Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


TABCO: Mwanamke ana haki kumiliki mali

UMILIKI wa mali zinazotokana na mirathi ni jambo muhimu linalotakiwa kutiliwa maanani na jamii yote pasipo kujali jinsia. Serikali nayo inatakiwa lazima iwajibike kikamilifu katika hili, juu ya kuhakikisha haki...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mwananchi

Mwanamke ana haki ya kumiliki mali kisheria

Ukimuelimisha mwanamke umeielimisha jamii. Ni wakati wa kuondokana na mfumo dume. Mwanamke akiwezeshwa anaweza. Mwanamke ndiye mlezi wa familia.

 

10 years ago

BBCSwahili

Matajiri kumiliki mali zaidi

Shirika la kimataifa la misaada nchini Uingereza, Oxfam, limeonya kwamba kufikia mwaka ujao, matajiri ambao ni asilimia moja ya idadi ya watu duniani, watamiliki mali zaidi kuliko asilimia 99 iliyosalia ya watu.

 

5 years ago

BBCSwahili

Je, ni hatia kwa mwanamke kumiliki mbwa?

Sahba Barakzai, familia yake na mbwa wao wa miezi saba kwa jina Aseman, hutembea kukwea milima karibu na nyumba yao huko Magharibi mwa Afghanastan

 

10 years ago

Tanzania Daima

Jaji Kaganda: Hatukatazi viongozi kumiliki mali

NI jasiri, mwenye uelewa mpana, mwanamama aliyeshika nyadhifa mbalimbali na uongozi bila kutetereka. Namzungumzia Kamishina wa Maadili ya Viongozi wa Umma, Jaji mstaafu, Salome Kaganda, ambaye mara baada ya kuapishwa...

 

9 years ago

Michuzi

MHE. RIDHIWAN KIKWETE AVUNJA UKIMYA, AZUNGUMZIA MAKONTENA NA MALI ANAZODAIWA KUMILIKI..

 Mbunge wa Jimbo la Chalinze, Ridhiwan J. Kikwete.
Ndugu zangu waandishi wa habari, nimeamua kuwaita ili kuzungumza nanyi kuhusu baadhi ya mambo yaliyokuwa yanasemwa katika vyombo vya habari kuhusu mimi.
Awali ya yote napenda kusema kuwa habari hizo ni UONGO mtupu, ni mambo yanayozushwa na waandishi wa habari hizo kwa nia ya kuchafua jina langu kwa sababu wanazozijua wanaoandika. UKWELI ni kwamba haya ni mambo yenye kufanywa kwa nia na dhamira mbaya dhidi yangu na hata familia yangu.
Hivi...

 

9 years ago

Global Publishers

Nani ana wajibu wa kujishusha, mwanamke au mwanaume?-2

WIKI iliyopita tuliianza mada hii nzuri yenye elimu kuhusu mpango wa Mungu katika ndoa.

Tuliishia pale Mungu alipokuwa akitoa adhabu kwa nyoka. Adhabu hiyo pia aliitoa kwa mwanaume (Adam) na kwa mwanamke (Eva).

ENDELEA SASA…

Mwanamke aliambiwa atazaa kwa uchungu, huo ndiyo uhalisia. Hadi leo mwanamke anaendelea kuzaa kwa uchungu. Jukumu hilo ni la kwake, si la mwanaume. Mwanaume anatekeleza lile la kwake la kutafuta na kula kwa jasho.

Hii ina maana kubwa sana katika maisha yetu. Kweli...

 

10 years ago

Mtanzania

Mahakama: Mansour ana haki ya dhamana

Aliyekuwa Mwakilishi wa Kiembe Samaki, Mansour Yusuf Himid

Aliyekuwa Mwakilishi wa Kiembe Samaki, Mansour Yusuf Himid

Na Is-haka Omar, Zanzibar

MAHAKAMA Kuu ya Zanzibar, imesema haina pingamizi na ombi la dhamana kwa aliyekuwa Mwakilishi wa Kiembesamaki, Mansour Himid Yussuf.

Imesema kutokana na ombi hilo, mahakama imebaini kuwa limezingatia vigezo vyote vya kisheria.

Ombi hilo la dhamana liliamuliwa jana  baada ya mawakili wa upande wa utetezi na Serikali kuvutana kisheria mahakamani hapo.

Baada ya mabishano hayo ya kisheria, anayesikiliza ombi...

 

9 years ago

Raia Tanzania

‘Kila Mtanzania ana haki ya kupata elimu’

ELIMU ndiyo ufunguo wa maisha, binadamu aliyekamilika hapa duniani ili awe kamili lazima awe na elimu ya mazingira yanayomzunguka, ndiyo maana vitabu vya Mungu vyote vinahimiza umuhimu wa elimu.

Unapoitaja elimu kwa muktadha wa wa mwanga katika jamii, unaongeza umuhimu wake kwa kila mwenye fursa ya kuipata bila kujali umri, hali ya kiuchumi na jinzia. Kumekuwepo na tatizo la watu waliopita umri wa kuanza shule ya msingi ambao ni miaka saba, serikali ikabaini hilo tatizo na kuanzisha...

 

10 years ago

BBCSwahili

Blatter ana haki ya kupewa Medali:Putin

Rais wa Urusi Vladimir Putin amesema kiongozi wa FIFA,Sepp Blatter ana haki ya kutunukiwa medali ya uongozi bora wa kuliongoza shirikisho la kandanda duniani.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani