CCM watoana macho urais
Fredy Azzah na Debora Sanja, Dodoma
JOTO la Uchaguzi wa Rais ndani ya CCM linazidi kupanda huku makada na viongozi wa chama hicho wakipigana vijembe hadharani.
Hali hiyo inatokana na kile kinachojitokeza sasa, kuibuka kwa makundi ya jamii, wakiwamo wanafunzi wa vyuo vya elimu ya juu, kuwashawishi makada kadhaa wa CCM wawanie nafasi hiyo ya uongozi wa nchi katika Uchaguzi Mkuu unaotarajiwa kufanyika Oktoba.
Makada ambao wamekuwa wakishawishiwa kuwania nafasi hiyo ni Mbunge wa Monduli, Edward...
Mtanzania
Habari Zinazoendana
10 years ago
Habarileo23 Mar
Ukawa ‘watoana macho’ Moro
CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) mkoa wa Morogoro kimeingia kwenye malumbano jukwaani na uongozi wa Chama cha Wananchi (CUF), Wilaya ya Morogoro kuhusu suala la mchakato wa kumpata wa mgombea wa ubunge wa jimbo la Morogoro Mjini kupitia Ukawa katika uchaguzi mkuu wa Oktoba, mwaka huu.
10 years ago
Raia Tanzania16 Jul
Malalamiko CCM Serengeti yasifumbiwe macho
GAZETI hili limefikiwa na malalamiko kutoka kwa baadhi ya wanachama wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Wilaya ya Serengeti, mkoani Mara, kwamba ‘mzimu’ wa ubaguzi wa kikabila umeanza kupenya ndani ya chama hicho.
Kwamba, uongozi wa CCM wilayani humo umewapendelea wanachama wa upande wa kabila la Wangoreme kwa kuelekeza huko kadi nyingi za chama hicho na kuwanyima wengi wa upande wa kabila la Wakurya.
Inadaiwa uongozi huo umefikia hatua hiyo kutokana na msukumo wa baadhi ya makada wa...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/VNXpMB91slc4sYwkexz4-isA1YaSx-jBGtSouzECJ81t3EwCRe397Uo4rplJKFf64UYEDFowIe31DONJI3iEBHxS0t3IzfTy/BACKJUMAMOSI1.jpg)
MBUNGE CCM ASIMULIA ALIVYOPOFUKA MACHO!
11 years ago
Tanzania Daima31 Dec
Macho yote CCM kwa Warioba leoÂ
MACHO na masikio ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), yatakuwa kwa Tume ya Mabadiliko ya Katiba inayoongozwa na Jaji mstaafu Joseph Warioba, kuona kama mapendekezo yao ya kupinga muundo wa muungano...
10 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-WP6iF2F-vss/VPdgFLJ9KFI/AAAAAAABnDE/hLJqJw_HNF0/s72-c/1036.jpg)
Madaktari wa Macho kutoka Shirika la Specsavers Watowa Huduma ya Macho kwa Wananchi Skuli ya Kiembesamaki Zanzibar
![](http://3.bp.blogspot.com/-WP6iF2F-vss/VPdgFLJ9KFI/AAAAAAABnDE/hLJqJw_HNF0/s640/1036.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-V1UQiJ_mNtc/VPdgJn3vryI/AAAAAAABnDM/zPWV8-VZLwQ/s640/1031.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-RMNp-NXmTOY/VPdgKSJSpbI/AAAAAAABnDU/hEyIWj4H6do/s640/1005.jpg)
10 years ago
Mwananchi25 Feb
Makada CCM waanza kukitolea macho ‘kiti’ cha Ndesamburo
10 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-yhhd3_k0tSk/VX5rHFEVBLI/AAAAAAAAvww/Cn717LOxw2c/s72-c/migiro.png)
Dk Asha-Rose Migiro Ajitosa Kuwania Urais Kupitia CCM......Samuel Sitta Kurudisha Fomu ya Urais Leo
![](http://2.bp.blogspot.com/-yhhd3_k0tSk/VX5rHFEVBLI/AAAAAAAAvww/Cn717LOxw2c/s640/migiro.png)
![](http://beacon.walmart.com/vm/ttap.gif?id=10694486&channel=WALMART&network=sraxopen_vhct&creative=SAL&destination=MICROSITE&size=728x90&idea=MOM&type=FLASH&device=DESKTOP)
Aidha, taarifa zilizozagaa kwenye mitandao ya kijamii, kuwa Waziri wa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar, Dk Ali Mohammed Shein kuwa atachukua fomu si za kweli kwa mujibu wa chanzo cha habari kutoka ndani ya CCM.Migiro, ambaye atachukua fomu kwenye makao makuu wa CCM mjini Dodoma saa tisa mchana, atakuwa mwanamke wa nne kuchukua fomu...
10 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-fhPkHxi7tCQ/VZDjz7gZQHI/AAAAAAAAgLM/cugcqdqqpXc/s72-c/1.png)
KUMEKUCHA CCM,MKAPA,MWINYI WAJITOSA "KUCHINJA" MAJINA YA WATAKA URAIS CCM,
![](http://3.bp.blogspot.com/-fhPkHxi7tCQ/VZDjz7gZQHI/AAAAAAAAgLM/cugcqdqqpXc/s640/1.png)
Zikiwa zimebaki siku 9 kabla ya kamati kuu ya chama mapinduzi CCM akijakutana kwa ajili ya “kufyeka” majina 37 kati ya 42 ya makada wake waliojitokeza na kuwania Urais ndani ya chama hicho,sasa jukumu lingine lawaangukia viongozi wastaafu wa chama hicho.Anaandika KAROLI VINSENT endelea nayo.Viongozi hao ambao ni marais wastaafu Ali Hassan Mwinyi na Benjamin Mkapa ambao wote kwa pamoja wataunda Baraza la Ushauri la Wazee wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) na kufanya kikao wakati wowote wiki hii...
10 years ago
Mwananchi11 Jul
URAIS CCM: Magufuli alivyopiga chenga panga la CCM