Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Wafahamu washindi wa Tuzo za Swahili Fashion kwa mwaka huu

kiki msuya

Mkurugenzi Msaidizi wa Utamaduni kutoka Wizara ya Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo Leah Kihimbi akimkabidhi Tuzo mshindi wa kipengele cha Mbunifu Bora wa mwaka wa Swahii Fashio Weeek mwaka huu Kiki Zimba.

Na Mwandishi Wetu

Mbunifu wa mavazi Kiki Zimba ametunukiwa tuzo ya kuwa mbunifu bora wa mavazi kwa mwaka huu iliyotolewa katika onesho la mavazi la Swahili Fashion 2014.

Pia Mwanamitindo wa kimataifa mtanzania aishie Marekani Millen Magese alishinda tuzo ya mtu mwenye mvuto zaidi...

Dewji Blog

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Dewji Blog

Acacia washindi wa jumla tuzo ya Rais kwa mwaka 2014

Makamu wa Rais, Dkt. Mohammed Gharib Bilal (wapili kulia), akimkabidhi tuzo, Makamu wa Rais wa kampuni ya Acacia, (Anayeshughulikia kampuni), Deo Mwanyika, baada ya mgodi wa dhahabu wa North Mara unaomilikiwa na kampuni hiyo, kuibuka mshindi wa jumla wa mwaka 2014 wa tuzo ya Rais ya makampuni ya uchimbaji madini, yanavyotekeleza wajibu wa kampuni katika kusaidia jamii  (CSRE). Hafla ya kutoa tuzo hizo ilikwenda sambamba na uzinduzi wa muongozo mpya wa makampuni hayo katika kutekeleza CSRE....

 

10 years ago

Michuzi

TUZO ZA TASWA KUFANYIKA DESEMBA 12 MWAKA HUU

TUZO za Wanamichezo Bora wa Tanzania zinazotolewa na Chama cha Waandishi wa Habari za Michezo Tanzania (TASWA) zinatarajiwa kufanyika Desemba 12 mwaka huu, huku Kampuni ya Said Salim Bakhresa (SSB) Group Limited ikijitokeza kuwa mdhamini mshiriki wa tuzo hizo kwa kutoa Sh. Milioni 10. Akizungumza na waandishi wa habari katika mgahawa wa City Sports Lounge, Dar es Salaam katika hafla ya kutangaza udhamini huo jana, Meneja Mkuu wa SSB Limited, Said Muhammad Said alisema wameamua kudhamini tuzo...

 

9 years ago

BBCSwahili

Je, ungependa nani atunukiwe tuzo ya Nobel mwaka huu?

Mshindi wa tuzo ya amani ya Nobel mwaka huu anatarajiwa kutajwa siku ya Ijumaa asubuhi.

 

10 years ago

CloudsFM

H.BABA: MWAKA HUU TUZO ZANGU ZA KIFAMILIA NIMEONGEZA CATEGORY,ZIPO ZAIDI YA 20.

Mwaka 2013 ndiyo mwaka ambao msanii wa Bongo Fleva,H baba aliamua kuanzisha tuzo zake za kifamilia ambazo alizitoa kwa ajili ya familia yake,ambapo ilikuwa yeye pamoja na Mke wake Flora Mvungi.
Tuzo hizo walizipa jina la Tuzo za Familia,ambapo Flora Mvungi alipata tuzo za Msanii Bora wa filamu kwa mwaka 2014 na H baba akajipa tuzo ya Mtumbuizaji Bora wa mwaka 2014.
Baadhi ya category hizo ni mtumbuizaji bora wa mwaka,msanii bora wa mwaka.

 

10 years ago

Vijimambo

SWAHILI FASHION WEEK 2014





Swahili fashion week mwaka huu itakusanya wabunifu 24 kutoka ndani na nje ya Tanzania watakaoonesha mitindo na ubunifu wao wenye kuendana na wakati utakaoshika soko la Afrika mashariki.
" Swahili Fashion week mwaka huu ina lengo la kuifikia jamii zaidi na kuendeleza vipaji katika tasnia ya mitindo na ubunifu wa mavazi. Lengo ni kuendeleza vipaji vya wabunifu wa ndani ili waweze kujulikana kimataifa zaidi". Amesema Washington Benbella meneja mradi wa Swahili fashion week.
Ikiwa ni mwaka wa 7...

 

9 years ago

BBCSwahili

Maonyesho ya Swahili Fashion Week

Makala ya nane ya maonyesho ya mitindo ya mavazi ya Swahili Fashion Week yaliandaliwa wiki hii jijini Dar es Salaam, washiriki wakionyesha mitindo 'iliyotengenezewa Afrika'.

 

9 years ago

TheCitizen

How Swahili Fashion Week lived up to its billing

The 2015 Swahili Fashion Week (SFW) came to a pulsating close this past weekend. The 3 day event saw some of Africa’s biggest designers converge in Dar es Salaam to witness and take part in what has become East and Central Africa’s biggest fashion spectacle. Designers from South Africa, Nigeria, Rwanda, Kenya, Ethiopia, USA and hosts, Tanzania all took part in the event which was marked with sheer fashion brilliance as the runway was lit ablaze with spectacular designs.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani