Mapigano yasita muda mfupi tu Gaza
Shambulio la Israil Gaza lauwa wengi na makubaliano ya kusitisha mapigano ili kuopoa maiti, hayadumu hata saa mbili zilizopangwa
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
BBCSwahili15 Feb
Mapigano yasita kwa jumla Ukraine
Nchi za Ulaya zasema hali ilivyo sasa katika mzozo wa mashariki mwa Ukraine yaridhisha
10 years ago
BBCSwahili27 Aug
Wakubaliana kusitisha mapigano Gaza
Israel na Wapalestina wakubaliana kusitisha mapigano Gaza chini ya usuluhishi wa Misri
9 years ago
Habarileo09 Oct
'Tatizo la umeme ni la muda mfupi'
SERIKALI imesema tatizo la kukatika kwa umeme ni la muda mfupi na kwamba linafanyiwa kazi kupata ufumbuzi wa kudumu.
11 years ago
BBCSwahili10 Aug
Mapigano yasitishwa tena Ukanda wa Gaza
Makubaliano ya kusitisha mapigano Gaza kwa siku tatu yafikiwa mjini Cairo
10 years ago
Habarileo24 Dec
DC: Muda wa kujenga maabara ulikuwa mfupi
MKUU wa Wilaya ya Morogoro, Saidi Amanzi amesema muda waliokuwa wamepewa awali na Rais Jakaya Kikwete wa kuhakikisha wanajenga maabara katika shule zote za sekondari ulikuwa hautoshi.
10 years ago
Mwananchi16 Jun
Matajiri hulala muda mfupi kuliko masikini?
Wewe ni mtu wa kulala sana? Saa moja usiku upo kitandani, unaamka saa nne asubuhi. Inawezekana ukaendelea kulalamika na kuwanyooshea wengine kidole kwamba ni ‘wachawi’ wanaozuia mafanikio yako, huku wao wakivuna mafanikio.
10 years ago
Mwananchi30 Jun
MAONI : Tunasubiri mkakati wa muda mfupi kuiokoa Shilingi
Thamani ya Shilingi inazidi kuporomoka kadri siku zinavyokwenda na kusababisha bei za bidhaa mbalimbali kuendelea kupaa bila ya kuwapo na maelezo yoyote ya mkakati wa kudhibiti hali hiyo.
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-I1BNKO4bZtA/U8E-hXByXhI/AAAAAAAF1iA/o6-deHnn5go/s72-c/1.jpg)
Wahitimu wa mafunzo ya muda mfupi Arusha Techinical College
![](http://4.bp.blogspot.com/-I1BNKO4bZtA/U8E-hXByXhI/AAAAAAAF1iA/o6-deHnn5go/s1600/1.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-ZElmn5EWYk4/U8E-aDTL_1I/AAAAAAAF1h0/S3QMVp3-pq8/s1600/2.jpg)
10 years ago
GPLHUKUMU YA YONA, MRAMBA NA MGONJA KUSIKILIZWA MUDA MFUPI UJAO
Gray Mgonja (mbele) akiwa na Basil Mramba (wa pili kushoto) wakiwa eneo la mahakama. HUKUMU ya aliyekuwa Waziri wa Fedha, Basil Mramba, aliyekuwa Katibu Mkuu wa Wizara hiyo, Gray Mgonja na aliyekuwa Waziri wa Nishati na Madini, Daniel Yona, itaanza kusikilizwa muda mfupi ujao katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu jijini Dar es Salaam. Watuhumiwa wote watatu tayari wamewasili mahakamani wakisubiri hukumu yao kuanza kusomwa...
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania