Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Matajiri wasioweza kueleza chanzo cha utajiri wao mali zao kuchukuliwa

Zimbambwe imesema watu ambao hawawezi kuelezea utajiri wao ulitoka wapi mali zao ziko katika hatari ya kuchukuliwa hata ikiwa mahakama itawaondolea madai ya kuhusika na ufisadi.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

5 years ago

CCM Blog

KUCHUKULIWA HATUA KALI WALIOFUJA MALI ZA MKONGE

 WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa amesema Serikali itawachukulia hatua watu wote waliohusika na ubadhilifu wa mali zikiwemo nyumba za Mamlaka ya Mkonge Tanzania.
Pia, Waziri Mkuu amesema Serikali itafanya uchunguzi katika  mashamba yote ya mkonge ili kubaini yameendelezwa kwa kiasi gani na sehemu ambazo hazijaendelezwa zitachukuliwa na kugawiwa kwa wananchi ili walime  mkonge.
Waziri Mkuu ameyasema hayo leo (Jumanne, Machi 3, 2020) wakati akizungumza kwa nyakati tofauti na wananchi wa kata za...

 

5 years ago

Michuzi

WALIOFUJA MALI ZA MKONGE KUCHUKULIWA HATUA-MAJALIWA

WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa amesema Serikali itawachukulia hatua watu wote waliohusika na ubadhilifu wa mali zikiwemo nyumba za Mamlaka ya Mkonge Tanzania.
Pia, Waziri Mkuu amesema Serikali itafanya uchunguzi katika  mashamba yote ya mkonge ili kubaini yameendelezwa kwa kiasi gani na sehemu ambazo hazijaendelezwa zitachukuliwa na kugawiwa kwa wananchi ili walime  mkonge.
Waziri Mkuu ameyasema hayo leo(Jumanne, Machi 3, 2020) wakati akizungumza kwa nyakati tofauti na wananchi wa kata za Segera...

 

10 years ago

BBCSwahili

Matajiri kumiliki mali zaidi

Shirika la kimataifa la misaada nchini Uingereza, Oxfam, limeonya kwamba kufikia mwaka ujao, matajiri ambao ni asilimia moja ya idadi ya watu duniani, watamiliki mali zaidi kuliko asilimia 99 iliyosalia ya watu.

 

10 years ago

Vijimambo

KWA NINI WAGANGA WANAWEZA KUWASAIDIA WATU KUWA MATAJIRI WAKATI WAO NI MASIKINI?

Kuna watu ambao wanapata mafanikio makubwa kwa kutumia uchawi. Ila mafanikio yale hayaletwi na uchawi bali imani ya mtu husika. 
Tutajadili kwa nini waganga wanaweza kuwapatia watu wengine dawa au mbinu za kuwa matajiri wakati wao ni masikini. Na pia tutaangalia jinsi ambavyo unaweza kutumia mbinu hizi wanazotumia waganga bila ya wewe kuwa mchawi na ukafikia mafanikio makubwa.
Kila mmoja wetu anaelewa kwamba kuna watu wanakwenda kwa waganga na wanasaidiwa kupata utajiri. Japokuwa utajiri huu...

 

11 years ago

Bongo Movies

Utajiri wa Irene Uwoya waanza kuwa gumzo, watu wahoji amepata wapi mali zote hizo. Mwenyewe afunguka na haya

Inadaiwa kuwa hali ya hewa imechafuka kwa msanii nyota wa filamu za Bongo Irene Uwoya ambapo ameshindwa kutaja vyanzo vya utajiri wake wa Ghafla, Hivi karibuni Uwoya alikaririwa akisema kuwa hawezi kutaja kazi nyingine anayofanya na utajiri aliokuwa nao kwani wapo baadhi ya watu hawapendi kuona mmoja wao akiendelea ...Alisema kuwa pamoja na magari anayomiliki ya kifahari hawezi sema ni njia gani amepata utajiri huo..Nimefanya Filamu kadhaa ambazo zimenipa hela na cha zaidi ni Jina ambalo...

 

10 years ago

Vijimambo

Viongozi ACT sasa kutangaza mali zao.

Kiongozi Mkuu wa Chama cha ACT Wazalendo, Zitto Kabwe (pichani) na Katibu Mkuu, Samson Mwigamba, wameweka hadharani mali, maslahi na madeni, ambazo zitawekwa wazi kwenye vyombo vya habari, mitandao ya kijamii na tovuti ya chama ili wananchi wasome.

Akihutubia mamia ya wananchi wakati wa uzinduzi wa chama hicho, Zitto alianza kwa kuweka hadharani mali zake mbele ya mwanasheria wa chama na kudai kwa undani zitawekwa kwenye mtandao ili kila mwananchi ajisomee.

Kabla ya kusaini fomu hiyo, Zitto...

 

11 years ago

Mwananchi

Serikali ilivyouza wananchi na mali zao kwa mwekezaji

>Hivi karibuni Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Profesa Anna Tibaijuka alifika katika Kijiji cha Kapunga wilayani Mbarali na kutamka wazi kwamba mgogoro uliodumu karibu miaka 10 umesababishwa na makosa ya  watendaji wa Serikali.

 

10 years ago

GPL

NIGERIA; KISIMA CHA MATAJIRI AFRIKA

Mfanyabiashara Mnigeria, Aliko Dangote. Nyemo chilongani
Unapoizungumzia Nigeria mbele za watu, wengine wanajua kwamba unaizungumzia moja ya nchi iliyojaza matapeli wengi wa mitandaoni huku wengine wakijua unaizungumzia nchi iliyokuwa na wasomi wengi barani Afrika, ila kwa wengine, watajua kwamba unaizungumzia nchi yenye matajiri wengi katika bara hili. ‘P Square’. Nchi hii iliyopo Afrika Magharibi ndiyo nchi...

 

10 years ago

GPL

MACHINGA, WAUZA MAGAZETI WACHUKULIWA MALI ZAO JIJINI MWANZA

Polisi na askari wa Jiji la Mwanza wakiwa wamekusanya mali za machinga na kuzipakia kwenye gari. Baadhi ya machinga waliokamatwa wakiwa kwenye gari la polisi. Magari ya polisi yakiwa na mali za machinga.…

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani