WALIOFUJA MALI ZA MKONGE KUCHUKULIWA HATUA-MAJALIWA
WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa amesema Serikali itawachukulia hatua watu wote waliohusika na ubadhilifu wa mali zikiwemo nyumba za Mamlaka ya Mkonge Tanzania.
Pia, Waziri Mkuu amesema Serikali itafanya uchunguzi katika mashamba yote ya mkonge ili kubaini yameendelezwa kwa kiasi gani na sehemu ambazo hazijaendelezwa zitachukuliwa na kugawiwa kwa wananchi ili walime mkonge.
Waziri Mkuu ameyasema hayo leo(Jumanne, Machi 3, 2020) wakati akizungumza kwa nyakati tofauti na wananchi wa kata za Segera...
Michuzi
Habari Zinazoendana
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-Hw114l5o4GM/Xl4pvrDWeLI/AAAAAAACz8o/sO63b4J-NwcPHDx0hzYaJnTp5vjgwZjdQCLcBGAsYHQ/s72-c/1.jpg)
KUCHUKULIWA HATUA KALI WALIOFUJA MALI ZA MKONGE
![](https://1.bp.blogspot.com/-Hw114l5o4GM/Xl4pvrDWeLI/AAAAAAACz8o/sO63b4J-NwcPHDx0hzYaJnTp5vjgwZjdQCLcBGAsYHQ/s640/1.jpg)
Pia, Waziri Mkuu amesema Serikali itafanya uchunguzi katika mashamba yote ya mkonge ili kubaini yameendelezwa kwa kiasi gani na sehemu ambazo hazijaendelezwa zitachukuliwa na kugawiwa kwa wananchi ili walime mkonge.
Waziri Mkuu ameyasema hayo leo (Jumanne, Machi 3, 2020) wakati akizungumza kwa nyakati tofauti na wananchi wa kata za...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-GRAfkYuCHW4/XtVI0h_TgpI/AAAAAAALsQ4/3owZndX7p9wnA3hsalI49wdMovZUuKzgwCLcBGAsYHQ/s72-c/PMO_1737-768x503.jpg)
MALI ZOTE ZA WAKULIMA WA MKONGE KURUDISHWA-WAZIRI MKUU KASSIM MAJALIWA
![](https://1.bp.blogspot.com/-GRAfkYuCHW4/XtVI0h_TgpI/AAAAAAALsQ4/3owZndX7p9wnA3hsalI49wdMovZUuKzgwCLcBGAsYHQ/s640/PMO_1737-768x503.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/06/PMO_1801AAA-1024x631.jpg)
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akifafanuliwa jambo na Naibu Waziri...
10 years ago
BBCSwahili15 Jan
Magaidi kuchukuliwa hatua Ufaransa
10 years ago
BBCSwahili28 Aug
Wanamgambo kuchukuliwa hatua Libya
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-rmXYUUaLByI/XmK6Osgf1GI/AAAAAAALhp4/PcsnuZsbCCUtykIntqWcnlyMvR4sZVRUACLcBGAsYHQ/s72-c/20ea8236-4b99-4398-b111-c7c37781d7e7.jpg)
MAJALIWA: MKURUGENZI WA BODI YA MKONGE ARUDISHWE ALIKOTOKA
![](https://1.bp.blogspot.com/-rmXYUUaLByI/XmK6Osgf1GI/AAAAAAALhp4/PcsnuZsbCCUtykIntqWcnlyMvR4sZVRUACLcBGAsYHQ/s640/20ea8236-4b99-4398-b111-c7c37781d7e7.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/03/2acf0bde-d15e-4867-92de-4581870ca5bf.jpg)
10 years ago
StarTV31 Dec
Hatua zaidi zatakiwa kuchukuliwa wahusika wa ESCROW.
Na Blaya Moses,
Dodoma.
Wakati baadhi ya wananchi na taasisi mbalimbali nchini zikiendelea kushinikiza uwajibishwaji wa baadhi ya viongozi waliohusika na wizi kwenye akaunti ya Tegeta Escrow, umoja wa shirikisho la chuo kikuu cha Dodoma umeshauri hatua zaidi zichukuliwe dhidi ya wahusika wote kwani kuvuliwa nyadhifa zao pekee haitoshi.
Aidha shirikisho hilo limempongeza Rais Jakaya Kikwete kwa kuanza kuwawajibisha baadhi yao likimshauri kuendelea pia kuwashughulikia wale wote...
5 years ago
CCM BlogMAJALIWA AZUNGUMZA NA WAJUMBE WA KAMATI MAALUM YA KUIMARISHA ZAO LA MKONGE.
5 years ago
MichuziMAJALIWA AZUNGUMZA NA WAJUMBE KAMATI MAALUM YA KUIMARISHA ZAO LA MKONGE
9 years ago
StarTV24 Nov
Kufutwa Uchaguzi Zanzibar Waliohusika watakiwa kuchukuliwa hatua
Shirikisho la vyuo vikuu Zanzibar limeomba kuchukuliwa hatua za kisheria dhidi ya mtu yeyote aliyehusika na kusababisha kufutwa kwa uchaguzi mkuu wa Zanzibar bila kujali cheo ama wadhifa wake.
Akisoma taarifa ya wasomi hao wanaounga mkono ccm mbele ya wanahabari visiwani Zanzibar Makamu mwenyekiti wa shirikisho la vyuo vya elimu ya juu wanaunga mkono CCM Zanzibar Hamid Saleh Muhina anasema maeneo mengi ya hujuma katika uchaguzi huo yamebainika ila tuma na baadhi ya makamishna kukaa kimya...