Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Dk. Kebwe afurahia Ukawa kutoelewana Serengeti

NA BENJAMIN MASESE

KEBWE-22April2015MGOMBEA  ubunge   Serengeti kwa tiketi ya CCM, Dk. Steven Kebwe   amesema anafurahia kuona Ukawa ukishindwa kuelewana na chama kinachosimamisha mgombea   Serengeti.

Amesema hadi sasa vyama hivyo vipo katika mvutano mkubwa kati ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Chama cha NCCR Mageuzi na Chama cha Wananchi (CUF), kitendo ambacho kimesababisha kuwapo   makundi.

Akizungumza na MTANZANIA jana kwa   simu kuhusu  siku anayotarajia kuzindua kampeni jimboni humo, Dk....

Mtanzania

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

TheCitizen

CCM's Kebwe losses Serengeti Parliamentary seat

History repeated itself after Dr Stephen Kebwe became the third deputy Minister to lose the Serengeti Parliamentary seat consecutively since 2005.

 

11 years ago

GPL

DK KEBWE STEVEN WANAOSEMA SIJAFANYA MAKUBWA SERENGETI WANA LAO JAMBO

HARAKATI za wabunge wa majimbo mbalimbali kujipanga kwa ajili ya mchuano wa muhula ujao wa 2015 umeanza kwa chini chini kwani miongozo ya vyama vya siasa kuna muda  maalum wa wanachama kuanza kampeni. Dk. Kebwe Steven Kebwe. Kitu pekee kitakachowabeba wabunge wengi ni jinsi gani waliweza kutekeleza ahadi zao, sanjari na kuwajibika kusimamia na kutekeleza sera za vyama vyao vilivyonadi wakati wakiomba ridhaa kwa wananchi...

 

10 years ago

Mwananchi

Ukawa wasambaratika Serengeti

Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa) Wilaya ya Serengeti, Mkoa wa Mara, umesambaratika baada ya Chadema kuamua kusimamisha wagombea vitongoji na vijiji vyote ikiwa ni kinyume na makubaliano ya vyama hivyo.

 

10 years ago

TheCitizen

Ukawa split in Serengeti benefits CCM

Misunderstandings among members of the opposition coalition, popularly known as ‘Ukawa’, in the district after the Local Government elections threaten to pulverize the plan to replace the ruling party, CCM, in future elections.

 

11 years ago

GPL

MADEREVA WATWANGANA KWA KUTOELEWANA BARABARANI

Madereva Juma na John wakichapana makonde hadharani. …Akiokota jiwe kumshushia kipigo John aliyedaiwa kutaka kusababisha ajali. Juma (kulia) akirusha matusi…

 

11 years ago

Uhuru Newspaper

Sumaye: Kuna tishio la matajiri na masikini kutoelewana


NA MWANDISHI WETU
WAZIRI Mkuu mstaafu Frederick Sumaye, amesema kuna tishio la kutokea kutoelewana baina ya matajiri na masikini nchini.
Amesema hali hiyo inaweza kusababisha vurugu nchini kama hatua hazitachukuliwa mapema ili kunusuru hali hiyo.
Amesema katika jamii, kuna chuki inayotokana na tofauti kubwa ya kimapato baina ya makundi tofauti, hasa kati ya matajiri wachache na wenye madaraka kwa upande mmoja na masikini walio wengi kwa upande wa pili, ambavyo husababishwa na mfumo mbaya wa...

 

11 years ago

Michuzi

KAMPUNI YA BIA YA SERENGETI YAENDESHA DROO YA KWANZA YA WINDA SAFARI YA BRAZILI NA SERENGETI.

   Meneja Masoko wa Kampuni ya Bia ya Serengeti Allan Chonjo akitangaza washindi wa droo ya kwanza ya Winda Safari ya Brazili na Serengeti inayoendeshwa na kampuni hiyo nchini kote, kushoto kwake ni Meneja wa bia ya Serengeti Rodney Rugambo, na kulia kwake ni Afisa Mwandamizi kutoka PWC Bwana Tumain iliyofanyika mapema leo jijini Dar es Salaaam.  Meneja Masoko wa Kampuni ya Bia  Serengeti Allan Chonjo akiongea kwa njia ya sinu na moja wa washindi wa droo ya kwanza ya Winda Safari ya...

 

11 years ago

Michuzi

KAMPUNI YA BIA YA SERENGETI YACHEZESHA DROO YAKE YA KUMI YA WINDA SAFARI YA BRAZILI NA SERENGETI


  Meneja wa Bia ya Serengeti Rugambo Rodney (katikati) akiongea na waandishi wa habari wakati akitangaza washindi wa droo ya winda safari ya Brazil na Serengeti iliyofanyika kiwandani Dar es Salaam. Wanaoshuhudia ni ofisa kutoka PWC Bi Golder Kamuzora (Kulia) na afisa mkaguzi kutoka bodi ya michezo ya kubahatisha Bw. Humudi Abdulhussein (Kushoto) Meneja wa Bia Serengeti Rugambo Rodney (kulia) akiongea na mmoja wa washindi wa droo ya 10 ya winda safari ya Brazil kwa njia ya simu huku...

 

10 years ago

Dewji Blog

Serengeti yatoa zawadi ya Limo Bajaj kwa mshindi wa kwanza wa promosheni ya “Tutoke na Serengeti”

4

Meneja wa Bia ya Serengeti, Rugambo Rodney (kulia) akiongea na waandishi wa habari hawapo Pichani, wakati wa kuchezesha droo ya kwanza ya Tutoke na Serengeti, ambapo Bi.Rukia Athuman Almas toka Kihonda-Morogoro ameibuka mshindi wa kwanza na kujinyakulia Limo Bajaji mpya yenye thamani ya tsh milioni tisa, kushoto ni mkaguzi toka bodi ya Michezo ya bahati nasibu.

2

Meneja wa Bia ya Serengeti, Rugambo Rodney (kulia) akiongea kwa njia ya simu ya mkononi na   Rukia Athuman Almas ambaye ni mshindi...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani