Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mapigano yasita kwa jumla Ukraine

Nchi za Ulaya zasema hali ilivyo sasa katika mzozo wa mashariki mwa Ukraine yaridhisha

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

BBCSwahili

Mapigano yasita muda mfupi tu Gaza

Shambulio la Israil Gaza lauwa wengi na makubaliano ya kusitisha mapigano ili kuopoa maiti, hayadumu hata saa mbili zilizopangwa

 

10 years ago

BBCSwahili

Kwa nini mapigano hayakomi Ukraine?

Ufaransa,Ujerumani,Urusi na Ukraine wakemea kutotekeleza makubaliano ya kusitisha mapigano

 

10 years ago

BBCSwahili

kukoma kwa mapigano Ukraine bado Ndoto

Viongozi wa Ujerumani, Ukraine na Ufaransa wamefanya mazungumzo na kuweka mikakati ya kumaliza mapigano Mashariki mwa Ukraine

 

10 years ago

BBCSwahili

Mapigano kusitishwa Jumamosi Ukraine?

Viongozi wa mataifa ya Ulaya wamekubaliana kuiwekea vikwazo zaidi Urusi iwapo itashindwa kusimamia makubaliano mapya.

 

10 years ago

BBCSwahili

Mapigano yatakoma Mashariki mwa Ukraine?

Ujerumani,Urusi na Ukraine zimejadili kwa simu zikiwa ni jitihada za kuhakikisha makubaliano ya kukomesha mapigano yanafanikiwa

 

10 years ago

BBCSwahili

Mapigano yaendelea Mashariki mwa Ukraine

Mapigano makali yameendelea mashariki mwa Ukraine kufuatia majeshi ya serikali kukabiliana na kundi la Waasi.

 

10 years ago

Michuzi

MFUKO WA PENSHENI WA PPF WAIBUKA MSHINDI WA JUMLA KWA MAHESABU BORA NCHINI KWA ZAIDI YA MAKAMPUNI


 Naibu Waziri wa Fedha, Adam Malima (watatu kushoto mstari wa mbele) akimkabidhi tuzo ya Mahesabu Safi kwa Mkurugenzi wa Ukaguzi wa Ndani  Mfuko wa Pensheni wa PPF, Bw. Hosea Kashimba baada ya PPF kuwa mshindi wa jumla katika sherehe zilizoandaliwa na Bodi ya Taifa ya ukaguzi wa Hesabu nchini (NBAA) zilizofanyika jijini Arusha. Wengine pichani  ni Mwenyekiti wa bodi ya NBAA, Profesa Isaya Jairo (kushoto), Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Udhibuiti  Mifuko ya Jamii, Irene Isaka (wapili kushoto),...

 

10 years ago

Dewji Blog

Acacia washindi wa jumla tuzo ya Rais kwa mwaka 2014

Makamu wa Rais, Dkt. Mohammed Gharib Bilal (wapili kulia), akimkabidhi tuzo, Makamu wa Rais wa kampuni ya Acacia, (Anayeshughulikia kampuni), Deo Mwanyika, baada ya mgodi wa dhahabu wa North Mara unaomilikiwa na kampuni hiyo, kuibuka mshindi wa jumla wa mwaka 2014 wa tuzo ya Rais ya makampuni ya uchimbaji madini, yanavyotekeleza wajibu wa kampuni katika kusaidia jamii  (CSRE). Hafla ya kutoa tuzo hizo ilikwenda sambamba na uzinduzi wa muongozo mpya wa makampuni hayo katika kutekeleza CSRE....

 

10 years ago

Michuzi

VODACOM YAANZISHA HUDUMA MAALUM KWA MAWAKALA WA JUMLA NA REJAREJA

Mkuu wa Idara ya Masoko na Mawasiliano wa Vodacom Tanzania Kelvin Twissa (katikati) akiongea na waandishi wa habari wakati akizindua huduma ya LIPA KWA M PESA inayowawezesha wasambazaji wa huduma kupokea malipo ya mauzo kwa njia ya M-pesa kutoka kwa wauzaji wajumla. Kampuni ya Chai Bora na Kampuni ya Bia ya Serengeti kupitia wasamabzaji wake kampuni ya Mahawi zimkuwa miongoni mwa wasambazaji wa awali kutumia huduma hiyo. Wengine pichani ni Mwakilishi wa Mahawi Enterprises Joseph Mahawi na...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani