Dk. Kebwe afurahia Ukawa kutoelewana Serengeti
NA BENJAMIN MASESE
MGOMBEA ubunge Serengeti kwa tiketi ya CCM, Dk. Steven Kebwe amesema anafurahia kuona Ukawa ukishindwa kuelewana na chama kinachosimamisha mgombea Serengeti.
Amesema hadi sasa vyama hivyo vipo katika mvutano mkubwa kati ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Chama cha NCCR Mageuzi na Chama cha Wananchi (CUF), kitendo ambacho kimesababisha kuwapo makundi.
Akizungumza na MTANZANIA jana kwa simu kuhusu siku anayotarajia kuzindua kampeni jimboni humo, Dk....
Mtanzania
Habari Zinazoendana
9 years ago
TheCitizen27 Oct
CCM's Kebwe losses Serengeti Parliamentary seat
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Xl3n4nptF*rRVS5LBosBDgECVN4UoC5jYHm4XXpjCo09fd5HtjxdJYl9bkDqn*hBchRdG76Jy9vmYCYEzFfvO-TFBOnhd1Hl/STEVEN5.jpg)
DK KEBWE STEVEN WANAOSEMA SIJAFANYA MAKUBWA SERENGETI WANA LAO JAMBO
10 years ago
Mwananchi26 Nov
Ukawa wasambaratika Serengeti
10 years ago
TheCitizen28 Dec
Ukawa split in Serengeti benefits CCM
11 years ago
GPLMADEREVA WATWANGANA KWA KUTOELEWANA BARABARANI
11 years ago
Uhuru Newspaper![](http://1.bp.blogspot.com/-aLVGSiQTWZY/U8_Q00DKr6I/AAAAAAAABbA/yDo8EjruWjo/s72-c/bi.jpg)
Sumaye: Kuna tishio la matajiri na masikini kutoelewana
NA MWANDISHI WETU
WAZIRI Mkuu mstaafu Frederick Sumaye, amesema kuna tishio la kutokea kutoelewana baina ya matajiri na masikini nchini.
Amesema hali hiyo inaweza kusababisha vurugu nchini kama hatua hazitachukuliwa mapema ili kunusuru hali hiyo.
![](http://1.bp.blogspot.com/-aLVGSiQTWZY/U8_Q00DKr6I/AAAAAAAABbA/yDo8EjruWjo/s1600/bi.jpg)
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-xaArJC39MKc/Uvt-1sVgfdI/AAAAAAACams/rANa0fea9rU/s72-c/1st+draw+......pic+...5jpg.jpg)
KAMPUNI YA BIA YA SERENGETI YAENDESHA DROO YA KWANZA YA WINDA SAFARI YA BRAZILI NA SERENGETI.
![](http://2.bp.blogspot.com/-xaArJC39MKc/Uvt-1sVgfdI/AAAAAAACams/rANa0fea9rU/s1600/1st+draw+......pic+...5jpg.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-fmUXTOHXw5A/Uvt-zwpBKpI/AAAAAAACamg/DNeO9tpxvSE/s1600/1st+draw+......pic+...3jpg.jpg)
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-hW8GKazRufc/U1A3iq5WAaI/AAAAAAACfFw/Y9GDYO0Wrr4/s72-c/DSC_0801+(2).jpg)
KAMPUNI YA BIA YA SERENGETI YACHEZESHA DROO YAKE YA KUMI YA WINDA SAFARI YA BRAZILI NA SERENGETI
![](http://3.bp.blogspot.com/-hW8GKazRufc/U1A3iq5WAaI/AAAAAAACfFw/Y9GDYO0Wrr4/s1600/DSC_0801+(2).jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-t20HPVs48k4/U1A4NchFkqI/AAAAAAACfGk/OqZ8UAD3Aik/s1600/DSC_0783+(3).jpg)
10 years ago
Dewji Blog27 Nov
Serengeti yatoa zawadi ya Limo Bajaj kwa mshindi wa kwanza wa promosheni ya “Tutoke na Serengeti”
Meneja wa Bia ya Serengeti, Rugambo Rodney (kulia) akiongea na waandishi wa habari hawapo Pichani, wakati wa kuchezesha droo ya kwanza ya Tutoke na Serengeti, ambapo Bi.Rukia Athuman Almas toka Kihonda-Morogoro ameibuka mshindi wa kwanza na kujinyakulia Limo Bajaji mpya yenye thamani ya tsh milioni tisa, kushoto ni mkaguzi toka bodi ya Michezo ya bahati nasibu.
Meneja wa Bia ya Serengeti, Rugambo Rodney (kulia) akiongea kwa njia ya simu ya mkononi na Rukia Athuman Almas ambaye ni mshindi...