Sumaye: Kuna tishio la matajiri na masikini kutoelewana
![](http://1.bp.blogspot.com/-aLVGSiQTWZY/U8_Q00DKr6I/AAAAAAAABbA/yDo8EjruWjo/s72-c/bi.jpg)
NA MWANDISHI WETU
WAZIRI Mkuu mstaafu Frederick Sumaye, amesema kuna tishio la kutokea kutoelewana baina ya matajiri na masikini nchini.
Amesema hali hiyo inaweza kusababisha vurugu nchini kama hatua hazitachukuliwa mapema ili kunusuru hali hiyo.Amesema katika jamii, kuna chuki inayotokana na tofauti kubwa ya kimapato baina ya makundi tofauti, hasa kati ya matajiri wachache na wenye madaraka kwa upande mmoja na masikini walio wengi kwa upande wa pili, ambavyo husababishwa na mfumo mbaya wa...
Uhuru Newspaper
Habari Zinazoendana
11 years ago
Tanzania Daima02 Aug
Wafugaji: Tunalala matajiri, tunaamka masikini
“UPO usemi usemao waweza kulala masikini ukaamkatajiri, lakini sisi wafugaji tulilala matajiri na tukaamka masikini,”. Kauli hiyo inatolewa na wafugaji wa kijiji cha Mapili, Tarafa ya Inyonga, Wilaya ya Mlele...
10 years ago
Mwananchi16 Jun
Matajiri hulala muda mfupi kuliko masikini?
10 years ago
Vijimambo08 Oct
KWA NINI WAGANGA WANAWEZA KUWASAIDIA WATU KUWA MATAJIRI WAKATI WAO NI MASIKINI?
![](http://www.gumzolajiji.com/wp-content/uploads/2014/10/ndumba.jpg)
Tutajadili kwa nini waganga wanaweza kuwapatia watu wengine dawa au mbinu za kuwa matajiri wakati wao ni masikini. Na pia tutaangalia jinsi ambavyo unaweza kutumia mbinu hizi wanazotumia waganga bila ya wewe kuwa mchawi na ukafikia mafanikio makubwa.
Kila mmoja wetu anaelewa kwamba kuna watu wanakwenda kwa waganga na wanasaidiwa kupata utajiri. Japokuwa utajiri huu...
10 years ago
Habarileo16 Oct
Sumaye- Wala rushwa wengi matajiri
WAZIRI Mkuu wa zamani Frederick Sumaye, ameendelea kuelezea jinsi anavyoumizwa na suala la rushwa katika jamii, huku akisema wenye uwezo mkubwa kifedha ndio tatizo, hivyo wasifumbiwe macho.
11 years ago
Habarileo13 Apr
Sumaye alia na ongezeko la masikini
ALIYEKUWA Waziri Mkuu wa Serikali ya Awamu ya Tatu, Fredrick Sumaye, ameonya kukua kwa pengo kati ya matajiri na masikini duniani, kunaashiria hatari katika maendeleo ya binadamu.
10 years ago
Michuzi29 Jan
11 years ago
Mwananchi07 Aug
Pamoja na takwimu kuonyesha uchumi wa Tanzania unakua, bado kuna pengo kubwa kati ya maskini na matajiri
9 years ago
Mtanzania25 Aug
Dk. Kebwe afurahia Ukawa kutoelewana Serengeti
NA BENJAMIN MASESE
MGOMBEA ubunge Serengeti kwa tiketi ya CCM, Dk. Steven Kebwe amesema anafurahia kuona Ukawa ukishindwa kuelewana na chama kinachosimamisha mgombea Serengeti.
Amesema hadi sasa vyama hivyo vipo katika mvutano mkubwa kati ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Chama cha NCCR Mageuzi na Chama cha Wananchi (CUF), kitendo ambacho kimesababisha kuwapo makundi.
Akizungumza na MTANZANIA jana kwa simu kuhusu siku anayotarajia kuzindua kampeni jimboni humo, Dk....
11 years ago
GPLMADEREVA WATWANGANA KWA KUTOELEWANA BARABARANI