Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mapigano yatakoma Mashariki mwa Ukraine?

Ujerumani,Urusi na Ukraine zimejadili kwa simu zikiwa ni jitihada za kuhakikisha makubaliano ya kukomesha mapigano yanafanikiwa

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

Mapigano yaendelea Mashariki mwa Ukraine

Mapigano makali yameendelea mashariki mwa Ukraine kufuatia majeshi ya serikali kukabiliana na kundi la Waasi.

 

10 years ago

BBCSwahili

Hali ya Mashariki mwa Ukraine ni tete

Hali ya Mashariki mwa Ukraine yaelezwa kuwa mbaya,Raia waathirika

 

10 years ago

BBCSwahili

Amani yadumishwa mashariki mwa Ukraine

Usitishwaji mapigano unaonekana kudumishwa kati ya wanajeshi wa serikali na waasi wanaongwa mkono na Urusi mashariki mwa Ukrain.

 

10 years ago

Michuzi

MKUTANO KATI YA WIZARA NA WANAFUNZI WANAOSOMA MASHARIKI MWA UKRAINE HUSUSANI ENEO LA LUGANSK

Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi inawatangazia wanafunzi wote wa Tanzania wanaosoma katika vyuo vya Lugansk, Ukraine na maeneo mengine Chini ya Ufadhili wa Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi ambao hivi sasa wako likizo hapa nchini kuwa kutakuwepo na mkutano kujadili, pamoja na mambo mengine, hali ya usalama na hatua za kuchukua kabla ya kurudi Lugansk kuendelea na masomo, mwezi Septembea, 2014. 

Mkutano huo utafanyika Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi, siku ya Jumatano, tarehe 3...

 

10 years ago

BBCSwahili

Mapigano kusitishwa Jumamosi Ukraine?

Viongozi wa mataifa ya Ulaya wamekubaliana kuiwekea vikwazo zaidi Urusi iwapo itashindwa kusimamia makubaliano mapya.

 

10 years ago

BBCSwahili

Mapigano yasita kwa jumla Ukraine

Nchi za Ulaya zasema hali ilivyo sasa katika mzozo wa mashariki mwa Ukraine yaridhisha

 

10 years ago

BBCSwahili

Kwa nini mapigano hayakomi Ukraine?

Ufaransa,Ujerumani,Urusi na Ukraine wakemea kutotekeleza makubaliano ya kusitisha mapigano

 

10 years ago

BBCSwahili

kukoma kwa mapigano Ukraine bado Ndoto

Viongozi wa Ujerumani, Ukraine na Ufaransa wamefanya mazungumzo na kuweka mikakati ya kumaliza mapigano Mashariki mwa Ukraine

 

11 years ago

BBCSwahili

30 wauawa Mashariki mwa DRC

Takriban watu 30 wakiwemo watoto na wanawake wameuawa katika mapigano Mashariki mwa Jamhuri ya kidemokrasi ya Congo.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani