Wafahamu washindi wa Tuzo za Swahili Fashion kwa mwaka huu
Mkurugenzi Msaidizi wa Utamaduni kutoka Wizara ya Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo Leah Kihimbi akimkabidhi Tuzo mshindi wa kipengele cha Mbunifu Bora wa mwaka wa Swahii Fashio Weeek mwaka huu Kiki Zimba.
Na Mwandishi Wetu
Mbunifu wa mavazi Kiki Zimba ametunukiwa tuzo ya kuwa mbunifu bora wa mavazi kwa mwaka huu iliyotolewa katika onesho la mavazi la Swahili Fashion 2014.
Pia Mwanamitindo wa kimataifa mtanzania aishie Marekani Millen Magese alishinda tuzo ya mtu mwenye mvuto zaidi...
Dewji Blog
Habari Zinazoendana
10 years ago
Dewji Blog22 Apr
Acacia washindi wa jumla tuzo ya Rais kwa mwaka 2014
![](http://3.bp.blogspot.com/-j-iHGcEDI6c/VTdeFgwRjtI/AAAAAAAASpQ/7SpH2BpVw8M/s1600/b1.jpg)
10 years ago
Michuzi25 Sep
TUZO ZA TASWA KUFANYIKA DESEMBA 12 MWAKA HUU
9 years ago
BBCSwahili07 Oct
Je, ungependa nani atunukiwe tuzo ya Nobel mwaka huu?
10 years ago
CloudsFM19 Jan
H.BABA: MWAKA HUU TUZO ZANGU ZA KIFAMILIA NIMEONGEZA CATEGORY,ZIPO ZAIDI YA 20.
Mwaka 2013 ndiyo mwaka ambao msanii wa Bongo Fleva,H baba aliamua kuanzisha tuzo zake za kifamilia ambazo alizitoa kwa ajili ya familia yake,ambapo ilikuwa yeye pamoja na Mke wake Flora Mvungi.
Tuzo hizo walizipa jina la Tuzo za Familia,ambapo Flora Mvungi alipata tuzo za Msanii Bora wa filamu kwa mwaka 2014 na H baba akajipa tuzo ya Mtumbuizaji Bora wa mwaka 2014.
Baadhi ya category hizo ni mtumbuizaji bora wa mwaka,msanii bora wa mwaka.
11 years ago
Michuzi10 Mar
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-AGTi5n_RU6k/VFuqjMPFP4I/AAAAAAAARoQ/b1PYub370EM/s72-c/swahili%2Bfashion%2Bweek%2B2014.jpg)
SWAHILI FASHION WEEK 2014
![](http://4.bp.blogspot.com/-AGTi5n_RU6k/VFuqjMPFP4I/AAAAAAAARoQ/b1PYub370EM/s1600/swahili%2Bfashion%2Bweek%2B2014.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-bAfbSH0aJ-A/VFuqmHBeo1I/AAAAAAAARoY/HxMCq-5S2is/s1600/swahili%2Bfashion.jpg)
Swahili fashion week mwaka huu itakusanya wabunifu 24 kutoka ndani na nje ya Tanzania watakaoonesha mitindo na ubunifu wao wenye kuendana na wakati utakaoshika soko la Afrika mashariki.
" Swahili Fashion week mwaka huu ina lengo la kuifikia jamii zaidi na kuendeleza vipaji katika tasnia ya mitindo na ubunifu wa mavazi. Lengo ni kuendeleza vipaji vya wabunifu wa ndani ili waweze kujulikana kimataifa zaidi". Amesema Washington Benbella meneja mradi wa Swahili fashion week.
Ikiwa ni mwaka wa 7...
9 years ago
BBCSwahili07 Dec
Maonyesho ya Swahili Fashion Week
9 years ago
TheCitizen11 Dec
How Swahili Fashion Week lived up to its billing