Acacia washindi wa jumla tuzo ya Rais kwa mwaka 2014
Makamu wa Rais, Dkt. Mohammed Gharib Bilal (wapili kulia), akimkabidhi tuzo, Makamu wa Rais wa kampuni ya Acacia, (Anayeshughulikia kampuni), Deo Mwanyika, baada ya mgodi wa dhahabu wa North Mara unaomilikiwa na kampuni hiyo, kuibuka mshindi wa jumla wa mwaka 2014 wa tuzo ya Rais ya makampuni ya uchimbaji madini, yanavyotekeleza wajibu wa kampuni katika kusaidia jamii (CSRE). Hafla ya kutoa tuzo hizo ilikwenda sambamba na uzinduzi wa muongozo mpya wa makampuni hayo katika kutekeleza CSRE....
Dewji Blog
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-j-iHGcEDI6c/VTdeFgwRjtI/AAAAAAAASpQ/7SpH2BpVw8M/s72-c/b1.jpg)
ACACIA YATWAA TUZO YA JUMLA YA RAIS YA KUSAIDIA JAMII MWAKA 2014
![](http://3.bp.blogspot.com/-j-iHGcEDI6c/VTdeFgwRjtI/AAAAAAAASpQ/7SpH2BpVw8M/s640/b1.jpg)
11 years ago
Dewji Blog30 Jun
TBL washindi wa jumla tuzo za RECP Afrika Mashariki
![01](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/06/0112.jpg)
Waziri wa Nchi wa Mazingira wa Uganda, Flavia Namugere (katikati) akiwakabidhi tuzo ya ushindi wa jumla ya RECP Afrika Mashariki ya usimamizi bora wa matumizi ya maji na nishati kwa Mhandisi wa Huduma za Kiufundi wa Kiwanda cha Mwanza cha Kampuni ya Bia Tanzania (TBL), Sunday Kidolezi (kushoto), na Mhandisi wa Mitambo wa kiwanda hicho, Erick Ernest ambayo kampuni hiyo ilituzwa katika hafla iliyofanyika hivi karibuni jijini Entebe, Uganda.
Tanzania Deputy Permanent Secretary for...
10 years ago
Dewji Blog11 Dec
Wafahamu washindi wa Tuzo za Swahili Fashion kwa mwaka huu
Mkurugenzi Msaidizi wa Utamaduni kutoka Wizara ya Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo Leah Kihimbi akimkabidhi Tuzo mshindi wa kipengele cha Mbunifu Bora wa mwaka wa Swahii Fashio Weeek mwaka huu Kiki Zimba.
Na Mwandishi Wetu
Mbunifu wa mavazi Kiki Zimba ametunukiwa tuzo ya kuwa mbunifu bora wa mavazi kwa mwaka huu iliyotolewa katika onesho la mavazi la Swahili Fashion 2014.
Pia Mwanamitindo wa kimataifa mtanzania aishie Marekani Millen Magese alishinda tuzo ya mtu mwenye mvuto zaidi...
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-Cr6RjyM0NB8/VZJQ3tHnc3I/AAAAAAAARp0/x2PH5GeV1XA/s72-c/E86A2087%2B%25281280x853%2529.jpg)
WASHINDI WA TUZO ZA TANAPA 2014 WAKABIDHIWA TUZO JIJINI MWANZA
![](http://2.bp.blogspot.com/-Cr6RjyM0NB8/VZJQ3tHnc3I/AAAAAAAARp0/x2PH5GeV1XA/s640/E86A2087%2B%25281280x853%2529.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-QWiWnFlzsaU/VZJR9y7SILI/AAAAAAAARsk/38DNBqc69RI/s640/E86A2231%2B%25281280x853%2529.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-rjXPtPxvzJs/VZJRyZwW0pI/AAAAAAAARsE/ohvodX59rIM/s640/E86A2208%2B%25281280x853%2529.jpg)
10 years ago
Dewji Blog30 Jun
Washindi wa tuzo za TANAPA 2014 wakabidhiwa tuzo Jjjini Mwanza
![](http://2.bp.blogspot.com/-Cr6RjyM0NB8/VZJQ3tHnc3I/AAAAAAAARp0/x2PH5GeV1XA/s640/E86A2087%2B%25281280x853%2529.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-Pge2fJ0W0pE/VZJQrdqzP_I/AAAAAAAARpE/a6qAcNozTEQ/s640/E86A2066%2B%25281280x853%2529.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-IElWK-utqhA/VZJQ4o2us3I/AAAAAAAARps/73wuhElI80U/s640/E86A2081%2B%25281280x853%2529.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-QWiWnFlzsaU/VZJR9y7SILI/AAAAAAAARsk/38DNBqc69RI/s640/E86A2231%2B%25281280x853%2529.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-4J8JSHOr89o/VZJQvvfBUXI/AAAAAAAARpU/kmztEwCPbI8/s640/E86A2069%2B%25281280x853%2529.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-pNR3n7udlhk/VZJQrbz4FiI/AAAAAAAARpA/_sGDM7DaKP4/s640/E86A2068%2B%25281280x853%2529.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-ui6VPrRZkx8/VZJRDyGzJGI/AAAAAAAARqQ/IUQPClk93Bc/s640/E86A2112%2B%25281280x853%2529.jpg)
10 years ago
Bongo510 Nov
Washindi wa Tuzo za MTV EMA 2014 zilizofanyika Jumapili Nov.9
11 years ago
GPL![](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/04/DSC_0716.jpg)
MeTL YASHINDA TUZO 3 ZA RAIS ZA WATENGENEZAJI BIDHAA KWA MWAKA 2013
10 years ago
MichuziWASHINDI WA MASHINDANO YA DR MWAKA SPORTS XTRA NDONDO CUP 2014 WAKABIDHIWA ZAWADI ZAO.