Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


MACHINGA, WAUZA MAGAZETI WACHUKULIWA MALI ZAO JIJINI MWANZA

Polisi na askari wa Jiji la Mwanza wakiwa wamekusanya mali za machinga na kuzipakia kwenye gari. Baadhi ya machinga waliokamatwa wakiwa kwenye gari la polisi. Magari ya polisi yakiwa na mali za machinga.…

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

GPL

GLOBAL ILIVYOWAANDALIA SHEREHE WAUZA MAGAZETI MWANZA

Mwakilishi wa Global Publishers Masumbuko Ali, akizungumza na wauza magazeti wa Jiji la Mwanza. Muuza magazeti akisoma gazeti la Risasi.…

 

11 years ago

GPL

CHAMPIONI YAWANG'ARISHA WAUZA MAGAZETI MWANZA

Wakala wa magazeti ya Global Publishers jijini Mwanza, Khamis Kikasi (katikati mwenye kofia) akitoa tisheti za Championi kwa baadhi ya wauzaji wa magazeti jijini humo. Baadhi ya wauzaji wa magazeti jijini Mwanza wakiwa katika pozi baada ya kukabidhiwa tisheti kutoka gazeti la…

 

9 years ago

Michuzi

WAJASIRIAMALI KUONYESHA BIDHAA ZAO JIJINI MWANZA, SEPTEMBA 26, 2015.


Baadhi ya Wajasiriamali wakiwa katika maonyesho ya bidhaa mbalimbali kwenye kongamano la wajasiriamali lililofanyika Hoteli ya Mbezi Garden mapema mwaka huu. Kongamano la namna hiyo linatarajiwa kufanyika Septemba 26, 2015 jijini Mwanza  Ukumbi wa  Benki Kuu (BoT), Capripoint.

Na Dotto Mwaibale
WAJASIRIAMALI  zaidi ya 250 wanatarajia kuonyesha bidhaa zao mbalimbali katika kongamano la mafunzo ya ujasiriamali litakalofanyika jijini Mwanza.
Akizungumza na Dar es Salaam leo, Mratibu wa kongamano...

 

11 years ago

GPL

GLOBAL PUBLISHERS LTD YAMWAGA MEZA KWA WAUZAJI WA MAGAZETI YAKE JIJINI MWANZA

Meza za wauzaji wa Magazeti ya Kampuni ya Global Publishers Ltd jijini Mwanza. KAMPUNI ya Global Publishers & General Enterprises Ltd wachapishaji wa Magazeti ya Championi, Uwazi, Amani, Risasi, Ijumaa na Ijumaa Wikienda wametoa meza kibao kwa wauzaji wa magazeti yao mkoani Mwanza ikiwa ni njia mojawapo ya kuwaboreshea mazingira ya kufanyia… ...

 

10 years ago

Mtanzania

Wauza magazeti walalamika kukamatwa na mgambo

Benjamin Masese na Sheila Katikula, Mwanza

SAKATA la Mkuu wa Mkoa wa Mkoa wa Mwanza, Magesa Mulongo kuliweka Jiji la Mwanza katika hali ya usafi, limeingia katika sura mpya, baada ya askari mgambo wa jiji hilo kuanza kuwakamata wauza magazeti kwa kile walichodai wameagizwa.
Wauza magazeti wamekuwa wakikimbia na magazeti yao pale wanapowaona askari mgambo hao kitendo ambacho wamekilalamikia.
Tangu Jumapili iliyopita, wauza magazeti jijini hapa wamekuwa katika hali ya sitofahamu kutokana na...

 

11 years ago

Mwananchi

Wauza magazeti walalamikia halmashauri ya jiji

Wauza magazeti wa jijini Dar es Salam wamelalamikia operesheni ya kusafisha jiji iliyotekelezwa na askari wa halmashauri ya jiji, wakieleza kwamba haikuwatendea haki kwa kuharibu mali zikiwamo meza na magazeti ambazo zilisombwa na askari hao waliosindikizwa na askari wa Kikosi cha Kutuliza Ghasia (FFU).

 

11 years ago

Tanzania Daima

Shigongo awapa somo wauza magazeti

KAMPUNI ya Global Publishers inayochapisha magazeti mbalimbali nchini imewashauri wauza magazeti jijini Mwanza na kwingineko kufanya kazi hiyo kwa malengo ya kijasiriamali ili kujipatia maendeleo. Ushauri huo ulitolewa juzi jijini...

 

10 years ago

GPL

WAUZA MAGAZETI MORO WAKABIDHIWA MIAMVULI YA CHAMPIONI

Nassib Nassoro ambaye ni wakala wa Global Mkoani Moro akimkabidhi mwamvuli wa Championi muuza magazeti wa eneo la Ofisi za Manispaa ya Morogoro, Bw. Pacific Mchami Mrema [Kulia] Muuza magazeti Bw. Mrema na wakala wa Global Mkoani Moro wakisimika mwamvuli sehemu anayouzia magazeti eneo la Ofisi…

 

10 years ago

GPL

CHAMPIONI YATOA ZAWADI TENA KWA WAUZA MAGAZETI

Muuzaji akikabidhiwa mwamvuli baada ya kupewa meza ya kuuzia magazeti eneo la Feri, Dar. Muuzaji huyo akisimika mwamvuli. Kulia ni Afisa Usambazaji wa Global Publishers, Yohana Mkanda.…

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani