Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Ukawa split in Serengeti benefits CCM

Misunderstandings among members of the opposition coalition, popularly known as ‘Ukawa’, in the district after the Local Government elections threaten to pulverize the plan to replace the ruling party, CCM, in future elections.

TheCitizen

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

TheCitizen

Termination of contracts, workers’ terminal benefits benefits of employees

There are several ways an employment contract can come to an end. It may be by way of expiry of time as in fixed term contracts, retirement, termination or dismissal.

 

10 years ago

Mwananchi

Ukawa wasambaratika Serengeti

Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa) Wilaya ya Serengeti, Mkoa wa Mara, umesambaratika baada ya Chadema kuamua kusimamisha wagombea vitongoji na vijiji vyote ikiwa ni kinyume na makubaliano ya vyama hivyo.

 

9 years ago

Mtanzania

Dk. Kebwe afurahia Ukawa kutoelewana Serengeti

NA BENJAMIN MASESE

KEBWE-22April2015MGOMBEA  ubunge   Serengeti kwa tiketi ya CCM, Dk. Steven Kebwe   amesema anafurahia kuona Ukawa ukishindwa kuelewana na chama kinachosimamisha mgombea   Serengeti.

Amesema hadi sasa vyama hivyo vipo katika mvutano mkubwa kati ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Chama cha NCCR Mageuzi na Chama cha Wananchi (CUF), kitendo ambacho kimesababisha kuwapo   makundi.

Akizungumza na MTANZANIA jana kwa   simu kuhusu  siku anayotarajia kuzindua kampeni jimboni humo, Dk....

 

10 years ago

Raia Tanzania

Malalamiko CCM Serengeti yasifumbiwe macho

 

GAZETI hili limefikiwa na malalamiko kutoka kwa baadhi ya wanachama wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Wilaya ya Serengeti, mkoani Mara, kwamba ‘mzimu’ wa ubaguzi wa kikabila umeanza kupenya ndani ya chama hicho.

Kwamba, uongozi wa CCM wilayani humo umewapendelea wanachama wa upande wa kabila la Wangoreme kwa kuelekeza huko kadi nyingi za chama hicho na kuwanyima wengi wa upande wa kabila la Wakurya.

Inadaiwa uongozi huo umefikia hatua hiyo kutokana na msukumo wa baadhi ya makada wa...

 

9 years ago

TheCitizen

CCM's Kebwe losses Serengeti Parliamentary seat

History repeated itself after Dr Stephen Kebwe became the third deputy Minister to lose the Serengeti Parliamentary seat consecutively since 2005.

 

10 years ago

Mtanzania

Wana CCM Serengeti watua kwa Lowassa

lowassaNa Mwandishi Wetu, Monduli
VIONGOZI wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Wilaya ya Serengeti mkoani Mara, wamemwomba Waziri Mkuu wa zamani ambaye pia ni Mbunge wa Monduli, Edward Lowassa (CCM), kuchukua fomu ya kuwania urais muda utakapofika kwani wanaamini ni kiongozi anayefaa kuwania nafasi hiyo kupitia chama hicho.
Wakiongozwa na Mwenyekiti wa CCM wa wilaya hiyo, Vicent Nyamasagi, viongozi hao walitoa kauli hiyo jana Monduli baada ya kufika nyumbani kwa Lowassa kuwasilisha ombi hilo.
Lakini...

 

9 years ago

Mwananchi

Chadema na CCM wagawana halmashauri Serengeti, Sengerema

Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), kimenyakua Halmashauri ya Wilaya ya Serengeti baada ya kuibwaga CCM, huku CCM ikishinda katika Halmashauri ya Sengerema kwenye nafasi za mwenyekiti na makamu.

 

9 years ago

TheCitizen

Poor tactics let CCM down in Serengeti election battle victory

 In one of the unexpected setbacks the ruling Chama cha Mapinduzi (CCM) was defeated in Serengeti constituency. The party did not only lose the parliamentary seat, but also the Council after many of its councillors were defeated by the opposition. While CCM will be licking its wounds, contemplating why it has failed, the outcome of the October 25 General Election has been lesson to the opposition that if they unite their forces, it is possible to beat the might CCM.

 

11 years ago

Bongo5

Picha: Serengeti Fiesta 2014 Mwanza yafana ndani ya uwanja wa CCM Kirumba

Wasanii mbalimbali jana August 9 waliwaburudisha mashabiki wa muziki wao katika tamasha la Serengeti Fiesta jijini Mwanza. Diamond na Linah Miongoni mwa wasanii waliotoa burudani ni pamoja na Stamina,Madee,Dogo Janja,Jokate, Nay wa Mitego,Nyandu Tozi, Mr Blue, Diamond, Chege na Temba na wengine wengi. Hizi ni picha za show hiyo iliyofanyika kwenye uwanja wa CCM Kirumba. […]

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani