Matajiri wasioweza kueleza chanzo cha utajiri wao mali zao kuchukuliwa
Zimbambwe imesema watu ambao hawawezi kuelezea utajiri wao ulitoka wapi mali zao ziko katika hatari ya kuchukuliwa hata ikiwa mahakama itawaondolea madai ya kuhusika na ufisadi.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-Hw114l5o4GM/Xl4pvrDWeLI/AAAAAAACz8o/sO63b4J-NwcPHDx0hzYaJnTp5vjgwZjdQCLcBGAsYHQ/s72-c/1.jpg)
KUCHUKULIWA HATUA KALI WALIOFUJA MALI ZA MKONGE
![](https://1.bp.blogspot.com/-Hw114l5o4GM/Xl4pvrDWeLI/AAAAAAACz8o/sO63b4J-NwcPHDx0hzYaJnTp5vjgwZjdQCLcBGAsYHQ/s640/1.jpg)
Pia, Waziri Mkuu amesema Serikali itafanya uchunguzi katika mashamba yote ya mkonge ili kubaini yameendelezwa kwa kiasi gani na sehemu ambazo hazijaendelezwa zitachukuliwa na kugawiwa kwa wananchi ili walime mkonge.
Waziri Mkuu ameyasema hayo leo (Jumanne, Machi 3, 2020) wakati akizungumza kwa nyakati tofauti na wananchi wa kata za...
5 years ago
MichuziWALIOFUJA MALI ZA MKONGE KUCHUKULIWA HATUA-MAJALIWA
Pia, Waziri Mkuu amesema Serikali itafanya uchunguzi katika mashamba yote ya mkonge ili kubaini yameendelezwa kwa kiasi gani na sehemu ambazo hazijaendelezwa zitachukuliwa na kugawiwa kwa wananchi ili walime mkonge.
Waziri Mkuu ameyasema hayo leo(Jumanne, Machi 3, 2020) wakati akizungumza kwa nyakati tofauti na wananchi wa kata za Segera...
10 years ago
BBCSwahili19 Jan
Matajiri kumiliki mali zaidi
10 years ago
Vijimambo08 Oct
KWA NINI WAGANGA WANAWEZA KUWASAIDIA WATU KUWA MATAJIRI WAKATI WAO NI MASIKINI?
![](http://www.gumzolajiji.com/wp-content/uploads/2014/10/ndumba.jpg)
Tutajadili kwa nini waganga wanaweza kuwapatia watu wengine dawa au mbinu za kuwa matajiri wakati wao ni masikini. Na pia tutaangalia jinsi ambavyo unaweza kutumia mbinu hizi wanazotumia waganga bila ya wewe kuwa mchawi na ukafikia mafanikio makubwa.
Kila mmoja wetu anaelewa kwamba kuna watu wanakwenda kwa waganga na wanasaidiwa kupata utajiri. Japokuwa utajiri huu...
11 years ago
Bongo Movies17 Jun
Utajiri wa Irene Uwoya waanza kuwa gumzo, watu wahoji amepata wapi mali zote hizo. Mwenyewe afunguka na haya
Inadaiwa kuwa hali ya hewa imechafuka kwa msanii nyota wa filamu za Bongo Irene Uwoya ambapo ameshindwa kutaja vyanzo vya utajiri wake wa Ghafla, Hivi karibuni Uwoya alikaririwa akisema kuwa hawezi kutaja kazi nyingine anayofanya na utajiri aliokuwa nao kwani wapo baadhi ya watu hawapendi kuona mmoja wao akiendelea ...Alisema kuwa pamoja na magari anayomiliki ya kifahari hawezi sema ni njia gani amepata utajiri huo..Nimefanya Filamu kadhaa ambazo zimenipa hela na cha zaidi ni Jina ambalo...
10 years ago
Vijimambo30 Mar
Viongozi ACT sasa kutangaza mali zao.
![](http://www.ippmedia.com/media/picture/large/Zitto--30march2015.jpg)
Akihutubia mamia ya wananchi wakati wa uzinduzi wa chama hicho, Zitto alianza kwa kuweka hadharani mali zake mbele ya mwanasheria wa chama na kudai kwa undani zitawekwa kwenye mtandao ili kila mwananchi ajisomee.
Kabla ya kusaini fomu hiyo, Zitto...
11 years ago
Mwananchi15 Jan
Serikali ilivyouza wananchi na mali zao kwa mwekezaji
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/jEI2iEfKUOiDt5q*nQ5PS4JvllAH3hzebwfebbQS39y0rbRftPOp6qup71KRBj-wkiAyz*LBgLDPdknvvOV9Nlj0KWrmJLsP/AlikoDangote.gif?width=650)
NIGERIA; KISIMA CHA MATAJIRI AFRIKA
10 years ago
GPLMACHINGA, WAUZA MAGAZETI WACHUKULIWA MALI ZAO JIJINI MWANZA