeni, kwenda kumshawishi Lowassa ili awanie nafasi hiyo.

Mjumbe huyo wa NEC ya CCM, Wilaya ya Busega,...

Mtanzania

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mwananchi

Staili ya Chegeni yatumika tena kumshawishi Edward Lowassa

Staili aliyotumia Mjumbe wa Halmashauri Kuu ya Taifa ya CCM, Dk Raphael Chegeni kumshawishi Waziri Mkuu mstaafu, Edward Lowassa agombee urais imetumika tena jana baada ya makundi mbalimbali ya jamii kwenda nyumbani kwake Monduli na kumtaka achukue uamuzi huo haraka.

 

10 years ago

Raia Mwema

Ngeleja, Chegeni wambeza Lowassa

WAZIRI wa zamani wa Nishati na Madini, William Ngeleja na Mjumbe wa Halmashauri Kuu ya Taifa (NEC

Christopher Gamaina

 

10 years ago

Vijimambo

Moto wa Lowassa sasa watikisa CCM. Nape aibuka, ataka asikaribishe makundi kumshawishi urais.

Kufuatia makundi mbalimbali yanayojitokeza kwenda nyumbani kwa Waziri Mkuu wa zamani, Edward Lowassa, kumshawishi kugombea urais, Chama Cha Mapinduzi (CCM) kimesema hatua hiyo itamfanya akose sifa za kugombea nafasi hiyo.

Akizungumza na waandishi wa habari waliopo katika msafara wa Katibu Mkuu wa CCM waliotaka ufafanuzi kuhusu hali hiyo, Katibu wa Halmashauri Kuu (Nec), Itikadi na Uenezi wa CCM, Nape Nnauye, alisema matendo yanayoendelea kufanywa na Lowassa, ambaye ni Mbunge wa Monduli ni...

 

10 years ago

Dewji Blog

Watu zaidi ya 700 waandamana kwenda kwa Lowassa kumshawishi atangaze nia ya kugombea Urais 2015

SAM_4290

Makundi mbalimbali ya kijamii ya mikoa ya Kaskazini, inayojumuisha mikoa ya Kilimanjaro, Tanga, Arusha na Manyara wakiwa wanaandamana kwa pamoja kuelekea kwa mbunge wa jimbo la Monduli  hii leo.

SAM_4318

Katibu wa Chama cha Wasioona Mkoa wa Kilimanjaro (TLB), Protas Soka akisoma risala kwa niaba ya makundi hayo mbele ya mbunge wa jimbo la Monduli.

SAM_4337

Viongozi mbalimbali wa makundi ya kijamii wakiwa wanamkabidhi Waziri Mstaafu ambaye pia ni mbunge wa jimbo la Monduli Edward Lowasa bahasha...

 

10 years ago

Mtanzania

Dk. Chegeni ambwaga Waziri Kamani

KamaniNA JOHN MADUHU, MWANZA

MJUMBE wa Halmashauri Kuu ya Taifa ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dk. Raphael Chageni, amembwaga Waziri wa Mifugo na Maendeleo ya Uvuvi, Dk. Titus Kamani katika kura za maoni za kuomba kuteuliwa kuwania ubunge kwenye Jimbo la Busega mkoani Simiyu.

Hatua ya kushindwa kwa Dk. Kamani, ambaye pia ni Mwenyekiti wa CCM wa Mkoa wa Simiyu, imemfanya aungane na mawaziri na manaibu waziri wa Serikali ya Rais Jakaya Kikwete walioangukia pua katika mbio za kusaka kurejea katika...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Chegeni awavaa viongozi mizigo

MJUMBE wa Halmashauri Kuu ya CCM Taifa (NEC), Dk. Raphael Chegeni, amesema viongozi wanaoonekana kuwa ‘mizigo’ waliopewa dhamana ya kuwaongoza wananchi Wilaya ya Busega, Simiyu watekeleze vema wajibu wao. Dk....

 

11 years ago

Tanzania Daima

Dk. Chegeni aishukia kampuni ya madini

MJUMBE wa Halmashauri Kuu ya CCM Taifa (NEC), Dk. Raphael Chegeni, ameitaka kampuni ya uchimbaji madini katika mgodi wa Ngasamo wilayani Busega, Simiyu kufuata sheria za nchi kwa kuwalipa fidia...

 

11 years ago

Mtanzania

Dk. Chegeni ataka ajira BoT zimulikwe

Mbunge wa zamani wa Jimbo la Busega  Mkoa wa Simiyu, Dk. Raphael Chegeni

Mbunge wa zamani wa Jimbo la Busega Mkoa wa Simiyu, Dk. Raphael Chegeni

NA JOHN MADUHU

MBUNGE wa zamani wa Jimbo la Busega  Mkoa wa Simiyu, Dk. Raphael Chegeni, ameitaka serikali kuchunguza ajira za ukabila, upendeleo na undugu katika Benki Kuu ya Tanzania (BoT) kwa vile zimetajwa mara kadhaa kutolewa kwa watoto wa vigogo.

Ametoa kauli hiyo  siku chache baada ya Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi kufuta ajira zaidi ya 200 zilizokuwa zimetangazwa na Idara ya Uhamiaji.  Ajira hizo zilidaiwa...

 

9 years ago

Mwananchi

Hatimaye Dk Chegeni ambwaga Dk Kamani Busega

Hatimaye kitendawili kilichokuwa kikisubuliwa kwa hamu na wananchi wa jimbo la Busega mkoani Simiyu, kimeteguliwa baada ya kamati ya siasa ya wilaya hiyo kumtangaza Dk Raphael Chegeni kuwa mshindi katika kura za maoni ndani ya chama.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani