Malalamiko CCM Serengeti yasifumbiwe macho
GAZETI hili limefikiwa na malalamiko kutoka kwa baadhi ya wanachama wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Wilaya ya Serengeti, mkoani Mara, kwamba ‘mzimu’ wa ubaguzi wa kikabila umeanza kupenya ndani ya chama hicho.
Kwamba, uongozi wa CCM wilayani humo umewapendelea wanachama wa upande wa kabila la Wangoreme kwa kuelekeza huko kadi nyingi za chama hicho na kuwanyima wengi wa upande wa kabila la Wakurya.
Inadaiwa uongozi huo umefikia hatua hiyo kutokana na msukumo wa baadhi ya makada wa...
Raia Tanzania
Habari Zinazoendana
9 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-F1x18cQ3VVw/VjEbdOA5FBI/AAAAAAAIDSA/Tskcoaa6-OU/s72-c/g4.jpg)
CCM inapenda kutoa taarifa ifuatayo kwa wana-CCM na kwa umma: MALALAMIKO YA CCM KUHUSU MATOKEO KWENYE BAADHI YA MAJIMBO
![](http://2.bp.blogspot.com/-F1x18cQ3VVw/VjEbdOA5FBI/AAAAAAAIDSA/Tskcoaa6-OU/s640/g4.jpg)
Wasimamizi wa uchaguzi katika majimbo haya wamevuruga uchaguzi. Kutokana na utata uliokuwa umejitokeza wakati wa zoezi la kujumlisha kura, CCM iliomba kura zihesabiwe upya...
9 years ago
GPL![](http://globalpublishers.co.tz/wp-content/uploads/2015/10/makamba1.jpg)
MALALAMIKO YA CCM KUHUSU MATOKEO KWENYE BAADHI YA MAJIMBO
10 years ago
Mtanzania24 Mar
CCM watoana macho urais
Fredy Azzah na Debora Sanja, Dodoma
JOTO la Uchaguzi wa Rais ndani ya CCM linazidi kupanda huku makada na viongozi wa chama hicho wakipigana vijembe hadharani.
Hali hiyo inatokana na kile kinachojitokeza sasa, kuibuka kwa makundi ya jamii, wakiwamo wanafunzi wa vyuo vya elimu ya juu, kuwashawishi makada kadhaa wa CCM wawanie nafasi hiyo ya uongozi wa nchi katika Uchaguzi Mkuu unaotarajiwa kufanyika Oktoba.
Makada ambao wamekuwa wakishawishiwa kuwania nafasi hiyo ni Mbunge wa Monduli, Edward...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/VNXpMB91slc4sYwkexz4-isA1YaSx-jBGtSouzECJ81t3EwCRe397Uo4rplJKFf64UYEDFowIe31DONJI3iEBHxS0t3IzfTy/BACKJUMAMOSI1.jpg)
MBUNGE CCM ASIMULIA ALIVYOPOFUKA MACHO!
11 years ago
Tanzania Daima31 Dec
Macho yote CCM kwa Warioba leoÂ
MACHO na masikio ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), yatakuwa kwa Tume ya Mabadiliko ya Katiba inayoongozwa na Jaji mstaafu Joseph Warioba, kuona kama mapendekezo yao ya kupinga muundo wa muungano...
10 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-WP6iF2F-vss/VPdgFLJ9KFI/AAAAAAABnDE/hLJqJw_HNF0/s72-c/1036.jpg)
Madaktari wa Macho kutoka Shirika la Specsavers Watowa Huduma ya Macho kwa Wananchi Skuli ya Kiembesamaki Zanzibar
![](http://3.bp.blogspot.com/-WP6iF2F-vss/VPdgFLJ9KFI/AAAAAAABnDE/hLJqJw_HNF0/s640/1036.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-V1UQiJ_mNtc/VPdgJn3vryI/AAAAAAABnDM/zPWV8-VZLwQ/s640/1031.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-RMNp-NXmTOY/VPdgKSJSpbI/AAAAAAABnDU/hEyIWj4H6do/s640/1005.jpg)
10 years ago
Mwananchi25 Feb
Makada CCM waanza kukitolea macho ‘kiti’ cha Ndesamburo
10 years ago
TheCitizen28 Dec
Ukawa split in Serengeti benefits CCM
9 years ago
TheCitizen27 Oct
CCM's Kebwe losses Serengeti Parliamentary seat