Ukawa split in Serengeti benefits CCM
Misunderstandings among members of the opposition coalition, popularly known as ‘Ukawa’, in the district after the Local Government elections threaten to pulverize the plan to replace the ruling party, CCM, in future elections.
TheCitizen
Habari Zinazoendana
11 years ago
TheCitizen23 Mar
Termination of contracts, workers’ terminal benefits benefits of employees
10 years ago
Mwananchi26 Nov
Ukawa wasambaratika Serengeti
9 years ago
Mtanzania25 Aug
Dk. Kebwe afurahia Ukawa kutoelewana Serengeti
NA BENJAMIN MASESE
MGOMBEA ubunge Serengeti kwa tiketi ya CCM, Dk. Steven Kebwe amesema anafurahia kuona Ukawa ukishindwa kuelewana na chama kinachosimamisha mgombea Serengeti.
Amesema hadi sasa vyama hivyo vipo katika mvutano mkubwa kati ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Chama cha NCCR Mageuzi na Chama cha Wananchi (CUF), kitendo ambacho kimesababisha kuwapo makundi.
Akizungumza na MTANZANIA jana kwa simu kuhusu siku anayotarajia kuzindua kampeni jimboni humo, Dk....
10 years ago
Raia Tanzania16 Jul
Malalamiko CCM Serengeti yasifumbiwe macho
GAZETI hili limefikiwa na malalamiko kutoka kwa baadhi ya wanachama wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Wilaya ya Serengeti, mkoani Mara, kwamba ‘mzimu’ wa ubaguzi wa kikabila umeanza kupenya ndani ya chama hicho.
Kwamba, uongozi wa CCM wilayani humo umewapendelea wanachama wa upande wa kabila la Wangoreme kwa kuelekeza huko kadi nyingi za chama hicho na kuwanyima wengi wa upande wa kabila la Wakurya.
Inadaiwa uongozi huo umefikia hatua hiyo kutokana na msukumo wa baadhi ya makada wa...
9 years ago
TheCitizen27 Oct
CCM's Kebwe losses Serengeti Parliamentary seat
10 years ago
Mtanzania24 Feb
Wana CCM Serengeti watua kwa Lowassa
Na Mwandishi Wetu, Monduli
VIONGOZI wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Wilaya ya Serengeti mkoani Mara, wamemwomba Waziri Mkuu wa zamani ambaye pia ni Mbunge wa Monduli, Edward Lowassa (CCM), kuchukua fomu ya kuwania urais muda utakapofika kwani wanaamini ni kiongozi anayefaa kuwania nafasi hiyo kupitia chama hicho.
Wakiongozwa na Mwenyekiti wa CCM wa wilaya hiyo, Vicent Nyamasagi, viongozi hao walitoa kauli hiyo jana Monduli baada ya kufika nyumbani kwa Lowassa kuwasilisha ombi hilo.
Lakini...
9 years ago
Mwananchi10 Dec
Chadema na CCM wagawana halmashauri Serengeti, Sengerema
9 years ago
TheCitizen18 Nov
Poor tactics let CCM down in Serengeti election battle victory
11 years ago
Bongo510 Aug
Picha: Serengeti Fiesta 2014 Mwanza yafana ndani ya uwanja wa CCM Kirumba