Matajiri hulala muda mfupi kuliko masikini?
Wewe ni mtu wa kulala sana? Saa moja usiku upo kitandani, unaamka saa nne asubuhi. Inawezekana ukaendelea kulalamika na kuwanyooshea wengine kidole kwamba ni ‘wachawi’ wanaozuia mafanikio yako, huku wao wakivuna mafanikio.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Tanzania Daima02 Aug
Wafugaji: Tunalala matajiri, tunaamka masikini
“UPO usemi usemao waweza kulala masikini ukaamkatajiri, lakini sisi wafugaji tulilala matajiri na tukaamka masikini,”. Kauli hiyo inatolewa na wafugaji wa kijiji cha Mapili, Tarafa ya Inyonga, Wilaya ya Mlele...
11 years ago
Uhuru Newspaper![](http://1.bp.blogspot.com/-aLVGSiQTWZY/U8_Q00DKr6I/AAAAAAAABbA/yDo8EjruWjo/s72-c/bi.jpg)
Sumaye: Kuna tishio la matajiri na masikini kutoelewana
NA MWANDISHI WETU
WAZIRI Mkuu mstaafu Frederick Sumaye, amesema kuna tishio la kutokea kutoelewana baina ya matajiri na masikini nchini.
Amesema hali hiyo inaweza kusababisha vurugu nchini kama hatua hazitachukuliwa mapema ili kunusuru hali hiyo.
![](http://1.bp.blogspot.com/-aLVGSiQTWZY/U8_Q00DKr6I/AAAAAAAABbA/yDo8EjruWjo/s1600/bi.jpg)
11 years ago
Mwananchi15 Jun
Cye:Paka mfupi kuliko wote afariki akiwa na miaka 24
9 years ago
Habarileo09 Oct
'Tatizo la umeme ni la muda mfupi'
SERIKALI imesema tatizo la kukatika kwa umeme ni la muda mfupi na kwamba linafanyiwa kazi kupata ufumbuzi wa kudumu.
10 years ago
Habarileo24 Dec
DC: Muda wa kujenga maabara ulikuwa mfupi
MKUU wa Wilaya ya Morogoro, Saidi Amanzi amesema muda waliokuwa wamepewa awali na Rais Jakaya Kikwete wa kuhakikisha wanajenga maabara katika shule zote za sekondari ulikuwa hautoshi.
11 years ago
BBCSwahili20 Jul
Mapigano yasita muda mfupi tu Gaza
10 years ago
Vijimambo08 Oct
KWA NINI WAGANGA WANAWEZA KUWASAIDIA WATU KUWA MATAJIRI WAKATI WAO NI MASIKINI?
![](http://www.gumzolajiji.com/wp-content/uploads/2014/10/ndumba.jpg)
Tutajadili kwa nini waganga wanaweza kuwapatia watu wengine dawa au mbinu za kuwa matajiri wakati wao ni masikini. Na pia tutaangalia jinsi ambavyo unaweza kutumia mbinu hizi wanazotumia waganga bila ya wewe kuwa mchawi na ukafikia mafanikio makubwa.
Kila mmoja wetu anaelewa kwamba kuna watu wanakwenda kwa waganga na wanasaidiwa kupata utajiri. Japokuwa utajiri huu...
11 years ago
Tanzania Daima29 Jun
Heri masikini jasiri kuliko tajiri mwoga
USWAHIBA walionao watendaji wa serikali na wafanyabiashara wakubwa (matajiri) hapa nchini kinaweza kuwa kigezo kikubwa cha kudumaza maendeleo ya nchi na kukosa uwiano wa mapato kati ya walionacho na wale wasiokuwa...
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-I1BNKO4bZtA/U8E-hXByXhI/AAAAAAAF1iA/o6-deHnn5go/s72-c/1.jpg)
Wahitimu wa mafunzo ya muda mfupi Arusha Techinical College
![](http://4.bp.blogspot.com/-I1BNKO4bZtA/U8E-hXByXhI/AAAAAAAF1iA/o6-deHnn5go/s1600/1.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-ZElmn5EWYk4/U8E-aDTL_1I/AAAAAAAF1h0/S3QMVp3-pq8/s1600/2.jpg)